Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Tena we wa tengeru ndio unafaa kuaminiwa kabisa namshangaa mleta mada
Mmeru bila shari hauishi nae yani kwenye ubinafsi hapo ni usipime
Mkuu asante sana,niamini nachosema.Hapa nipo Tengeru,nimeishi huku 10 years, nimeona nimejifunza. Mara mia uwe karibu na Mchagga tena ni waelewa na upendo wanao
Sema umebahatika kumpata huyo ila usiwasemee wengine
For sure
 
Daah yaani hata nashindwa nicomment nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…