Mkuu asante sana,niamini nachosema.Hapa nipo Tengeru,nimeishi huku 10 years, nimeona nimejifunza. Mara mia uwe karibu na Mchagga tena ni waelewa na upendo wanaoTena we wa tengeru ndio unafaa kuaminiwa kabisa namshangaa mleta mada
Mmeru bila shari hauishi nae yani kwenye ubinafsi hapo ni usipime
For sureSema umebahatika kumpata huyo ila usiwasemee wengine
Sister ake mbona upo familier sn na hawa makiburi? Upo Meru nini?Halafu wala haitaji usaidizi wa Jeshi la Akiba😅😜
Ndo maeneo yetu hayoSister ake mbona upo familier sn na hawa makiburi? Upo Meru nini?
HahahahaaaHayo yote uliyotaja babe wangu SweetyCandy ameshayapitia. Kwa sasa anasubiria tu watu kualikwa ukumbini, na kucheza live ule wimbo wa Shaban Madobe.
Sema kweli? Haya sawa.Nipo huku pia.Hebu tutafutane unywe hata Image 😂Ndo maeneo yetu hayo
Sawa. Nakutafuta 😅Sema kweli? Haya sawa.Nipo huku pia.Hebu tutafutane unywe hata Image 😂
Usiwaze, be comfortable my dada.With due respect utakula utakunywa.Mungu akubariki.Sawa. Nakutafuta 😅
Hayo ndo mambo yangu 😜Usiwaze, be comfortable my dada.With due respect utakula utakunywa.Mungu akubariki.
Hayo ndo mambo yangu 😜hahahaaaaa kwanza unakula pork?au ustadhat wewe am sorry!
Duuhna 9.
wangewambia walambe ifanyavyo mbwa jike kitambaa anaweza weka upupu akajifanya alianika kitambaa nje
Zipo za kumwaga sanavipi antena wanazo?
Daah yaani hata nashindwa nicomment nini.Sasa hayo yote mbona ukienda tanga utayapata tena na zaidi na wanawake wa tanga siyo wakali kama hao wameru, kwanza nimeshangaa yani ndio nasikia kwa mara ya kwanza mtu anasema wanawake wa kimeru ni wakali kidogo, wakati miaka yote nimekuwa nikisikia wameru ni moja ya makabila ambayo wanawake wake ni wakali na wana roho mbaya pamoja na uzuri walionao
Mmeru hatakagi dharau, hapo mtauanaAkichanganya na cha Arusha 😅
Wewe ni mwarusha huwezi kumhukumu Mmeru kwa haki😆😆Daah yaani hata nashindwa nicomment nini.