Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

Kumuelewesha uto fc kuhusu mambo makubwa kama hayo itabidi ichukue karne nzima na somo liwe hilo tu usichanganye
N.B (according to Manara) GENGE ZIMA LA UTO AMBAO AKILI ZAO ZIPO ACTIVE NI WATATU TU
12℅ DORMANT
88℅ Hawa Zipo DEAD kabisaaa
 
Huu ni upumbavu mtupu umeandika hapa, Admin wa CAF ni Mtanzania na ni Simba lialia.

Chukuwa hiyo kama ulikuwa hujui, au muulize Ahmed Ally hadi huwa anatamba kesho watapostiwa na kweli Simba inapostiwa.

Sasa angalia Mamelodi Sundowns watakachowafanya hao Wydad utawaonea huruma.
Mpira ni dk. 90
Nje ya hapo ni hisia na matarajio tu.
Mamelodi amewahi kuwa wa moto hivihivi lakini alitolewa na Petro atletico ya Luanda Angola.
 
Mentality ya Uto huwa haitegemeani na umri wa mtu as long as umekuwa Uto basi kila kitu kitapita kwenye flow moja.

Kipindi Manara amefungiwa mlisema Simba inabebwa na TFF na mlitishia kuandamana kwa mama

Kipindi CAF wamekuja Arusha na Simba ikapewa mualiko na nyie hamkualika, mlisema CAF inaibeba Simba.

Now kwenye ishu ndogo ya kupostiwa (ambayo hata nyinyi mnapostiwa) bado malalamiko ni yale yale "admin wa CAF ni Simba.

Hii Club ina malalamiko sana au ndio kusema Utophobia?
Wana matatizo hawana akili manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu
 
Watu wa simba mna Mdomo jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu vingine Wala havina tatizo. Mbona kaeleza tu vizuri?

Yanga Ina mashabiki wengi lkn Ni kweli haikuwa kwenye ramani kwa muda mrefu. Akasema ikiendelea kufanya vzr itakuwa inaandikwa Sana.

Kibaya alichoandika Ni Nini?

Tupunguze ushabiki wa kipuuzi. Ni upumbavu!
 
View attachment 2603973

Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto🔥, na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
ni kweli,timu za tanzania zinajaza viwanja
 
Alhaji Rage ajengewe mnara, yaani CAF waache kuzielewa timu zinazo tandaza soka wa huzunike kutolewa Kwa timu ambayo mudawote inahusishwa na malalamiko yahusuyo ushirikina!!

CAF walikua wanajua mwisho wa Simba umefika baada ya kuwapangia Wydad Sasa wahuzunike Nini?
 
Watu wa simba mna Mdomo jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sana yaani
 

Attachments

  • FB_IMG_1682718995222.jpg
    FB_IMG_1682718995222.jpg
    30.6 KB · Views: 1
View attachment 2603973

Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto🔥, na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
Usikhofu Yanga tutakava hiyo nafsi chapu
 
View attachment 2603973

Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto[emoji91], na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
Wenzenu wanacheza mpira uwanjani nyie mmekomaa online pumbafu kabisa
 
View attachment 2603973

Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto[emoji91], na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
Point yako namba moja sio kweli.
Simba sio kwamba ndio timu inayoongoza kwa mashabiki wengi mtandaoni kwa timu zinazoshiriki mashindano ya CAF. Al Ahly ana mashabiki wengi kuliko Simba au Al Ahly hawapo kwenye mashindano ya CAF?

ukweli ni kwamba katika mashindano ya CAF, timu za Tanzania ndio ina mashabiki wanaopenda ujinga mwingi, na upumbavu mwingi hivyo hufanya page za CAF zichangamke kwa comments. Kuna timu zina follower wengi kuliko Simba watapostiwa na CAF lakini mashabiki wao hata hawajali wanaona kitu cha kawaida tu. Ila timu zetu za Kariakoo wakipostiwa Simba, utaona mashabiki wa Simba na Yanga watajazana na kutoa comments zingine hata hazihusiani na post husika. Hivyo hivyo wakipostiwa Yanga hivyo hivyo, mashabiki wa Simba na Yanga hao hao watajazana humo kwenye post ya CAF. Admin nae kaishajua atembee vipi ili page isipooze, ndio hapo utakuta anaenda na timu za kariakoo, kutolewa kwa Simba kwao ni kama kufa kwa mchekeshaji mmoja nguli na kubakia mchekeshaji mmoja anayechipukia.

Hawashii tu hapo kwa CAF bali watajazana hadi kwenye page za timu pinzani kwenda kuwakera, timu zetu ni underground na mara nyingi underground huwa wanapenda kufosi kujulikana ili watoke kwenye huo underground.

Kwenye ishu ya mashabiki uwanjani, upo sahihi. Ukiachana na timu za kiarabu basi timu ya Simba inayofuatia kwa mahudhurio mazuri ya mashabiki ikifuatiwa na Yanga. Kwa kifupi ukiachana na mataifa ya kiarabu, Tanzania tunafuatia kwa kupenda kushabikia timu viwanjani.
 
Sasa hapo nini hamjaelewa au mnaumia
Lizee la miaka 50 linaanza kubisha kipuuzi tu mtakuwa na shida mahali nyie uto
 
Back
Top Bottom