Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tabia hii ife kabisa msiwe mnajimaliza sana kwanini lakini Grahams Half american Zulu man MENEMENE TEKERI NA PERESI De Opera Gily Gru Labella Monetary doctor Fake P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiishi Dar automatically unakuwa mjanja mjanja, Life la Dar liko speed sana bila ujanja ujanja hutoboiTabia hii ife kabisa msiwe mnajimaliza sana kwanini lakini Grahams Half american Zulu man MENEMENE TEKERI NA PERESI De Opera Gily Gru Labella Monetary doctor Fake P View attachment 3198679
Ndio muache kupokea simu zetu kweli ase 😂😂Ukiishi Dar automatically unakuwa mjanja mjanja, Life la Dar liko speed sana bila ujanja ujanja hutoboi
Ahahah sasa si anakuja kwa ndugu yakeWa mkoani Wana Mambo mengi wale ,wanakuja na tumaharagwe tudogo na unga kidogo alafu wanataka wakae mwaka na ushee kwanini tusiwakimbie ?
Ahahhaha kuna muda watu wa mkoa hawataki kufikia kwenu ila anataka atembee tu kwhy wewe unakua kama mwenyeji tuUkiona amekuzimia simu ujue pa kukaa kwake ni padogo.
Dar es salaam hatulimi Kaka ,kumlisha mtu mzima Milo mitatu kwa kofia ya ndugu nikutuchelewesha kuzifikia ndoto za kuwa mabilioneaAhahah sasa si anakuja kwa ndugu yake
sio tu padogo sema hamna pakulala na kuna wanaolala mbele ya vibarazani lolote linalopatikana kuwa waziUkiona amekuzimia simu ujue pa kukaa kwake ni padogo.
Imeiaha iyoSimu haikuwa na Charge Mwachiluwi View attachment 3198780
Ahahaha af kwenye simu ana jigamba nipo darsio tu padogo sema hamna pakulala na kuna wanaolala mbele ya vibarazani lolote linalopatikana kuwa wazi
HAhaha... Kweli kabisaTabia hii ife kabisa msiwe mnajimaliza sana kwanini lakini Grahams Half american Zulu man MENEMENE TEKERI NA PERESI De Opera Gily Gru Labella Monetary doctor Fake P View attachment 3198679
Kafanye embu sema dogoKuna mdada humu daaah basi tuu ila tamlipua soon
Ahaha mnakimbia majukumu ya kuombwa nauli morng sio?Tatizo ni muda wanaokuja. 😂
Kingine ni sisi waafrika, wageni huwa tunamtegemea sana mwenyeji afanye kila kitu.
Kuna mtu kabla hajaja mjini anakuuliza gharama ambayo anaweza kutumia huko, unampa mkeka. Anakutumia fungu, na anakuambia kabisa, usihangaike kuhusu mimi. 😄
Wana acha wageni stendi hawajui kwa kwenda wanaishia kuibiwa simuHAhaha... Kweli kabisa