De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
😂 Kaka, hakikisha umeacha oda shamba liuzwe la sivyo utarudi kwa mguu.Ahaha mnakimbia majukumu ya kuombwa nauli morng sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Kaka, hakikisha umeacha oda shamba liuzwe la sivyo utarudi kwa mguu.Ahaha mnakimbia majukumu ya kuombwa nauli morng sio?
Ahahah kama unatutambia kwenye simu tukija tunataka tushangae kuona vitu vizuri kwako na sio geto kunishangaa mgeniTatizo mkifika maghetto yetu mkirudi mkoa mnatusema jamaa kumbe hamna kitu na kukaa Dar siku zote hizi
Ahahha ila hii jambo nili oberve sehemu walikuwa wana mnanga mgeni wao aliwaomba nauli duh alivyo toka ilikuwa mada siku nzima😂 Kaka, hakikisha umeacha oda shamba liuzwe la sivyo utarudi kwa mguu.
Unategemea utakuta JBL unakutana na Sundar BluetoothAhahah kama unatutambia kwenye simu tukija tunataka tushangae kuona vitu vizuri kwako na sio geto kunishangaa mgeni
Nadhani ni mojawapo ya kukufundisha namna yakujitegemea ndomaana hata mwanamke ukimuita anapaswa kuwa naakiba achakulia mkuuTabia hii ife kabisa msiwe mnajimaliza sana kwanini lakini Grahams Half american Zulu man MENEMENE TEKERI NA PERESI De Opera Gily Gru Labella Monetary doctor Fake P View attachment 3198679
Kuomba nauli ni udhaifu mkubwa sana. Ni heri ukaombe lift huko kuliko kuomba nauli. 😄Ahahha ila hii jambo nili oberve sehemu walikuwa wana mnanga mgeni wao aliwaomba nauli duh alivyo toka ilikuwa mada siku nzima
Ahahah kazi ipo aseUnategemea utakuta JBL unakutana na Sundar Bluetooth
Ahahah wameniachaa hapa magufuli sijui niende wapi na alinita mwenyeweNadhani ni mojawapo ya kukufundisha namna yakujitegemea ndomaana hata mwanamke ukimuita anapaswa kuwa naakiba achakulia mkuu
Ahahah kuna emargence wakuu mtu vumilieKuomba nauli ni udhaifu mkubwa sana. Ni heri ukaombe lift huko kuliko kuomba nauli. 😄
Cha kushangaza kaja mwenyewe.
Anaitwa dadaKafanye embu sema dogo
Kwani nakula kilo ngapi ety?Dar tunaishi Kwa budget, uje nikulishe mwaka mzima
KafanyajeAnaitwa dada
Huna hela? Unaaminije watu wa dar?Ahahah wameniachaa hapa magufuli sijui niende wapi na alinita mwenyewe
Tulikuwa tunaongea vizur sana akanipa na lamani vizuri mwisho akaniambia ukija dar ondoa shaka mimi nipo nitakusimamia mpaka unapata kwako ajabu apokei cmHuna hela? Unaaminije watu wa dar?
Atakama ndio uache kupokea smu na sms unaonaSio kwamba hatupendi wageni, mazingira ni magumu tu. Huenda mtu hana pa kukulaza, au ratiba yake ni ngumu hata kuonana tu changamoto. Ogopa sana kazi za hand-to-mouth, hazikupi nafasi ya kupumua.
Pole emu njoo huku mwanza ntakupokea, ila nipo bize nitatuma mtu akuchukueTulikuwa tunaongea vizur sana akanipa na lamani vizuri mwisho akaniambia ukija dar ondoa shaka mimi nipo nitakusimamia mpaka unapata kwako ajabu apokei cm
Nikijua umeondoka ndio naanza kuzipokea mkuu🤣🤣Atakama ndio uache kupokea smu na sms unaona
Kwamba nauli imepotea? 😂Ahahah kuna emargence wakuu mtu vumilie