Watu wa Dar es Salaam, hii tabia ife

Watu wa Dar es Salaam, hii tabia ife

Wengi wao hua wanaishi maisha ambayo ni tofauti na tambo zao,chumba kimoja kila kitu humo humo,sasa anaogopa ukimkuta na hilo life,heshima itashuka,anataka uendelee tu kuamini kua,Dar na yeye anaishi kama Mo Dewji tu.

😀😀
 
Wengi wao hua wanaishi maisha ambayo ni tofauti na tambo zao,chumba kimoja kila kitu humo humo,sasa anaogopa ukimkuta na hilo life,heshima itashuka,anataka uendelee tu kuamini kua,Dar na yeye anaishi kama Mo Dewji tu.

😀😀
Ahahah kazi ipo
 
Mchele hauvimbi huu sio kama alioleta mdogo wake mwaka juzi nahisi mbegu za TARI hizi 🤣🤣🤣
Watu wa dar hapana

Mbona kabeba begi kubwa vile ana kaa siku ngapi?
 
.
Screenshot_20250111-233410_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom