Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakuli buku tu umeshiba. Mjini raha sana
Dar wana maisha magumu! Ndio wanaongoza kwa kulialia kwamba vyakula vimepanda bei!Vijiwe kibao vinauza eti supu ya maharage.
Unakuta watu wa Dar wanakatakata chapati na kuchanganya na maharage nao wanaona wanapata supu kukata hangover
Mbona sisi huku Igunga ni mwendo wa supu ya kuku, mbuzi n.k
Dar mbona kila kitu tabu?
Unajua maana ya hangover? Ukiwa na hangover manake sugaring inashuka. Nadhani utaelewa kwann walevi wengi asubuhi wanakunywa pepsiVijiwe kibao vinauza eti supu ya maharage.
Unakuta watu wa Dar wanakatakata chapati na kuchanganya na maharage nao wanaona wanapata supu kukata hangover
Mbona sisi huku Igunga ni mwendo wa supu ya kuku, mbuzi n.k
Dar mbona kila kitu tabu?
Mkuu hivi supu ya kongoro nayo si ngozi?Dar is overrated
Eti wanakunywa supu ya ngozi
FantaUnajua maana ya hangover? Ukiwa na hangover manake sugaring inashuka. Nadhani utaelewa kwann walevi wengi asubuhi wanakunywa pepsi
Hata kibogoyo anakula bila shidaBakuli buku tu umeshiba. Mjini raha sana
Maharagwe hasa MbeyaMaharage na Nyama kipi Bora katika kuujenga Mwili?.
Kuna ma2C ya mbuzi mee wanga tupuWanagonga na utumbo wa kuku wale wehu!
Haha 😂Huku kwetu ni mwendo wa supu ya mawe
Mi fanta au koka, zinatoshaKila mtu ana namna yake ya kukata hangover!sio lazima supu ya nyama...usikariri.
Kiepe Yai kisikauke fanta orange baridi sanaaaMi fanta au koka, zinatosha
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kiepe yai cha kukata hangover🤣Kiepe Yai kisikauke fanta orange baridi sanaaa
🤣🤣🤣🤣Nimeshangaa sana mleta mada kushangaa maharage watu tuna vitu vyetu hatunywi supu wala nini🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kiepe yai cha kukata hangover🤣
Uswaz supu ya marage ni uhakika🤣🤣🤣🤣Nimeshangaa sana mleta mada kushangaa maharage watu tuna vitu vyetu hatunywi supu wala nini