Watu wa Dar kuna ujumbe wenu huku kutoka kwa Nabii Mkuu

Kama inavyo someka ni habari au onyo kutoka kwa Mungu kupitia kwa nabii wake. Iwafikie wakazi wote wa jiji hilo na miji yote ya jirani..
😤😂😂😂😂😂
 
Alisema hatoangamiza Kwa gharika Wala moto, kauli yake ni agano,
Ndio maana Kuna upinde wa mvua kama agano.

Nabii wa mchongo atupumzishe.
Huo upinde wa mvua kama mmeshaubadilishia kazi mnategemea nin[emoji2],kwa maelezo ya nabii sababu za kuangamizwa maupinde wamezidi jiji joto halipungui[emoji2]
View attachment 2738919
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…