FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa Dunia utakuja kama mwizi, utawakuta watu wakiendelea na maisha ya kawaida.Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Asiwe tu wa mchongo 😂.kwani anaweza kutangulia yeye kuangamia🤔Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Tukianza maswala ya kutafuta uhakika hapa tutakesha , CHAKUFANYA fika kanisa lililo karibu na wewe kwa maelezo zaidiUnauhakika gani?au ushahidi gani?
Angewakomboa wala unga,jani, shisha na wapanda juu ya meza kwa kichwa,halafu angesogeaga na huku kwa tu mtu twa Dar🤸🤸🤸🏃🏃😂😂Kama ni unabii wa Mungu kweli angeanzia Unga limited arusha na si dar
Utakimbia na utamwachia na tu vitu vitu twako,na ukifika unajua kuwa tu vitu tweyewe tulisha kuwe vyake🤔😂😂😂🏃🏃😂Nitakimbia mpaka Morogoro siku yenyewe
Wengi mnaomponda nabii hapa mwisho wa siku mnaonekana kwa MwamposaNi ms** kama was** wengine
Ungalimited Arusha kuna tatizo gan,huyo nabii ametumwa kuwafunulia huo utabiri watu wa dar,kwa maelezo ya Nabii huo utabiri hautuhusu watu wa mikoani[emoji2]Kama ni unabii wa Mungu kweli angeanzia Unga limited arusha na si dar
Hivi Jani ni dhambi?,Angewakomboa wala unga,jani, shisha na wapanda juu ya meza kwa kichwa,halafu angesogeaga na huku kwa tu mtu twa Dar[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23]
Kwani kwa maelezo ya vitabu vya dini kabla Mungu hajaiangamiza sodoma/gomora si alituma malaika wake wakawasanue wale waliokua hawana dhambi waondoke?,nabii amefikisha ujumbe ili wale wema wasepeKwamba Mungu amedhmiria kuuangamiza mji kisha anampa "nabii" huo mchongo ili awasanue waangamizwaji wahame?
Habari njema ni kuhama,Kwahiyo hata wakitubu haitasidia[emoji28][emoji28]