atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
- Thread starter
- #21
Usije ukaa adopt tabia wanadaresalamu[emoji7] Mbeya moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije ukaa adopt tabia wanadaresalamu[emoji7] Mbeya moja
Never...mi nafanya ya kwetu.....kusex kwenye migomba....hatuna beach uyole hapaUsije ukaa adopt tabia wanadaresalamu
Haya mama uwe na jion njema na karibu sana ArushaNever...mi nafanya ya kwetu.....kusex kwenye migomba....hatuna beach uyole hapa
Asante sana baba🙏🙏🙏Haya mama uwe na jion njema na karibu sana Arusha
Sodoma na Gomorah ilikuwa funga kazi hata Mungu akaona aichome hiyo miji,Huo upinde wa mvua kama mmeshaubadilishia kazi mnategemea nin[emoji2],kwa maelezo ya nabii sababu za kuangamizwa maupinde wamezidi jiji joto halipungui[emoji2]
View attachment 2738919
Nabii Boniface yeye keshahama?Wewe endelea kusema watafuta kiki hameni huo mji,huo mji hauna tofauti na sodoma na gomora
Hakunaga Mungu yupoHameni huo mji,watu wana*****a kama hawana akili timamu
Tania tuKwahio Dar es salaam inazidi dhambi Paris, New York, London!? Huyu nae anatafuta kiki, hio siku itanikuta kitambaa cheupe.
TMA wamesema Kuna el nini,na may ni masika kwa dar,hao walokole akili zao huwa wanazijua wao tuKama inavyo someka ni habari au onyo kutoka kwa Mungu kupitia kwa nabii wake. View attachment 2738828Iwafikie wakazi wote wa jiji hilo na miji yote ya jirani..
😤😂😂😂😂😂
Nachokiamini Mimi ni kwamba hakuna nabii yeyote wa Mungu hapa duniani tangu enzi za biblia , Hawa waliopo ni watafuta kiki tu na njaa
Kabla Mungu hajawaza kuiangamiza Dar, kuna miji kama Paris huko ndio dhambi za kila aina sasa iweje atuonee sisi wabongo na tudhambi hutu tudogo tu.
Mkuu utahama Dar au hautahama ?Unauhakika gani?au ushahidi gani?
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Mkuu utahama Dar au hautahama ?
Humuamini bro Boniface ?[emoji28] Dsm sihami.
Utahama Dar au hautahama?TMA wamesema Kuna el nini,na may ni masika kwa dar,hao walokole akili zao huwa wanazijua wao tu