Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
wanaume wa Dar ifikapo tarehe hiyo watakuwa wamekimbia wote, kukimbilia mikoani wanawaacha wake zaoKama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Nyikani ndilo Taifa linalobeba Dunia katika Ulimwengu wa Roho,Kwahio Dar es salaam inazidi dhambi Paris, New York, London!? Huyu nae anatafuta kiki, hio siku itanikuta kitambaa cheupe.
Soma vizuri Mathayo 24 yote sura nzima, inaongelea pia Ishara za kurudi Kwa Yesu, imeandikwa pia itatokea DHIKI ULIMWENGUNI ambayo haijawahi tokea.YESU HAKUISHIA HAPO AKAENDELEA KUTUONYA.
watatokea Makristo na MANABII Wengi wa Uongo NAO watafanya Ishara kubwa na Maajabu yamkini wapate kuwapoteza walio wateule wake.
Mathayo 24:24.
Kweli wapo manabii wa UONGO, bt pia kama wapo waongo jua Manabii wa Kweli pia wapo.Huyo ni nabii au tapeli kama yule McKenzie wa nchi jirani!?
Wakati wa Nuhu watu walikebehi kama wewe lakini unaambiwa mafuriko yalipoanza watu walitafutana. Unapanda mlima mafuriko yanakufuata. Ilikuwa noma sanaScammer
Amempata mwarabu wa kimuuzia jiji, kisha atasema tuliondoka kwa hiari yetu bila kulazimishwa.Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Huyo Mungu wake ni kichaa tu.Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Imeandikwa, Dunia haitaangamizwa tena Kwa maji,Alisema hatoangamiza Kwa gharika Wala moto, kauli yake ni agano,
Ndio maana Kuna upinde wa mvua kama agano.
Nabii wa mchongo atupumzishe.
Kwani hili neno huwezi litumia kama ombi mbele zake na akasamehe.? Ni kweli ni agano la ulimwengu wote ila issue ni nani atakae kumbuka kukumbusha juu ya agano lake(na sio mafuriko yote yaliyofunika visiwa na miji mingi yalikuwa ni ya adhabu mengine ni man made na mengine hawakupatika watu wakumkumbusha Mungu juu ya ahadi yake(wakikosekana wa kumkumbusha agano lawezekana kuonekana batili refer kukaa kwa wana wa Israel zaidi ya miaka 77 wakati wa Daniel utumwani na mifano kibao) ukiwa unaelewa issue za mahakama za mbinguni utakuwa umenielewa )Imeandikwa, Dunia haitaangamizwa tena Kwa maji,
Dar sio Dunia!!
Kuna visiwa vimewahi kufunikwa na bahari baada ya gharika
Soma Kwa kuelewa BIBLIA.