Watu wa Dar mbona miili yenu haitoi jasho, mna AC mapafuni

Watu wa Dar mbona miili yenu haitoi jasho, mna AC mapafuni

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nina siku kadhaa nikikaa tu mahala kupata safari lager, watu laZima waniulize bro vip umetoka mkoa?

Nasema hapana

Wanasema unavyotoka jasho hivi wewe ni wa mkoa nami naamua kukubali.

Jua na joto la Dar linachoma kama pasi, lakini watu miili mikavu wala hawajali wapo kawaida, nashangaa hawa watu washakuwa Sugu na joto.

Wacha jumamoto pakuche nirudi zangu nyumbani Ngara niwahi mvua nipande mahindi na maharage,
Tukutane tena baada ya mavuno mwezi January

Waacha niawaachie joto na shida zenu watu wa Dar
 
Ni heri nikaishi serengeti na fisi kuliko kuishi DAR.

DAR ni kama kuzimu...... au TANURU LA MOTO WA GESI.

Yaani kweli niache kuenjoy life mikoa maridhawa kama Arusha na Mwanza eti niende DAR na bichwa langu hili.....

Mnaoishi dar mna moyo.... Jiji lenyewe linanuka MAVI kila pande.
 
Ni heri nikaishi serengeti na fisi kuliko kuishi DAR.

DAR ni kama kuzimu...... au TANURU LA MOTO WA GESI.

Yaani kweli niache kuenjoy life mikoa maridhawa kama Arusha na Mwanza eti niende DAR na bichwa langu hili.....

Mnaoishi dar mna moyo.... Jiji lenyewe linanuka MAVI kila pande.
Watu wa Dar ni wagumu
 
Ni heri nikaishi serengeti na fisi kuliko kuishi DAR.

DAR ni kama kuzimu...... au TANURU LA MOTO WA GESI.

Yaani kweli niache kuenjoy life mikoa maridhawa kama Arusha na Mwanza eti niende DAR na bichwa langu hili.....

Mnaoishi dar mna moyo.... Jiji lenyewe linanuka MAVI kila pande.
Na hizo dhambi ulizonazo bora usije tulizonazo huku zinatutosha
 
Nina siku kadhaa nikikaa tu mahala kupata safari lager, watu laZima waniulize bro vip umetoka mkoa?

Nasema hapana

Wanasema unavyotoka jasho hivi wewe ni wa mkoa nami naamua kukubali.

Jua na joto la Dar linachoma kama pasi, lakini watu miili mikavu wala hawajali wapo kawaida, nashangaa hawa watu washakuwa Sugu na joto.

Wacha jumamoto pakuche nirudi zangu nyumbani Ngara niwahi mvua nipande mahindi na maharage,
Tukutane tena baada ya mavuno mwezi January

Waacha niawaachie joto na shida zenu watu wa Dar
Kuna kifaa huwa kinawekwa kwa wakazii wote wa Dsm wenye kipato na makazi maalumu ya kueleweka(permanent address) Hicho kifaa kinazuia jasho kutoka hovyo. Sasa wewe umetoka Mkoani unakuta hata sehemu ya kuoga inakuwa kipengele ndio maana hawawezi kukufunga hicho kifaa.
 
Back
Top Bottom