Watu wa Dar mbona miili yenu haitoi jasho, mna AC mapafuni

Watu wa Dar mbona miili yenu haitoi jasho, mna AC mapafuni

😆😆Kwamba hali ilivo hivi
Nyie watu wa Dar mnasema joto imepungua
Wewe hujakutana na joto mujarabu
Kwa sasa nyuzi joto zinacheza 24
Screenshot_20240908_085839.JPG

Linganisha na hii taarifa ya hali ilivyokuwa kwa muda huo alafu utapata jibu kuwa kwa sasa joto sio kali sana. Ungeingia kipindi nyuzi joto ni 28+ ndio ungelowana mpaka mate kwa jasho.
Screenshot_20240908_090120.JPG
 
Watu wa Dar wana roho ngumu sana, unakuta mwamba kavaa tshirt na vest ndani na koti juu hatoki jasho, wewe hapo unatamani uzibwage zote
 
Watu wa Dar wana roho ngumu sana, unakuta mwamba kavaa tshirt na vest ndani na koti juu hatoki jasho, wewe hapo unatamani uzibwage zote
😆😆
Miili Yao sijui ina Nini
Yaani jua la saa 7 unakuta mtu kavaa koti kabisa anadunda
 
Ni swala la kisayansi(bilojia) kwenye mwili

Na ,ulivyo kituko utakuwa unabugia maji ya baridisana na hatari pia

Wakati unakunywa vitu baridi unafanya mwili kujifunga ku-rejuleti joto ya mwili hivyo unaendeleza pambano la kusweti
 
Ni heri nikaishi serengeti na fisi kuliko kuishi DAR.

DAR ni kama kuzimu...... au TANURU LA MOTO WA GESI.

Yaani kweli niache kuenjoy life mikoa maridhawa kama Arusha na Mwanza eti niende DAR na bichwa langu hili.....

Mnaoishi dar mna moyo.... Jiji lenyewe linanuka MAVI kila pande.
Hayo maswala yenu ya Upinde baki nayo hukohuko!! Kaoge tulimwombea dua akafa, kama nawewe kifo kinakuita njoo Serengeti uone kudadadeque zako
 
Back
Top Bottom