Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na uwezo wa kuingiza angalau elfu 40 kwa siku nitafute nikuunganishe na Daktari anayetoa huduma ya kufunga kikausha jasho.Hii Siri siijui
Sawaaa ,ww Rudi kalimee mazao yakiiva wapelekee chukua Chako Rudi ngara afsaaa wangu,waachie dar wenye dar Yao 😂Koti sivai mkuu
Ila kweli fukuto la joto la Tanga ni nomaTanga kuna joto bwana asikwambie mtu.
Umechagua fungu jemaSio mkazi wa DAR
Narudi kwetu Ngara
Na akajizolea wafuasi kibao. Na manabii wao wa uongo wote wamejazana hukohuko ila waaapi🙆♀️🙆♀️😆😆🤣
Dar dhambi nyingi
Hadi kiboko ya wachawi yupo Dar🤣
Nakazia, tena kwa sasa joto limepungua sana sio kali kama ilivyozoeleka.Jitahidi ujue kuoga vizuri
Asante.Karibu Dar
Ni kawaida hii ukitoka mkoa,ila hubadilika baada ya mwili ku adapt mazingira kwa kipindi kifupi tu.Nina siku kadhaa nikikaa tu mahala kupata safari lager, watu laZima waniulize bro vip umetoka mkoa?
Nasema hapana
Wanasema unavyotoka jasho hivi wewe ni wa mkoa nami naamua kukubali.
Jua na joto la Dar linachoma kama pasi, lakini watu miili mikavu wala hawajali wapo kawaida, nashangaa hawa watu washakuwa Sugu na joto.
Wacha jumamoto pakuche nirudi zangu nyumbani Ngara niwahi mvua nipande mahindi na maharage,
Tukutane tena baada ya mavuno mwezi January
Waacha niawaachie joto na shida zenu watu wa Dar
Hamna joto kabisa saivi, wa mkoani wana majunguNakazia, tena kwa sasa joto limepungua sana sio kali kama ilivyozoeleka.