Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wewe hujakutana na joto mujarabu😆😆Kwamba hali ilivo hivi
Nyie watu wa Dar mnasema joto imepungua
Wamemisi mkoa hao, huyu mleta mada wa ngara itakuwa kaanza kuzimisi senene 😂Hamna joto kabisa saivi, wa mkoani wana majungu
Ndugu kama mwezi huu umelalamika hivyo basi hiyo January ndo usije kabisa aisee. Wasalimie sana Ngara aisee kitambo Nyamiaga,kanazi,buhororo,nk
Anatafuta kisingizio tu cha kuwapa wenyeji wake ili arudi kwao🤣Wamemisi mkoa hao, huyu mleta mada wa ngara itakuwa kaanza kuzimisi senene 😂
Kesho namuona kwenye basi akirudi ishomileAnatafuta kisingizio tu cha kuwapa wenyeji wake ili arudi kwao🤣
😂 acha uoga mkuu yani jasho linakukimbiza mjiniKesho mapema naingia Ngara
Siti ya mbele kabisa kwa dereva ili awahi kufikaKesho namuona kwenye basi akirudi ishomile
Kashaweka wazi kesho mapema sana kabla joto alijakolea atakuwa kwa basi.Siti ya mbele kabisa kwa dereva ili awahi kufika
Hayo maswala yenu ya Upinde baki nayo hukohuko!! Kaoge tulimwombea dua akafa, kama nawewe kifo kinakuita njoo Serengeti uone kudadadeque zakoNi heri nikaishi serengeti na fisi kuliko kuishi DAR.
DAR ni kama kuzimu...... au TANURU LA MOTO WA GESI.
Yaani kweli niache kuenjoy life mikoa maridhawa kama Arusha na Mwanza eti niende DAR na bichwa langu hili.....
Mnaoishi dar mna moyo.... Jiji lenyewe linanuka MAVI kila pande.
Sawa mkuu kila la heriHapana nawahi kilimo
Muda wa kupanda maharage na mahindi huu