Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Wanaume mnaitwa. Leo chambo limewaangukia.

Sema dada shemeji G bonge la bwana kweli. Sio kwa smile ile wallah.
Wakubwa mnafaidi bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan Mzigua Raha anazonipa G natamani hata mjue lakin nashindwa kushare yaliyomo moyoni mwangu aisee ananipa raha mno,sijawah pata aisee mama yake alimlea haswaa

Nawe utafaidi mengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mpo kazini!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom