Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
DohWee lala tu
Wengine tunasubiri wateja
[emoji252] [emoji479]
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DohWee lala tu
Wengine tunasubiri wateja
[emoji252] [emoji479]
Hapo kanywa wine ya St. Anne. Pombe haiwezi kabisa. Siku tukikaa nae na Shunie atajifunzaSaa hizi ushalewa na kurudi nyumbani
Kichwa chako siyo cha pombe aisee
[emoji252] [emoji479]
Koh koh kohMbona yule ni Wa Arusha?
Au kule ni tawi LA daslama?
[emoji252] [emoji479]
Hahahahahaa.. Jebel si jamii ya kina Konyagi eeh? Japo wanajitia ina harufu ya nazieti eeehh??... Hakuna Heineken na Windhoek za house party on my place!.. Shunie mwenyewe anapiga hadi Jebell, Nyumbani unakunywa crate kusubiri nani ashuke!?..
Bila kukunenepesha nitasifiwaje sasa!?..🙂
Hapo kanywa wine ya St. Anne. Pombe haiwezi kabisa. Siku tukikaa nae na Shunie atajifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaa.. Jebel si jamii ya kina Konyagi eeh? Japo wanajitia ina harufu ya nazi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau kesho yake ilikua jumatatu eeh? Ingeekua sio siku ya kazi mbona tungekesha.Yaan halafu nikiwa nimelewa natamani kukesha tu unakumbuka ile siku mnaondoka nawaambia mbona mapema tuendeleeni kukaa
Nakuumbuka niliionjaga Leaders kwenye fiesta. Halafu sijawahi kukaona tena hako kapombeKumbe mm na ngumu kumeza wapi ka wapi jamani
Umesahau kesho yake ilikua jumatatu eeh? Ingeekua sio siku ya kazi mbona tungekesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahhaNakuumbuka niliionjaga Leaders kwenye fiesta. Halafu sijawahi kukaona tena hako kapombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume mnaitwa. Leo chambo limewaangukia.
Sema dada shemeji G bonge la bwana kweli. Sio kwa smile ile wallah.
Wakubwa mnafaidi bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mpo kazini!!Yaaan Mzigua Raha anazonipa G natamani hata mjue lakin nashindwa kushare yaliyomo moyoni mwangu aisee ananipa raha mno,sijawah pata aisee mama yake alimlea haswaa
Nawe utafaidi mengi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Au Ijumaa. Sema nimepumzika kunywa kwa muda usiojulikanaInatakiwa makutano yawe jumamosi sasa