Watu wa Kaskazini watoka kifungoni; Moshi na Arusha zarejea kwenye hadhi tuliyozoea kabla ya 2016. Watu wanashangweka ile ile!

Watu wa Kaskazini watoka kifungoni; Moshi na Arusha zarejea kwenye hadhi tuliyozoea kabla ya 2016. Watu wanashangweka ile ile!

Baada ya akina Gambo, Sabaya, Mneti, Muro, na viongozi wengine kutowesha amani na furaha ya Xmas Kaskazini kwa kisingizio cha kulinda amani na kuepusha vurugu hatimaye mwaka huu tunaona Ndugu zetu kwa mara nyingine wakirejea makwao Kwa furaha huku biashara zikipamba moto.

Ni kama wamepata Uhuru ulioibwa na baadhi ya watu walioaminishwa kwamba ukanda flani ni watu wasiopaswa kufurahi huku hata biashara zikitakiwa zimilikiwe na watu wa mrengo flani tu na ukitaka kufungua biashara ukiwa na mrengo tofauti basi utafilisiwa au kufanywa vyoVyote uondoke sokoni.

Nimpongeze Mama kwa kufuta ukiritimba wa akina Sabaya na akina Jeryy Muro na vikosi vyao, nimwombe atuwekee utaratibu mzuri wa kikatiba utakaozuia yaliyopita yasijirudie tena.

Akina Manka kuleni maisha msiwasikilize wasiojua kutafuta, msiwasikilize wasiopenda kwao, msiwasikilize akina ishomire tunaokimbia makwetu na kuja kuwekwa lockdown huko Kwa watu. Vibe la Moshi lafaa kusindikizwa na bia tamu
Ulikuwa ukienda moshi/Arusha unasimamishwa mara 50 na trafic uchwara kumbe walikuwa tu na nia ovu .Mama mungu akupe maisha marefu saaaana
 
Amdika la kishenzi na andiko la kutuonesha nyinyi ni wabaguzi haijawahi kutokea baba wa Taifa alishatuonya kuhusu tabia zenu
Ni ukweli mtupu ,Mama kaondoa ule uzandiki uliokuwepo ,miaka mitano ya mateso ndani ya nchi yetu ,Mama Mungu akubariki saaaana
 
Kumbe hamuna habari na Mbowe mnafurahia siyo?
Kipi Cha maana alichofanya Hangaya huko?
Au ni chuki zako juu ya awamu ya tano?
Na wewe umeanza kumendea teuzi?
Mbowe ,ni msele aliorithi mama toka kwa watangulizi wake na kwa kuwa mama anataka haki itendeke hakuna namna ila ni afadhali hata Mbowe afungwe kuliko kuridi kwenye mateso ya miaka mitano ya iliyokuwa jasho na damu.Kunyanganya watu hela zao kwa kisingizia cha kodi ulikuwa ni unyama uliopotiliza.
 
Wakilimanjaro ulimbukeni hautawaisha, yaani kama ni utamaduni wenu iweje Leo iwe kitu kigeni? Kweli ushamba hauna bei
Miako mitano iliyopita mkuu ,ilikuwa ni mateso kwenda na gari kwenu ,ulikuwa unakamatwa na trafic police kama mwizi ,wengine tuliacha kabisa kuendesha ,ila juzi nimeondoka ,nimesimamishwa mara moja tu na trafic walikuwa very friendly
 
sitanunua chochote kwa mchaga, na eneo nilipo huo ndo msimamo wetu.


wachaga wengi wenu ni wakabila na wapumbavu sana.


nilishaapa ndugu yangu akioa mchaga sitaenda kwake na hata yeye kwangu sitapenda aje na huyo hawala yake na ninayo furaha kuzuia ndoa ya mtanzani lichaga la kike.
Mchagga mwenyewe inawezekana hata hajui kama kuna kiumbe kama wewe kina exist kwenye ulimwengu huu,mi niliwahi kuapa kutoshirikiana na mtu yeyote mwenye itikadi ya chama fulani cha siasa,ila siamini kuwa leo ndiyo marafiki zangu,japo tunapishana itikadi.
 
Back
Top Bottom