bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaMagaidi hawana nafasi dunia ya sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaMagaidi hawana nafasi dunia ya sasa.
Huyo allah wanae mwabudu ni shetani na tabia zake zinadhihirisha hilo.Uislam si dini ya Mungu, hata siku moja. Kama ni dini ya Mungu kwa nini Mohammed alipewa msaafu na shetani?
Mkuu kwan ww hutak bikra 70.?Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiendelea kuziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
Ubelgiji tayari wameshaanza kumpambania allah! Wanataka kuigeuza nchi kuwa na Serikali ya kiislam yaani caliphateUjinga ni ugonjwa pia wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
😅😅😅Kwa hiyo akivaa muislamu ndio haitakiwi mbona unajibu bila ya kukosa elimu!?
Unapajua Arumeru sheria walioweka juu ya mavazi!?
Wapi nimekuambia Arumeru wamelazimisha watu kuvaa hijabu ?unaonekana uelewa ni mdogo , Arumeru iweka taratibu za mavazi na ni lazima!Sijawahi ona popote wayahudi wakilazimisha watu au kutaka kupanga mavazi yao kilazima popote pale. Mkuu ukienda sehemu fanya kama wanavyotaka wao kwa utaratibu ulioukuta sio kuanza kuleta sheria zako au taratibu uzitakazo.
Arumeru hawajalazimisha kuvaa hijab mkuu
Wapi nimekuambia Arumeru wamelazimisha watu kuvaa hijabu ?unaonekana uelewa ni mdogo , Arumeru iweka taratibu za mavazi na ni lazima!
Kama umeenda sehemu ukakuta sheria za watu kwa nn usifuate?
Zipo sheria hata za nyumba hta nchi ina sheria zake ndio maana hapa bongo mirungi haitakiwi ila kenya ni biashara kama kawaida...Sasa ukutwe na mirungi ndio utajua .
Mbona bangi USA ni ruksa hapa bongo mtu kafungwa miaka 10 ,kwa nn usifuate utaratibu na sheria ni lazima.
Wewe unaangalia mavazi huoni hapo FIFA mtu kamkiss mchezaji wa kike kapewa hukumu...Kwa nn hauna hoja za msingi!?😅😅View attachment 2804573
Mkuu tatizo waislamu hampendi kuambiwa ukweli.Ujinga ni mzigo pole sana
Hii mkuu umeitoa wapi???Uislam si dini ya Mungu, hata siku moja. Kama ni dini ya Mungu kwa nini Mohammed alipewa msaafu na shetani?
Mm sikuulizi wewe maana hata nikikuuliza hujawahi kuishi ulaya.Hili swali niliwauliza waarabu rafiki zangu ruliokya tunakaa apartment moja mjini Nice.Panic za nn dogo!? Chizi aliyekuzaa!!
😅😅Hiko kitabu hapo aliyevaa ni muislamu.
Sasa huoni kama hujielewi!?Mm sikuulizi wewe maana hata nikikuuliza hujawahi kuishi ulaya.Hili swali niliwauliza waarabu rafiki zangu ruliokya tunakaa apartment moja mjini Nice.
Nikawaambia huku tupo ugenini na sio saudia,,basi lazima tufuate sheria za huku na sio kuleta mambo yetu...na kama hatuwezi tuondoke maana hatukulazimishwa kuja ufaransa.
NB: HICHO KITABU NAONA PICHA YA KUFIKIRIKA YA MARIA MYAHUDI.
USITOKE NJE YA MADA MIMI NAZUNGUMZIA UFARANSA.
Mkuu sasa hujanielewa nini.Sasa huoni kama hujielewi!?
Ukifika nchi zao fuata masharti yao sio itikasi kuvaa hijabu ni lazima katika nchi za kiislamu kama wanataka...😅😅
Kwa vile ni sheria zao sio itikadi kali
..Na huku kwingine hawatki hilo vazi ni wao mbona nchi za kiislamu zikifuata sheria zao ndio mnasema ni itikadi kali tu!?
Soma mleta uzi kaandika nn kwanza!?Mkuu sasa hujanielewa nini.
Hili swali Nilikua namuambia mchumba wangu wa kiarabu aliyekua hajielewi anangangania kuvaa hijabu tukiwa tunaenda chuoni wakati wamekataza
NB: NANI KASEMA ITIKADI KALI?? USHAONA UFARANSA KUNA MTU ANAJIUMIZA KICHWA NA MAMBO YASIYOMUHUSU,,,,,KAMA NINGEMUOA YULE DADA INA NAANA TUNGEENDA SAUDIA NISINGESHANGAA AKIVAA HIJABU NA NIQAB,
ILA SIO UFARANSA
wewe huoni kama hii ni propaganda? Please read between lines usifunikwe na chuki tu.WAISLAMU NA UISLAMU WANA MATATIZO YA ELIMU YA KUHESHIMU IMANI ZA WATU WENGINE NA WAKIAMBIWA UKWELI HAWATAKI WANAPIGANAView attachment 2804495
Mkuu mm nazungumzia ufaransa,,,na experience yangu huko wakati nipo chuoSoma mleta uzi kaandika nn kwanza!?
Kuwepo kwa binde lazimq kwa vile hata mvaa vipedo hawezi kuvaa nguo ndefu...Hi nina maana kuna sheria husika ambazo lazima zifuatwa halafu kuna watu ambao sio wote wanaweza kufuata.
Kupewa adhabu ni jambo la kawaida kwa vile wote hawawezi kufuata sheria.
Hapa kwetu kuna dada yetu alikuja ni upande wa bibi maana ni wakristo, basi alivaa nguo za kubana mno palikuwa na msiba ilikuwa 2002 kitu kama sijakose.....Hiyo nyumba wenyeji ni wakristo ila walikataa asiingie mpaka avae kanga au andokee.
Na wazee wengi walitaka tena aombe msamaha ila aligoma na kusema ananyanyaswa ,hapo ni wakristo kama ingelikuwa ni kwetu basi maneno yengesambaa kwamba tuna itikadi kali.
Sio proganganda mkuu ebu ona msingi huu mmoja wa dini ya kiislamu kuuhusu chuki dhidi ya imani nyingine.wewe huoni kama hii ni propaganda? Please read between lines usifunikwe na chuki tu.
Sina chuki ila nazungumzia ukweli wa dini za binadamu.wewe huoni kama hii ni propaganda? Please read between lines usifunikwe na chuki tu.
Mbona mnapinga watu kuvaa hijabu ?😅😅😅
Tulia wewe mpakwa mafuta😅😅Tulia wewe mzee wa kobazi