Watu wa kutoka mataifa ya itikadi kali ni wa ovyo sana hata kama wako ugenini

Watu wa kutoka mataifa ya itikadi kali ni wa ovyo sana hata kama wako ugenini

Mkuu mm nazungumzia ufaransa,,,na experience yangu huko wakati nipo chuo
Kwani nguo ina maanisha dini fulano? Ndio maana nakuambia nchi za kiislamu pekee ndio utasikia wana misimamo mikali wakisimamia sheria zao ila kwingine ni free.😅
 
Hawa ndugu wana mambo ya ajabu sana, sana…tunawaona huku!
 
Kweli kabisa.Hawa jamaa sijui wakoje.Ninakumbuka 2015 wa syria walikuwa wanakimbilia Germany. Yaani wanakatiza Uturuki. Nilijiuliza why wasibaki Uturuki kwa waislamu wenzao ?
Uturuki ndio nchi iliyopokea wakimbizi wengi kuliko nchi yoyote duniani fyi
 
Nilivyokuwa ulaya sikuwahi kusikia zile adhana zao, kwa namna ambavyo wameruhisiwa kuingia kwa wingi hasa kufuatia machafuko ya kule Syria na kwa kasi yao kubwa ya kuzaliana ikiwa ni mkakati wao wa kuwa wengi ili ku- dominate mdogo mdogo wataanza kulazimisha mambo yao.........kwa kweli wazungu wameyakanyaga.
 
Mkuu tatizo waislamu hampendi kuambiwa ukweli.
Dini yenu imejengwa kwa msingi wa kubagua imani za wengine.
Hivyo msione ajabu na nyinyi mkibaguliwa
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
 
Wale ni kama ngamia ukimruhusu aingize kichwa tu bandani mwako anaingiza mwili mzima na kubomoa kibanda. Hata hawa wa mandongokuinama tunaoishi nao ukiwapangisha kwako wanaanza kutoboa mlango upande mwingine ili usinajisi mambo yao. Kama wana shida ukawapa hifadhi hawana shukrani wanakugeukia na kuona ni adui wao wanakufanyia kitu mbaya wakidai ni mungu wao tu ndiye aliwanusuru wapone
 
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
Mkuu haupendi kuambiwa ukweli na hilo ndilo tatizo la waumini wa dini ya kiislamu duniani kote.
Wanaogopa kukosolewa na matokeo yake wakishindwa hoja wanaanzisha vurugu wanayoiita kwa kiarabu JIHAD
 
Sawa fuata injili upate wanawake 100 ,wazazi 100, watoto 100 kama zawadi😅😅😅.

Hizo kenge zenu zinazovaa uchi zinatumika tu na ndio zinaleta UTI.


View attachment 2804427
Nafikiri umeelewa nilichosema, si ndiyo? Binafsi siamini wala kufuatilia dini za watu (Judaism, Christianity, Islam) kwani si dini za ukweli, zimetungwa na wajanja tu kusingizia Mungu ili kutia watu hofu. Sasa hapa kutokana na hii quote uliyoweka unataka mimi nifanyeje, unataka kuniambia ulikuwa hujuwi kuwa Uislam umeiga Ukristu vitu vingi tu? Hakuna Mkristu aliyeahidiwa wanawake 100 mbinguni baada ya kujiua, naona mwenzangu hujuwi lugha ngeni, uliyoweka hapa na kuyaandika ni vitu viwili tofauti.
 
Back
Top Bottom