Watu wa mikoani mnatujazia jiji letu

Watu wa mikoani mnatujazia jiji letu

Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Jiji lenu wewe na nani?😂😂
 
Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Usikute unakaa ulongoni A alafu unajinadi upo dar

Umerogwa na nan?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Unaongea kama Mpwayungu
 
Ni dar tu ambako wanaume wanatoga masikio na kuvaa hereni na kupaka wanja na na vitu vinavyofanana na hivyo mje mkoani mmevaa hivyo mtaolewa mmoja baada ya mwingine
 
Watu wa dar wakija mikoani zawadi mkate, wakati siku hizi mikate kila Kona.
 
Jinsi ulivyoandika inaonyesha kabisa we mwenyewe hii ndio masika Yako ya kwanza ukiwa Dar
 
Kuna kitu nataka kuandika nahofia watu wa mikoani wasije kunishambulia maana naona jinsi wanavyotupa makombora humu..
 
Unazani flat nchi 55 ndio yakumshangaza mtu na chumba cha kupanga joto kali kama jehanam uchunguzwe akili watu tunashangaa uwekezani ambapo bila ya akili yako ya uwekezaji watu Karibia 100 wangekosa ajira Chezea kuwa boss ww na demu wako nampa ajira katika uwekezaji wangu namla na mozigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazani flat nchi 55 ndio yakumshangaza mtu na chumba cha kupanga joto kali kama jehanam uchunguzwe akili watu tunashangaa uwekezani ambapo bila ya akili yako ya uwekezaji watu Karibia 100 wangekosa ajira Chezea kuwa boss ww na demu wako nampa ajira katika uwekezaji wangu namla na mozigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujasema
 
Back
Top Bottom