Watu wa mikoani mnatujazia jiji letu

Watu wa mikoani mnatujazia jiji letu

Yaani kuishi dar ndio umeona kwamba dunia yote yako? Huu ni ushamba wa kijinga sana na isitoshe watu wa mikoani pamoja na ushamba wao wanakuzidi parefu mno kimaendeleo wewe endeleo kujivunia hilo geto lako.
Mpaka useme
 
Siyo kwamba mtoa thread hii ana IQ ndogo,huyu anateswa na mibangi anayoivuta akiwa amejificha chooni.
 
Tupo wenyewe tumenyamaza tu watoto wa Shomvi. Mzaramo hasa hawezi kusema maneno haya, hawa ni wale wakuja tu, si unaona hata Kiswahili kinawapiga chenga mtu anaandika "lafunzi" badala ya lafudhi.

Watu wa asili wa miji mikubwa kikawaida huwa hawana ubaguzi, wanapenda wageni, huko kukosa ubaguzi ndiko kumefanya miji hiyo kufanikiwa.

Kuna siku nilikuwa New York City, naongea na OG mmoja mzee mweusi wa New York City, tulikuwa tunaongelea ubaguzi katika watu wa New York City wanaojiona wao watoto wa mjini. Akaniambia kuwa, wale watu wa New York City wenyewe wa asili miaka nenda miaka rudi huwa hawana noma na mtu, hawana ubaguzi, ila wale waliokuja miaka 10 au 20 iliyopita kutoka the Carolinas, Mississippi, Puerto Rico etc., ndio wenye kujifanya kwamba wao watu wa New York City saanaa, bado wanalimbuka na mji.

Sasa sisi ambao baba za bibi zetu ndio walijenga hayo majumba ya katikati Dar (baba yake bibi yangu kajenga kanisa la Azania Front, wamemaliza kujenga mwaka 1903, na kabla ya hapo familia ilikuwepo Dar es salaam) huwezi kutusikia tunatukana watu wa kuja.

Huwezi kumsikia Ali Tambaza akitukana watu wakuja na kwamba familia yao ya Jumbe Tambaza ndio wenyeji wa Dar. Huwezi kuwasikia kina Pambe wakitoa kashfa hizo.

Na Jumbe Tambaza kamkaribisha mpaka Baba Kabwela Mwalimu Nyerere mjini. Mwalimu Nyerere mwenyewe kasema habari hizi mara kadhaa, mpaka hotuba yake ya kustaafu karudia alivyorushwa makaburini akifanyiwa tambiko la Wazaramo na Jumbe Tambaza.

Sasa Jumbe Tambaza angesema huyu Nyerere wakuja, hatumtaki sisi watu wa mjini, tungepata uongozi uliotupatia uhuru bila ya kumwaga damu wa Mwalimu Nyerere?

Huwezi kusikia sisi kina Chanzi, kina Pazi, kina Shomvi, kina Chamgui tunawasema wakuja, labda kama utani wa jadi na watani wetu kina Rupia na Wanyamwezi, na huu tunafanya kwa kujuana wenyewe bila kuhatarisha mahusiano, kuna sanaa yake. Kwanza tumeoana sana, ukiwatukana Wasukuma utajikuta umewatukana watu wengi sana ambao ni ndugu zako, binamu zako, baba zako, wajomba zako etc.

Ukiona mtu anashikia bango kuwa yeye mtu wa Dar, na wengine ni wakuja, ujue huyo si mtu wa Dar.

Kiranga ChaNgeda Sakala Kandumbwa
Misheni Kota/Mwembetogwa/Mchafukoge/Kinyasini/ Upanga/ Oysterbay/ New York City.
Anakuja Mtu kama Mohamed Said mmanyema ambaye kizazi cha pili tu nyuma yaani Babu yake ndiye aliyetoka Manyema huko Kigoma leo anajiita Mtoto wa Kariakoo na kuwaita wengine Wakuja

Ama anakuja Mwanamke FaizaFoxy ambaye Baba yake Mnyamwezi wa Mkuranga huko Pwani lakini kwakuwa alisogea kidogo na kuzaliwa Dsm anasema Dsm ni ya kwao

Ally na Abdul Sykes walitokea Afrika ya Kusini

Dar es Salaam ni ya Wazaramo hasaa, hao wazee koo za kina Tambaza, Shomvi na Pazi

Hawa wengine wote ni Wahamiaji wa siku nyingi Dsm waliokuwepo kabla ya Uhuru lakini na wao ni Wakuja tu akina Sykes, John Rupia, Tambwe, Dosa Azizi, Tewa Saidi Tewa, Kasela Bantu, Nyerere na wengine
 
Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Hilo Jiji ulijenga wewe na nani mpaka liwe lenu?

Si bure hata Flat moja huna wala barabara lenye jina lako
 
Uyu dogo ni mshamba na sio yeye tu wapo wengi mtaani wa aina yake,
Hawanaga maendeleo hawa madogo kazi kuwasimanga watu wanaotoka mikoani kiuhalisia maisha yao ni mabovu mnoo washazoea njaa yani wanashindia mihogo na mishe wanazofanya hazieleweki wanaishia kujipodoa kupita kiasi ili waendelee kuonekana watoto wa mjini at the end wanaanza kuliwa jicho

Me nawaheshim sana watu wanatoka mkoa uko unampa miezi sita tu unakuta kashapiga hatua wapumbavu kama wewe utaendelea kuwaita wakuja ila ndo wanaoshika uchumi wa Dar
 
Uyu dogo ni mshamba na sio yeye tu wapo wengi mtaani wa aina yake,
Hawanaga maendeleo hawa madogo kazi kuwasimanga watu wanaotoka mikoani kiuhalisia maisha yao ni mabovu mnoo washazoea njaa yani wanashindia mihogo na mishe wanazofanya hazieleweki wanaishia kujipodoa kupita kiasi ili waendelee kuonekana watoto wa mjini at the end wanaanza kuliwa jicho

Me nawaheshim sana watu wanatoka mkoa uko unampa miezi sita tu unakuta kashapiga hatua wapumbavu kama wewe utaendelea kuwaita wakuja ila ndo wanaoshika uchumi wa Dar
Mihogo chakula
Hatukutaki dar kwani lazima kuja
 
Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Dar yenyewe mvua ikinyesha hata Postal panakuwa kama zizi la ng'ombe

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Nina hasira sana.

Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.

Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.

Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.

Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.

Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.

Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Sisi ambao mmetukuta jiji mbona hatuwasimangi?
 
Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
 
,,,,,
Screenshot_20231103-091637.jpg
Screenshot_20231103-103050.jpg
 
Hahaha [emoji1787][emoji1787]mtani wangu umempa za uso huyo jamaa mm nimekuja dar nikapokelewa na mzaramo na akanipa ramani ya maisha mpaka leo nimetoboa na wala sijawahi msikia akitamba labda tukiwa tunataniana tu.Respect sana kwa wazaramo kwanza mtani dada zako wanajua kutupa raha [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom