taikuny
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,207
- 715
Kinachotoke mkuu ni hofu kwa raia maana vile walivyo vaa na yale maslaa wtz hatujazoea asa mtu akiwaona na to anaanza kutetemeka na wale mabwana wakishakuona ivyo to wanaanza kama utani kukugusa nalifimbo usipokaza saut kujitetea na maswali yao ndo kweli wanakuchapa inabidi wabadirike kwa mtindo ule raia wataama nyumba zaoInasikitisha sana mkuu ila tutafanyaje watu watapigwa bila huruma