Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

Hakuna Namna. Viboko Vitembezwe Tu Tena Sana TU

Mkuu, jitahid kufikiria kabla hauja andika kitu,
Mdogo wangu aliwai kukamatwa saa mbili usiku akitoka dukani ati kwamba ni mzururaji,na kupelekwa polic station kupigishwa deki na kuruhusiwa kurudi saa 4 usiku.
 
Kuna tafsiri panatu katika neno uzalendo, ilakwa hao nduguzetu wa huko kitendo chakizalendo ambacho wangetakiwa kufanya "kama hawakufanya" nikutoa taarifa ya mwenendo wa vitendo vya kihalifu ambavyo vinaweza kusababisha madhara kwa taifa.
Unasoma darasa la ngapi wewe kijana??
 
Natumaini wenye viti vya serikalini hata mbunge wa maeneo hayo nao waongelee, ili watueleze kinachojiri kiundani.

Bila hivyo habari hii itaonekana ni uongo tu.

Kila kitu kinaanza kama Uhongo hata zile pesa za Escrow mlisema ni Uhongo na ya Lugumi mlisema ni Uhongo ni kawaida ya watanzania kukataa ukweli
 
Duh!!!Hapo imani yetu kwa polisi itabaki kuwa vile vile,askali si rafiki wa wananchi. Na hapo Ndio wamejiharibia kabisa...Maana nltegemea askari Ndio wawalete raia Karibu nao ili wapate taarifa nyeti. Lakini hapo,nothing no more.
 
Kwani Polisi hawana taarifa za kiitelejensia? Kama hawana basi uweledi wao wa kazi ni wa kubabaisha
 
Kufuatia kitendo cha jeshi la polisi kukumbwa na mfululizo wa mauji ya walinda amani wetu kwa uweledi wa hali ya juu kabisa wakazi wa barabara kati ya kibiti na Mkuranga wamechezea fimbo mchana kweupe.. na kulazimishwa kulala saa kumi na moja jioni

Wakazi hao na watanzania kiujumla hatujatangaziwa kwa nini mauaji haya yaendelee either kwa sababu za kiusalama au vinginevyo ila kinachoshangaza ni hii strategy ya kisasa kabisa yakuchezesha raia fimbo
Kwa mujibu wa shuhuda wa macho wanasema waliokua wanapigwa ni akina mama wenye watoto,vijana,na yeyote yule ambae alikua anakutwa na polisi etc, sababu iliyosababisha kukimbia vijiji kwa muda na walipohoji hawakupata majibu
Katika vipigo hivyo heavy inasemekana wengine imewalazumu kujiuguza maumivu ma hospitalini au ku survive na panadol(pain killers)
Kitu ambacho labda tunapaswa kujiuliza kwa mbinu hii je hawa raia wataleta tena ushirikiano wakutoa taarifa za siri kwa polisi? Perception yao itakuaje kwa jeshi la polisi?wataona utofauti wowote kati ya jeshi la polisi na hao wanajambazi wanaosakwa?au mbinu hii ya ku sideline moja kwa moja raia katika mapambano haya ndio imekua suluhisho pekee?

Ni muda sasa wa jeshi la polisi kufanyiwa reform kwani tumerithi mbinu za kikoloni katika utendaji kazi wake
umeleta habari ki-udaku sana!
mara kwa weledi wa hali ya juu watu wamechezea bakora---- sasa hapo weledi ni kuchapa au kuchapwa...!
Mara strategy ya kisasa kabisa... huko kuchapa?
kasha unalaani polisi kutumia mbinu za kizamani!

hebu anza upya, na chagua kimoja, kama kufanya umbea au kuhoji uhalali wa zoezi la ku-torture raia!
 
wale wenye Noah nyeusi waende na mbwembwe zao huko vichakani mkurunga wakawateke hawa mashetan walioua kikatili ndugu zetu polisi.
Mkuu una utani na nano hasa?,. Maana Luna MTU umemtag bila shaka.
 
Tukiendelea kugawika hivi mwisho wake sio mzuri. Kwani nchi imekosa Viongozi wastafu Wanaona hali ya nchi inakoelekea. Lakini wakumbuke vijana hana cha kupoteza zaidi hao wenye familia zenye majina.
 
Halafu eti Nyerere anataka awe mtakatifu! Ukatili wa hivyo eti awe mtakatifu. katoliki ni dini ya wakoloni, watesaji

Umenitupa Mkuu sijakuelewa, yaani nimetoka Mkuu wa mkoa kinara Tanzania.
 
polisi bana
Nimepita maeneo yote Leo hakuna unyama uliofanywa wa kupigwa kwa Wilaya ya Mkuranga.

Ila kwa Bungu na Jaribu Mpakani kama ulikwenda kinyume na utaratibu zilizotangazwa na Jeshi la Polisi kweli walishughulikiwa.

Ila kiukweli kumetulia sana Karibu njia yote huyo mpaka Kibiti
 
Back
Top Bottom