Watu wa Mungu kulingana na hili linalo endelea ndani ya nchi yetu. Naomba tujifariji kwa neno la Mungu. Maana ukombozi umekaribia.

Watu wa Mungu kulingana na hili linalo endelea ndani ya nchi yetu. Naomba tujifariji kwa neno la Mungu. Maana ukombozi umekaribia.

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
949
Reaction score
2,038
Kutoka 14:14. Mithali 24:24. Zaburi 98:9. Mithari 14:34.

Kutoka 14 : 14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.

Mithali 24 : 24 Amwambiaye mtu mwovu, Wewe una haki; Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia.

Zaburi 98 : 9 Mbele za Bwana; Kwa maana anakuja aihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na mataifa kwa adili.

Mithali 14 : 32 Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.

Mithali 14 : 33 Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.

Mithali 14 : 34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
 
🤣🤣🤣🤣🤣kumbe ni mlokole 🤭
 
Back
Top Bottom