Uchaguzi 2020 Watu wa Mungu, Tutamchagua Tundu Lissu

ILI MPEWE KIBALI CHA KUFUNGISHA NDOA ZA JINSIA MOJA HUKO MAKANISANI MWENU ILI MPATE MISADA KUTOKA KWA MABEBERU.
 
Kumuunga mkono Jiwe ni KUKUBALI UTEKAJI MAUAJI NA UNYAMA WA KILA NAMNA.
Anti pas Lissu hawezi kuwa Rais wa Watanzania. Labda wa Ubelgiji kwa bwana zake Watanzania hatutaki Rais Bwabwa. Mbowe na genge lake out.
 
Kweli shetani kawaingia hadi ndani ya mifupa, mleta mada huyo mtetezi wa mapenzi ya jinsia moja unamweka upande wa Mungu? uwe na aibu ndugu. Aonyeshe ushetani gani ndiyo ujue kuwa unatafuta laana ndugu au mpaka aje akupe live mzigo ndiyo ujue au nawewe ndiyo hivyo. Acheni jamani.
Lisu akipata 10% ya kura atakuwa mwanaume, uwezi kumlinganisha MAgu na Chokoleti wewe, tumswalie mtume
 
Watanzania hasa vijana TUMELOGWA NA NANI?. KIJANA ANAFANANISHA PROPAGANDA NA IMANI THABITI YA MUNGU.

HIYO propaganda ya Ushoga mnaitetea nyie LUMUMBA.

MUNGU ATATENDA HAKI YAKE.
KILA LAKHERI TUNDU LISSU.
 
Mtakoma mwka huu. Huyu Ni Lissu kipenzi cha Mungu.
 
Mungu huyuhuyu anaejua kila Siri alizonazo mgombea?

Chambo cha Mabeberu hakitapata samaki, shika Sana Hilo mkuu

Tukutane baada ya 28 mwezi huu!!

JPM Twende kazi
Mtakoma mwwka huu. Mtafungua Id fake hadi vidole vichubuke. Kipele kimepata mjunaji Lissu
 
Mtakoma mwaka huu. Mna deal na the unstopable Lissu
 
Acha kumkufuru Muumba kenge wewe. Ni Mungu yupi anapenda mashoga!!

UKIMSEMA VIBAYA TL UNAFUNGIWA JF
 
Kabisa tutamchagua Lissu kwa nguvu zetu zote mwaka huu.
 
Mkuu, unapoandika jina "mungu" kumbuka kuanza kwa herufi kubwa "M".
 
Mungu hajawai kuunga mkono binadamu wanao ingiliana kinyume na maumbile na kuita ni faragha.
 
Amina babake! Watu wa Mungu tuje huku ndio kwetu! wale wengine waende 'kule kwao'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…