Uchaguzi 2020 Watu wa Mungu, Tutamchagua Tundu Lissu

Lini mtu wa Mungu akachagua ushoga?
 
Kamdanganye mmako. Magufuli alikwenda kujifungia Chattle majuma 6. Eti unajifanya haujui? Acha ungese huo. Hukuona Watanzania wakizikwa usiku wa manane wakati yeye haonekani. Halafu unafikiri hapa TBC. Eti mnamsifia eti, korona...
 
Sina cha kuongeza Mkuu. Umemaliza yote. Na iwe hivyo. Amina.
 
Mtakoma mwwka huu. Mtafungua Id fake hadi vidole vichubuke. Kipele kimepata mjunaji Lissu
Punguza kisabengo kijana, na kisha tukutane baada ya uchaguzi kama hujabadiri msimamo!!

JPM anashindana na wagombea dhaifu haijapata Kutokea tangu uhuru
 
NEC kuweni makini, Chadema wamesha ona kipigo kizito ndani ya sanduku la kura wanatafuta mtu wa kumrushia Lawama msipoangalia wanaweza susia uchaguzi dakika yoyote kutoka sasa ili Lawama ziwe juu yenu.
 
Infact
 
Hata kura kati ya Baraba na Yesu kuhusu nani asulubiwe. Baraba alishinda, kwa sababu alikuwa na wapiga kura wengi,
Yesu mwenye haki akasulubiwa.

Kushinda kura katika haki na uovu inategemea uwiano baina ya wapenda haki na wapenda dhulma
Mkuu umebadili gia angani

sasa ukaoge maji ya chumvi ama ya bahari ili kura za Lisu ziwe nyingiii hadi waishiwe pozi la kuiba

gundu la Kigamboni linahitaji kuoshwa
 
KWA MAENDELEO YA KWELI CHAGUA MAGUFULI, MAGUFULI, MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Watu wa Mungu tutamchagua Rais Magufuli
 
CHADEMA NAO JAMANI MTATUKATISHA TAMAA YA KUPIGA KURA SASA. HILI SUALA LA MAWAKALA MSIPOKUWA NALO MAKINI KUTAKUWA HAKUNA HAJA YA KUSHIRIKI UCHAGUZI NA LISSU USAHAU HUO URAIS. HAKUNA HAJA YA KUENDELEA NA MACAMPAIGN HUKU MAWAKALA HAKUNA AU HAWAJAAPISHWA AU MMECHEZEWA ROUGH WAMEAPA MAMLUKI. MUDA ULIOONGEZWA HILI LIANGALIWE, MUWE NA MAWAKALA HALALI.
 
Kwa mara ya kwanza hata shetani amemkataa Magufuli atampigia kura Lissu.
 
Hivi watu wa Mungu ndio wenyekupigia Promo Sodoma???
 
Nyie sio watu wa mungu labda mashetani Mana video yenu ya kukubali ushoga imezagaa kila kona
 
Ukishajipachika jina la kizungu basi tayari unajiona umekuwa mtu wa Mungu, ha ha ha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…