Uchaguzi 2020 Watu wa Mungu, Tutamchagua Tundu Lissu

Mpagani utamjua tu, mbona mlizuia kutangaza wagonjwa na vifo? BTW, hata kama kulikuwa na uponyaji wa Mungu JPM anahusikaje sasa wakati yeye alikimbilia Chato mpaka makali yalipopungua?
 
Mungu yule anayeyachora tu majinga kama hili yasiyojua kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu polisi kuingia vyumbani kufanya ukaguzi wa nyero za watz ili kuona kama zinaliwa kiboga au la, mpaka yaambiwe na Lissu! Pumbav!
 
Punguza kisabengo kijana, na kisha tukutane baada ya uchaguzi kama hujabadiri msimamo!!

JPM anashindana na wagombea dhaifu haijapata Kutokea tangu uhuru
Mtakoma mwaka huu. System inamwelewa Lissu. Tar 29 jamaa atawapigia simu wote watamjibu sisi tunasimamia wananchi ndio atachanganyikiwa lazima afe moja kwa moja.
 
Watu wa Mungu yupi, aliteketeza Sodoma na Gomora au Mungu wa Kuzimu? Acheni kutumia hilo jina vibaya kwa kukubali ajenda za ndoa ya jinsia moja eti ndo hitaji la watu wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…