Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Yeah..huyo jamaa alikuwa noma nakumbuka kipindi anasakwa aliwahi kwenda mahakamani kuskiliza kesi ya mwenzie God akiwa amevaa nguo za kike naskia aliuwawa mahabusu kwa kupigwa sindanoJamaa alifia magereza akiwa mahabusu
Cosmas alikuwa fundi wa mpira kama sikosei alikuwa anaishi iringo baba yake alikuwa fundi mzuri wa kushona viatuDioceses ilikua sehemu nzuri sana kulikua na team za mpira,music,kulikua na league mshindi anapewa box la sabuni na crate la soda enzi hizo wachezaji wazuri ilikua Rujama kutoka nyasho,shilla kamnyonge,cosmas,phinias...aisee
Juma kigera daah..namkumbuka kasumbua sana maeneo ya metropol[emoji1787][emoji1787]hawa jamaa walikua wanafanya dolia ya mabishoo sasa enzi hizo mabishoo walikua wachache walikua wadogo zangu,bishoo lazima ilikua uwe wa kishua
David kisamba,juma kigera,magoma,cabin alikuwepo lusato a.k.a doctor sema walikua wanaazimana nguo sana...kulikua na walw madogo said heris
Alikufaje mkuuNa yeye akaja kufa kizembe sana
Wewe inwezekana nikawa nakufaham mkuuYah SEFU alikula mzinga wa pikipiki mimi nimekulia sana maeneo ya mkendo kubwa , makongoro na iringo ndio viwanja vyangu
Metro pole ipo mkendo kubwaNakumbuka Club Metropole kama sijakosea mtaa wa Mkendo kati pale nilicheza disco enzi hizo za 2000s km kawaida ya Mapoti Muziki hauishi bila ya Ugomvi!
Huo mji una mateso sana mkuu wacha tubaki huku dasilamuMusoma mji mzuri kuishi km unauwakika na kipato chako ila km unaishi kwa ujanja janja Musoma utapachukia na kupaona apafai
Musoma watu hawaishi kwa madeal Musoma watu wanaishi kwa kufanya kaz
Ila kuna kitu huwa kinanishangaza kuhusu musoma Vijana weng wa Musoma wamekimbilia dar kuliko vijana walobakia Musoma
Halafu ni watoto wadogo sana waleNaona watu wanaijua musoma Sana ila kiukweli kwa sas ni sehemu salama nimeona mnawajua mapacha wa jamaika mockers hii ni kweli jamaa walikuwa watata Sana waliwahi mfata demu primary shule ya musoma wakampiga mabapa ya sime kisa kawakataa ninayo mengi ila karibuni musoma maisha mepesi Sana huku
Mzee kobasi alikuwa don pale kamunyonge na nyumba yake kubwaMzee kobasi alikuwa mtu wa CCM Sana mke wake alikuwa mwl kamunyonge watoto wake nawakumbuka ni Musa na kobas maana nimesoma nao kamunyonge.
Mzee unamkumbuka jamaa mmoja anaitwa nyajero alikuwa anapita chocho pale ukumbi wa complexBaiskeli za maganga ukifaulu form1 lazima ununuliwe
Mi nawajua kwa majina ya kurwa na doto wapo mkendo kubwa hapo karibu na mtaa wa shabanialafu hao mapacha majina yao yamenitoka asee walisoma pale iringo primary
Alikuwepo pia maduchu yani musoma naimis sana.mitaa ya ffu pale kamunyonge watoto wa kishuaHuyo mwamba alikuwa hatari na vinywele vyake kipiri piri halafu alisoma mwembeni baadae akaja master wa wahuni
Shilla alikuwa anatokea ffu kambini baba yake akiwa askari.sahii ni dereva wa maloriCosmas alikuwa fundi wa mpira kama sikosei alikuwa anaishi iringo baba yake alikuwa fundi mzuri wa kushona viatu
Aisee tuliokuwaga bongo wakati huo tuliwatisha sana wenzetu musomaTunasubir muendelezo
Nimecheka sana mkuu maana swali la huyu jamaa ni kitukoKabla hatujakujibu tunaomba kufahamu kiwango chako cha elimu kwanza. Je, uliwahi kukutana na kitu kinaitwa jiografia katika maisha yako?
Naam hiyo ilikuwa lazima hata mimi nimevimba nazo sana kitaaBaiskeli za maganga ukifaulu form1 lazima ununuliwe
Musoma aisee,eti mamas alifariki?Vipi Chikwakara bado yupo hadi naondoka 2009 alikuwa nikati ya washua wenye pesa pale Musoma alikuwa na ghorofa yake inajengwa opposite na Mwembeni
Tembo beach sikuipenda,niliipenda complex kiingilio jero tu na bado mnapita chocho mlimaniNaam hiyo ilikuwa lazima hata mimi nimevimba nazo sana kitaa
Daah..numepamis sana home this year lazima niende kama mungu akiniweka haiAlikuwepo pia maduchu yani musoma naimis sana.mitaa ya ffu pale kamunyonge watoto wa kishua