Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
unamzungumzia migelegele yule poti alikuwa anavaa suruali kiuno kipo tumboni ?Papaaa mgelegele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamzungumzia migelegele yule poti alikuwa anavaa suruali kiuno kipo tumboni ?Papaaa mgelegele
hahaha😂 nilimjua huyu mwamba, nasikia yupo Morogoro ni mjeda,kulikuwa na scandal ya dingi yake wenzie walienda patrol wakamkuta waifu wake yupo lodge na mselaKuna mwamba mmoja alikuwa mtoto wa polisi wanakaa line polisi huku magereza dahh alikuwa mbabe sana, nadhani aliitwa Six, sijui yuko wap siku hizi???
kanipa sana pipi yule mzee pale dukani kwakeKuna mzee alikuwa anaitwa Makumpira alikuwa ana duka soko kuu. Musoma nzima ndio aliaminika kwa kuuza viungo vya chakula, alikuwa hapendi kuulizwa bei au kupewa ela kwa mkono wa kushoto.
Mzee alikuwa mkoloni huyu akikufuma/kukukamana na binti yake ata kama mlikuwa mmekaa mnapiga story tu wawili anawafungisha ndoa hapo hapo ataki mchezo
Huyo mwamba alikuwa hatari na vinywele vyake kipiri piri halafu alisoma mwembeni baadae akaja master wa wahuniKulikuwa na mtu anaitwa mgasa aisee hiyo ilikuwa chata nyingine
Daah..umenikumbusha mbali sana mkuu hao mapacha wa jamaica waliponea chupuchupu sana saiz wanaendesha boda bodaMgasa, Kinche, Bonny Weed, Ally Bega, Duchu, Maromaro (R.I.P). List ni ndefu sana kwa wanangu wa Jamaica Mockers.
Mbio za vijiti unakutana na akina Jigga, Jira, Chui, Mapacha (jamaica pia walikua na mapacha).
Huku West Lawama unakutana na wakongwe akina Majani.
Yale maisha yamefanya tukawa tough sana. Kusurvive katikati ya gangs kama zile inahitaji roho ngumu. Bahati nzuri nilikua muhuni mpenda shule, hiyo ndio ponapona yangu. Othrerwise ningekua either jela au kaburini.
Mwembeni, mkendo, iringo, azimio siku za likizo ndio ilikuwa chimbo ya kwenda kutafuta madem hata kama usomi tuition utatafuta vidaftari vya kuzugia na mibegi mgongoniNdio nyie watoto wa kishua mliokua mnasoma tution Mwembeni kila likizo? Hahaa.
Bora nyie mliporwa simu, wenzio wamepigwa sana mtungo!
Ukija zone ya mjini kuja jamaa alikua anaitwa maiti alikua anabaka watu akikikumata anakuambia chagua Bega [emoji1], enzi hizo hotel kali zilikua mojawapo afrilux,stigma [emoji1]Hahaha Musoma enzi hizo umitashumta kuna wachezaji wakali,kanda ya nyasho,nyamatare,nyakato ilikua inatoa wachezaji wamekomaa sana kama akina lubengo, ukija zone ya musoma primary,azimio,mwembeni na mkendo walikua mabishoo akina nyagiro,waziri mkumbo..ilikua balaaa enzi hizo,
Katika shule za primary kuna mwalimu mkuu alikuwa anawika pale kamnyonge wakuitwa Matete...ukija mabishoo enzi hizo kuna dogo alikua anaitwa abdul mahita alikua anakaa kwa RPC alikua mlezi mzee wa mademu
HakikaKwa jinsi hali ilivyo kuwa kipindi kile angetokea mtu mwenye mawazo ya kuanzisha vikundi vya wapiganaji kama ilivyo DR CONGO Basi Musoma ingekua ni sehemu mbaya kabisa ktk taifa hili
Iringo ulikuwa unakaa mitaa ipi?Umesahau Jamaika mockers hawa ulikua unapata nyasho kiongozi wao Maduchu cjui saiv yupo wapi walikua wakikutana mbio za vijiti na jamaika basi hapo lazima mtu afe ama apate ukilema
me nilkua naishi iringo kutokana na maisha ya kule kuwa ya fujo sana tulihamia mkinyereo kwa wastarabu na hapo na mimi kidogo nikaanza ku behave kama binadamu wa kawaida kutokana na life la pale.Kwa kweli nimepitia mengi sana huko Musoma
Aiseee hawa jamaa ilikua hatari ilikua town ukienda unadakwa na jamaica unapokonywa vitu,ukija majita road akina majani,mtoto Iddy,enzi hizo ukienda complex muda wa kutoka wale watembea kwa miguu mnatekwa mnavuliwa viatu [emoji1] [emoji1787]Daah..umenikumbusha mbali sana mkuu hao mapacha wa jamaica waliponea chupuchupu sana saiz wanaendesha boda boda
Na huyo majani wa west lawama yupo wapi now daysYeah, alichomwa kisu na Majani wa West Lawama.
Mwembeni, azimio, mkendo iringo enzi za likizo kulikuwa na pisi kali za kufa mtuNyakato Mtaa wa vibaka na walevi wa ngogo wachawi miaka hio tunaenda baruti kufata mapankiDisco Toto Mama Ester in, peninsula beach watoto wa kishua wanatokea kamnyonge biafla na kambi za FFU December tunaenda mwembeni kutafuta pisi Kali Enz hizo baskeli za maganga ndo dili Mjini Mistu wa Babu Kenge,![]()
Nyakato Mtaa wa vibaka na walevi wa ngogo wachawi miaka hio tunaenda baruti kufata mapanki[emoji16] Disco Toto Mama Ester in, peninsula beach watoto wa kishua wanatokea kamnyonge biafla na kambi za FFU December tunaenda mwembeni kutafuta pisi Kali Enz hizo baskeli za maganga ndo dili Mjini Mistu wa Babu Kenge,
Daaah..mimi ilifika kipindi nilikuwa most wanted nikawa hata maklub siendi maana nilikuwa bishoo hatari na kama unavyojua hao jamaa wanavyochukia mabishooAiseee hawa jamaa ilikua hatari ilikua town ukienda unadakwa na jamaica unapokonywa vitu,ukija majita road akina majani,mtoto Iddy,enzi hizo ukienda complex muda wa kutoka wale watembea kwa miguu mnatekwa mnavuliwa viatu [emoji1] [emoji1787]
Mkuu nawewe ulikuwa mbio za VGTMbio za VGT umenisahau na mm na wengine watoto wa magamaga
Dioceses ilikua sehemu nzuri sana kulikua na team za mpira,music,kulikua na league mshindi anapewa box la sabuni na crate la soda enzi hizo wachezaji wazuri ilikua Rujama kutoka nyasho,shilla kamnyonge,cosmas,phinias...aiseeMkuu umeongea jambo la maana sana!
Pale ndipo wengi tumejifunza Basketball, Vollball na michezo mingi tu achilia mbali maktaba pale.
Hii ndio wengine imetupandisha ndege kwa mara ya kwanza na kutupa maisha tuliyonayo leo!
Musoma!....Dah
[emoji1787][emoji1787]hawa jamaa walikua wanafanya dolia ya mabishoo sasa enzi hizo mabishoo walikua wachache walikua wadogo zangu,bishoo lazima ilikua uwe wa kishuaDaaah..mimi ilifika kipindi nilikuwa most wanted nikawa hata maklub siendi maana nilikuwa bishoo hatari na kama unavyojua hao jamaa wanavyochukia mabishoo