Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Kweli kaka Moshi ni habari nyingine wachaga sio watu poa ukiondoa majiji kama Dar, Mwanza na Arusha sidhani kama kuna Halmashauri au wilaya zinazoikimbiza Moshi.

Yani kuanzia town mpaka vijijin kwao pote ni Barabara za kiwango cha rami, mji uko very well organized asee na Maisha yao yako very simple maana kule ukiwa na buku jero unapata mkungu wa ndizi mzuri kabisa mixer parachichi na Karoti ndio kwao uko.

Kila kijiji sijui machame, Uru,oldmoshi, Rombo kote kuna huduma za maji na hospital sasa kama mjini tu kuna hospital zaidi ya 5 apo uwezi linganisha na Mass town asee afu mzunguko wa pesa Moshi ni mkubwa kuliko Mass town.

Njoo masstown kwanza kwenda popote mjini boda ni 500 afu maeneo yaliendelea ni ya pale pale katikat ya mji sogea pembeni uko kama nyamatare, songe uko hakuna huduma muhimu, ukienda tu pale machinjioni unaona mpka Aibu, Mass town mzunguko wa pesa mdogo kulinganisha na moshi kumbuka moshi wako na sector ya utalii, Masstown sehemu za starehe zinajulikana ni zile zile afu ukiwa na pesa kidogo tu utaona umekua maarufu ghafla full wapambe, vijana hawapendi kufanya kazi zaidi ya usela wa kijinga jinga na makundi ukiwa mgeni au ukiondoka siku ukirudi vijana wanajua unaela wao ni kukupiga virungu tu vya pesa za sigara na pombe.
Mkuu ni kwel naamin ata sisi tukiamua basi tunaweza ibadilisha musoma yetu ikawa jama moshi au nakuipita kabisa
 
Naona mnakumbushana mambo ya juzi ambayo hata sijui kama yametokea, naangalia comments za miaka ya 1991 kurudi nyuma sioni cha kukumbuka, nawapa yangu ya zilipendwa in up on a time.

Mfano, pale Musoma kulikuwa na eneo maarufu sana kwa uuzaji wa samaki wa kukaanga eneo lile liliitwa kwa MZEE CABIN (tamka kibini), ukiachilia majita road hapo nyasho cabin ambapo kwa sasa hilo jina limebatizwa mtaa wa kibini lilitokana na mzee mmoja aliyekuwa na Bar iliyotamba miaka ya 1978-1988 ikiitwa New Embakasy Bar and Lodge na baadaye ilibadilishwa jina na kuitwa Cabin Bar.

Enzi hizo musoma ilikuwa musoma, air Tanzania ilikuwa ikija mara mbili kwa wiki, jumapili na katikati mwa wiki, siku ya jumapili saa 4am ikikaribia kutua tunakimbia stendi kuwahi magazeti na pale Cabin nakumbuka wadau wa kutoka Dar tulikutana hapo kununua samaki wa kurudi nao BONGO [emoji16].

Itaendelea...
Tunasubir muendelezo
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita, Butata mpaka Bukima.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejifia, imekosa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake imekuwa gofu, 👇

musoma+5.JPG


Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa upande wa ziwani na kuiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu tofauti.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linapigwa buzuku la maana ....


itaendelea...
holy holm
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejisa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake inekuwa gofu, 👇


View attachment 1633494

Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa ziwani ukaiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu kadhaa.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linaligwa buzuku la maana ....


itaendelea...

holy holm
Basi kumbe wewe ni mkongwe Musoma sisi ni watoto wa juzi hayo uliosema ndo nayasikia
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejisa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake inekuwa gofu, [emoji116]

View attachment 1633494

Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa ziwani ukaiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu kadhaa.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linaligwa buzuku la maana ....


itaendelea...
holy holm
Hata mimi hiyo Musoma hotel huwa inanisikitisha sana, sijui kwnn imekosa wawekezaji na wakati ipo sehem nzuri kabisa ya mwambao wa ziwa.
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejisa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake inekuwa gofu, 👇

View attachment 1633494

Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa ziwani ukaiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu kadhaa.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linaligwa buzuku la maana ....


itaendelea...
holy holm
UUmenikumbusha miaka ya 94/95, nilienda musoma nikiwa na Land Rover 109,ilikuwa week end kulikuwa na hkumbi Wa disco sikumbuki jina,niliingia hill disco usiku kutoka nkakuta ndondo limevunjwa vioo na wamepora kila kitu na walinzi wapo.
Kesho yake nikariport police wezi wakajulikana,polisi wakaanza kuwafukuza wakazama ziwani wakanza kuwatukana polisi.dah toka Sikh hiyo mpaka Leo musoma sipapendi kabisa.
Nakumbuka jina LA mmojawappo Wa wale wezi mpaka Leo alikuwa anaitwa MAHERI.sijui kama bado yuko hai Huyo mwamba.
 
Musoma tunaita Magido, Mapanki watu wa Mwanza ndiyo wanaita hivyo kipindi hicho pale walipojenga shule ya Baruti secondary ndipo kilikuwa kiwanda cha kukaangia
Madude yana Soup nzito kinyama yaani 🤣🤣🤣🤣

Hivi bado yapo. Enzi hizo tunaenda kuyanunua kwa kujifichaficha.

Na Madon pia walikuwa wanawanunulia mbwa wao.
 
UUmenikumbusha miaka ya 94/95, nilienda musoma nikiwa na Land Rover 109,ilikuwa week end kulikuwa na hkumbi Wa disco sikumbuki jina,niliingia hill disco usiku kutoka nkakuta ndondo limevunjwa vioo na wamepora kila kitu na walinzi wapo.
Kesho yake nikariport police wezi wakajulikana,polisi wakaanza kuwafukuza wakazama ziwani wakanza kuwatukana polisi.dah toka Sikh hiyo mpaka Leo musoma sipapendi kabisa.
Nakumbuka jina LA mmojawappo Wa wale wezi mpaka Leo alikuwa anaitwa MAHERI.sijui kama bado yuko hai Huyo mwamba.
Nadhani hao askali walikuwa wadau wa hao wezi, haiwezekani askali wa miaka hiyo amkimbize mwizi alafu anamuacha aelee majini, NO!
 
Musoma tunaita Magido, Mapanki watu wa Mwanza ndiyo wanaita hivyo kipindi hicho pale walipojenga shule ya Baruti secondary ndipo kilikuwa kiwanda cha kukaangia
Kutokana na ugumu wa maisha haya mapanki yamenikuza aisee.

Kiwanda kwa Teco (nalikumbuka hili jina) tunapanga foleni sh 50 .


Maisha haya.

God bless wamama wote wanaopambania familia zao.
 
Nadhani hao askali walikuwa wadau wa hao wezi, haiwezekani askali wa miaka hiyo amkimbize mwizi alafu anamuacha aelee majini, NO!
Inawezekana walikuwa wanajuana.
Maana walikuwa wanawambia pigeni hizo risasi kama nyie wanaume.
Nkaja kusikia huyo mwamba maheri alikuwa tishio hapo musoma,mwisho wq siku nkaachana na hyo issue nkaondoka kesho yake mpaka leo.
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejisa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake inekuwa gofu, [emoji116]

View attachment 1633494

Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa ziwani ukaiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu kadhaa.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linaligwa buzuku la maana ....


itaendelea...
holy holm
Musoma Hotels ilokuwa inamilikiwa na Railways corporation ilikuja kununuliwa na tajiri Mazara sijui aliifikisha wapi
 
Musoma Hotels ilokuwa inamilikiwa na Railways corporation ilikuja kununuliwa na tajiri Mazara sijui aliifikisha wapi
Mazara hakuwa tajiri ila pesa ilipitia kwake, kwa ufupi tajiri huwa hafirisiki ndani ya 10yrs ila utajiri unaendelea hata kwa kurithiwa.

Huyo jamaa sijui mazara hakuwa na uwezo wa kuhimudu ile hotel na sijui kwa nini serikali ilimpa wakati marehemu Mengi walimnyima Kilimanjaro Hotel.

Angalia hotel kadhaa walizopewa wawekezaji wa nje kama Mount Meru, Kilimanjaro Kempinski, Arusha Hotel, nk zinatamba kwenye ushindani wa hotel mpya.
 
Na pale soko kuu kulikuwa na sheikh mmoja ana duka kubwa sana alikuwa mzee alipenda sana kuwapa pipi watoto.
Kma sijakosea aliitwa Mzee Makumpira< sijui kama bado yuko hai, nyumbani kwake kulikuwa kunauzwa kahawa halafu kila ijumaa tukitoka msikitini tunaenda kwake kula pilau!!!!
 
Hotel nzuri kuliko zote ilikua mativila hotel pale karibu na mskiti mdogo..

Kwakweli musoma iko nyuma Sana
Acha utani broo, matvilla ya juzi kabisa hiyozilikuwepo nyingi tu kama silver sand, tembo beach, peninsula hotel na anext nk kibao, ww utakuwa umefika musoma miaka ya 2010 kuja huku!!!
 
Nakumbuka enzi hizo kwenda Disco Toto Tembo Beach kila sikukuu za Mwisho wa mwaka, Wasanii wakija Karume Stadium tunasubiria mda wa fungulia mbwa ndipo tuingie wakati kiingilio ni 1000 tu watoto.

Watu maarufu kama Tajiri mwenye mbwembwe Nyakiteri, Dereva wa mbio za magari Mama's, Hussein Sokoni, Redio yetu pendwa Victoria FM hapo utawakuta wakina Boke Wambura, Maregesi Girishon, Emmanuel Chibasa, Issa Nundu, mzee wa Mafua Robson Wangaso na wengineo, mitaa ya Nyasho hapo ndilo chimbo la kujipatia mavazi.

Fujo za Musoma Tech na Songe hadi kupelekea Songe kuwa ya wadada, Mitaa maarufu kama Mukendo, Iringo, Mwigobelo, Majita Road bila kusahau vibaka wa Magamaga, na kila likizo tunakutana tuition Mwembeni hapo utakutana na watoto wa Isenye, Ikizu na sisi wa Bweri Makatani.
Kuna mwamba mmoja alikuwa mtoto wa polisi wanakaa line polisi huku magereza dahh alikuwa mbabe sana, nadhani aliitwa Six, sijui yuko wap siku hizi???
 
Back
Top Bottom