Musoma home sweet home sehemu moja safi sana, nime enjoy kuishi sehemu hii, Iringo ndio maeneo ya kujidai kule custom tunawaka sana , vitu vinachukuliwa mwigobero pale mapoti washafanya ambush sana tukiwa tunawaka mara kibao tushakimbilia ziwani ili usidakwe maana mapoti hawaingii ziwani wanaogopa kulowanisha jezi!! nyie mnakimbia ila kuna raia na heshima zao wao wanawaka na hawakimbii mapoti afu fresh, ila wewe choka mbaya msingi mbio vinginevyo utasepa na rondo
mtaa wa uhuru pale sana tu kush kama zote, ikifika jioni uwanja wa mkendo wakush wanapata vitu vyao taratibu bila wasi huku tunacheki mpira
Nyasho kona kuna chimbo moja hivi kwenye miwa dah maisha ya kush yamefanya nijuane na wahuni wengi kichizi hata tukikutana maeneo sijawahi kabwa wala nini kisa tu tushakutana nao kwa sadali!!!
Masstown ni habari nyingine vurugu ni nyingi, nyembe na mapanga nje nje lakini bado life lilikuwa poa sana, sababu sio kila sehemu ilikuwa na utata
wasanii sijui fataki, lazzbaby, best nasso na wengineo aisee respect sana