Asante kwa taarifa mkuuHakuna wilaya ya musoma vijijini! Wilaya ni moja Musoma...so kuna wilaya 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa mkuuHakuna wilaya ya musoma vijijini! Wilaya ni moja Musoma...so kuna wilaya 6
Pamoja mkuuAsante kwa taarifa mkuu
Nimeamua kugoogle wilaya za mkoa wa Mara na nimepata hii ramani inaonyesha wilaya saba na ndivyo kumbukumbuku inavyoniambia mkuu.Hakuna wilaya ya musoma vijijini! Wilaya ni moja Musoma...so kuna wilaya 6
ndio lkn mjaluo wa town [emoji3][emoji3]mzee nae mjaluo nini
Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..Nimeamua kugoogle wilaya za mkoa wa Mara na nimepata hii ramani inaonyesha wilaya saba na ndivyo kumbukumbuku inavyoniambia mkuu.
View attachment 1631934
Umeeleweka sana na unajibu kwa facts na ndivyo ilivyo, usiendelee kubishana nae hayo mambo waachieni Babu zenu wa Kigoma. Kubali yaishe.Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..
Hahahaha, mjaluo ni mjaluo tu, nimekaa nao sana kule Shirat,i kuanzia hapo Utegi hadi Kabwana mimi mwenyeji sana. Hata wakiwa wa town hawaachi asili yao. Kamongo kwa mlenda ndo msosi pendwa, ugali wa muhogo ndio usiseme. Nyama choma na kichuri kwa sana. Nakumbuka pale Dar kulikuwa na kijiwe wanapika hivyo vyakula plus nyama iliyokaushwa (nyama singis) na bia kidogo, muda wa lunch na jioni wanajaa wajaluo tupu alafu hawaongei kiswahili. Kuna siku wakawa wanamteta dada mmoja wa kinyiramba alikuwa muhudumu pale, alikuwa mzuri ila miguu kama fito. Kumbe naye aliwahi kuishi kule ujaluoni (kirongwe), kijiwe kiliwaka moto balaa na watu wakaacha mpaka ugali na kamongo mezani.ndio lkn mjaluo wa town [emoji3][emoji3]
Inawezekana uko sahihi mkuu, miaka yote naona ofisi zao pale Musoma mjini.Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..
Ongeza na jamaika mokasi walikuwa mwisenge na nyakatoMass town mwaka 2005 yalianzishwa makundi ya vijana kwa ajili ya kampeni za siasa vijana wapige kura kuanzia miaka 18 mpaka 30 muasisi akiwa mgombea ubunge ccm. Baada ya kampeni kuisha tu hilo kundi la WEST LAWAMA likageuka na kua kundi la wahuni wavuta bangi vibaka na waanzisha fujo musoma.mjini.ilipofika mwaka 2007 yaliibuka makundi ya vijana mengi sana karibia kila kata inakundi lake la kufanyiana fujo na makundi ya mitaa mingine:
1. USWAZI kata ya kamyonge mpaka mkendo, iringo
2. MBIO ZA VIJITI kata ya nyakoto na kigera
3. MDOMO WA FURU kata ya nyamatare
4. WABEPARI kata ya mwisenge
Ilifika kipindi wakawa musoma nzima wanafunzi wengi wako kwenye makundi ya uhuni. Siku za sikukuu hasahasa complex na tembo beach lazima mzike uzimwe mapema kisa fujo za haya makundi hasimu MBIO NA USWAZI . Tulishudia mapanga live kama picha za wahindi. Ilifika kipindi wakawa wanafungiana maeneo ya kutembea kama vile nyasho ikotokea umekutana nao we kimbua tu utapigwa lugoe.
Kuna vijana walikua maarufu sana enzi hizo kwa ubabe na uhuni kama vile Kasinia na wengine wengi nishawasahau.
Itakuwa hao hao na mm nimewaza hivyoNadhani unamaanisha JAMAICA MOCKERS badala ya USWAZI.
Ni pazuri kiasi flani, wkt niko Musoma ilikuwa kila wkend navuka kwenda hukoNext Time nikienda Musoma lazima niende kinesi napasikia tu
Zipo nyingi sasa hv.Hotel nzuri kuliko zote ilikua mativila hotel pale karibu na mskiti mdogo..
Kwakweli musoma iko nyuma Sana
alikua anakaa wapUnamjua Mzee Magotti?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila mzee wangu akutupeleka hom kwao tumekuja kwenda mwaka jana tena kwenye msiba wa bibi ambae ni mama akeHahahaha, mjaluo ni mjaluo tu, nimekaa nao sana kule Shirat,i kuanzia hapo Utegi hadi Kabwana mimi mwenyeji sana. Hata wakiwa wa town hawaachi asili yao. Kamongo kwa mlenda ndo msosi pendwa, ugali wa muhogo ndio usiseme. Nyama choma na kichuri kwa sana. Nakumbuka pale Dar kulikuwa na kijiwe wanapika hivyo vyakula plus nyama iliyokaushwa (nyama singis) na bia kidogo, muda wa lunch na jioni wanajaa wajaluo tupu alafu hawaongei kiswahili. Kuna siku wakawa wanamteta dada mmoja wa kinyiramba alikuwa muhudumu pale, alikuwa mzuri ila miguu kama fito. Kumbe naye aliwahi kuishi kule ujaluoni (kirongwe), kijiwe kiliwaka moto balaa na watu wakaacha mpaka ugali na kamongo mezani.
Majina yao yalikuwa Kulwa na Dottoalafu hao mapacha majina yao yamenitoka asee walisoma pale iringo primary
Ukiachana na vurugu zake, Musoma ni pazuri.Ww ni kama mm ule mji sijawahi kuupenda kabsa.
Kijiji gani hicho mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila mzee wangu akutupeleka hom kwao tumekuja kwenda mwaka jana tena kwenye msiba wa bibi ambae ni mama ake
Kuna pantoni toka mjini, japo na hizo mitumbwi zipoUnavuka kutokea wapi? Kama ni kwenda Musoma kuna Meli za kienyeji si pantoni tena