Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Hakuna wilaya ya musoma vijijini! Wilaya ni moja Musoma...so kuna wilaya 6
Nimeamua kugoogle wilaya za mkoa wa Mara na nimepata hii ramani inaonyesha wilaya saba na ndivyo kumbukumbuku inavyoniambia mkuu.
1606019750162.png
 
Nimeamua kugoogle wilaya za mkoa wa Mara na nimepata hii ramani inaonyesha wilaya saba na ndivyo kumbukumbuku inavyoniambia mkuu.
View attachment 1631934
Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..
 
Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..
Umeeleweka sana na unajibu kwa facts na ndivyo ilivyo, usiendelee kubishana nae hayo mambo waachieni Babu zenu wa Kigoma. Kubali yaishe.
 
ndio lkn mjaluo wa town [emoji3][emoji3]
Hahahaha, mjaluo ni mjaluo tu, nimekaa nao sana kule Shirat,i kuanzia hapo Utegi hadi Kabwana mimi mwenyeji sana. Hata wakiwa wa town hawaachi asili yao. Kamongo kwa mlenda ndo msosi pendwa, ugali wa muhogo ndio usiseme. Nyama choma na kichuri kwa sana. Nakumbuka pale Dar kulikuwa na kijiwe wanapika hivyo vyakula plus nyama iliyokaushwa (nyama singis) na bia kidogo, muda wa lunch na jioni wanajaa wajaluo tupu alafu hawaongei kiswahili. Kuna siku wakawa wanamteta dada mmoja wa kinyiramba alikuwa muhudumu pale, alikuwa mzuri ila miguu kama fito. Kumbe naye aliwahi kuishi kule ujaluoni (kirongwe), kijiwe kiliwaka moto balaa na watu wakaacha mpaka ugali na kamongo mezani.
 
Ukishaona rural na urban basi jua ni adminstrative district..hata tarime kuna urban na rural same as bunda(source yako ni Wikipedia ukiisoma imesema kuna wilaya 9 means bunda n tarime town inclusive ila kwnye raman azipo kozi zlikuja nyuma na raman za nchi znkua updated na wizara after every 10 yrs)...mkoa wa mara now una wilaya sita...ndio maana hakuna mkuu wa wilaya wa musoma mjini na wa musoma vijijin...yupo mmoja na kwnye uteuz anatambulika kama mkuu wa wilaya ya musoma anaitwa dr vincent..
Inawezekana uko sahihi mkuu, miaka yote naona ofisi zao pale Musoma mjini.
 
Mass town mwaka 2005 yalianzishwa makundi ya vijana kwa ajili ya kampeni za siasa vijana wapige kura kuanzia miaka 18 mpaka 30 muasisi akiwa mgombea ubunge ccm. Baada ya kampeni kuisha tu hilo kundi la WEST LAWAMA likageuka na kua kundi la wahuni wavuta bangi vibaka na waanzisha fujo musoma.mjini.ilipofika mwaka 2007 yaliibuka makundi ya vijana mengi sana karibia kila kata inakundi lake la kufanyiana fujo na makundi ya mitaa mingine:

1. USWAZI kata ya kamyonge mpaka mkendo, iringo
2. MBIO ZA VIJITI kata ya nyakoto na kigera
3. MDOMO WA FURU kata ya nyamatare
4. WABEPARI kata ya mwisenge

Ilifika kipindi wakawa musoma nzima wanafunzi wengi wako kwenye makundi ya uhuni. Siku za sikukuu hasahasa complex na tembo beach lazima mzike uzimwe mapema kisa fujo za haya makundi hasimu MBIO NA USWAZI . Tulishudia mapanga live kama picha za wahindi. Ilifika kipindi wakawa wanafungiana maeneo ya kutembea kama vile nyasho ikotokea umekutana nao we kimbua tu utapigwa lugoe.

Kuna vijana walikua maarufu sana enzi hizo kwa ubabe na uhuni kama vile Kasinia na wengine wengi nishawasahau.
Ongeza na jamaika mokasi walikuwa mwisenge na nyakato
 
Hahahaha, mjaluo ni mjaluo tu, nimekaa nao sana kule Shirat,i kuanzia hapo Utegi hadi Kabwana mimi mwenyeji sana. Hata wakiwa wa town hawaachi asili yao. Kamongo kwa mlenda ndo msosi pendwa, ugali wa muhogo ndio usiseme. Nyama choma na kichuri kwa sana. Nakumbuka pale Dar kulikuwa na kijiwe wanapika hivyo vyakula plus nyama iliyokaushwa (nyama singis) na bia kidogo, muda wa lunch na jioni wanajaa wajaluo tupu alafu hawaongei kiswahili. Kuna siku wakawa wanamteta dada mmoja wa kinyiramba alikuwa muhudumu pale, alikuwa mzuri ila miguu kama fito. Kumbe naye aliwahi kuishi kule ujaluoni (kirongwe), kijiwe kiliwaka moto balaa na watu wakaacha mpaka ugali na kamongo mezani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila mzee wangu akutupeleka hom kwao tumekuja kwenda mwaka jana tena kwenye msiba wa bibi ambae ni mama ake
 
Wale wa 1980s ngoja niulize swali hapa kama mtakumbuka miaka ya 1980s Taifa lilipitia kiinfi kigumu kiuchumi

Hicho kipindi kulikuwa hakuna viberiti vilikuwa adimu sana sasa sharti likawa ni lazima kwenda kuchukua moto kwa chifuu wa wazanaki

Yaani ukiwa na moto wako unaazibuwa moto ni kwenda kuchukua kwa chifu Ihunya kule hivi walikuwa wanawaza nini?
 
Tusimsahau Mwl Mabamba wa Mkenendo p/s ,Majita road kwa Eddy mzee wa sinema ,Biafra NHC , shule yangu kamunyonge p/s bila kumsahau mwl Masanua,mauma,makilagi. Karume stadium fungulia mbwaa, diocese kwenye michezooo.
 
Back
Top Bottom