holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,793
- 9,101
njoo ukule totozi za hukushukrani mzee.nawapenda sana wajaluo itabidi nifike hapo rorya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo ukule totozi za hukushukrani mzee.nawapenda sana wajaluo itabidi nifike hapo rorya
Not cool to expose details kama hizi.Yah anao wawili mmoja anaitwa simba ndio mkubwa uyo nazani ana 35+ uko wa pili nae yuko age ya 28-30 ivi afu wanafata wakike wawili mmoja anaitwa Happy mwingine wa mwisho jina anaitwa Abiga kama sijakosea uyu naisi ana 17 au 16 na ndo kalikimbia nyumbani kwenda Zanzibar
Umenikumbusha mbali sana mzee chibaland na mama tosapelaNakumbuka enzi hizo kwenda Disco Toto Tembo Beach kila sikukuu za Mwisho wa mwaka, Wasanii wakija Karume Stadium tunasubiria mda wa fungulia mbwa ndipo tuingie wakati kiingilio ni 1000 tu watoto.
Watu maarufu kama Tajiri mwenye mbwembwe Nyakiteri, Dereva wa mbio za magari Mama's, Hussein Sokoni, Redio yetu pendwa Victoria FM hapo utawakuta wakina Boke Wambura, Maregesi Girishon, Emmanuel Chibasa, Issa Nundu, mzee wa Mafua Robson Wangaso na wengineo, mitaa ya Nyasho hapo ndilo chimbo la kujipatia mavazi.
Fujo za Musoma Tech na Songe hadi kupelekea Songe kuwa ya wadada, Mitaa maarufu kama Mukendo, Iringo, Mwigobelo, Majita Road bila kusahau vibaka wa Magamaga, na kila likizo tunakutana tuition Mwembeni hapo utakutana na watoto wa Isenye, Ikizu na sisi wa Bweri Makatani.
Mzee wangwe alidedi kuna mtoto wake alisoma pale songe anaitwa juma huyu jamaa alikua mwanangu sanaKulikuwa na mchoma nyama maarufu-Wangwe hapo Baruti-Hivi bado yupo kweli
Nmekumbuka mara dish
Alishatangulia mbele ya God kitambo sana, nilikuwa nikienda Musoma kikazi sipakosi kwa Wangwe. Nyama inachomwa hatariKulikuwa na mchoma nyama maarufu-Wangwe hapo Baruti-Hivi bado yupo kweli
Nmekumbuka mara dish
Unavuka kutokea wapi? Kama ni kwenda Musoma kuna Meli za kienyeji si pantoni tenaKuna kijiji kinaitwa Kinesi hapo unavuka na pantoni
VIMTO ilikufa kitambo sana baada ya Amir Panju kutangulia kwa Sir God, alikuwa rafiki ya mzee mmoja wa Makoko anaitwa Ayiemba (RIP) akimiliki miscania (Kiberiti) na mwenzao Chacha Mwita Gachuma (CMG). Uhujumu uchumi wa Moringe Sokoine ukapita nao, aliyefanikiwa kurudi barabarani ni CMG pekee huku wengine wakiwa hoi bin taabani. VIMTO ilikuwa soda poa sana.Back to 1980's Tycoon Musoma walikuwa Panju na Ibrahim Kassam (Waasia) akimiliki kiwanda cha soda za VIMTO hapo Musoma maeneo ya Shule Pendwa Musoma Tech. Sina hakika kama kiwanda cha Vimto bado kipo huko Musoma, ingawa kwa sasa AZAM kachukua hilo jina na kuzipachika Juice zake VIMTO.
na wewe upo pande hizo?njoo ukule totozi za huku
Dogo hajui kuwa matvilla haijafika hata miaka 15 au ndo inakaribia. Mh Mathayo Manyinyi kapangisha ile nyumba ya NHC kabadilisha kuwa hotel, parking yenyewe ikawa changamoto kweli. Msikiti wa jirani wakakataa kuhama kumuachia lile eneo afanye parking. peninsula was the best by then. Kwa sasa sijui ni ipi nzuri.Acha uongo na pennisura hotel utamuachia nan?
Mzee Mtaragara Chilangi hakuwa mtata, alikuwa mtu wa principals. Anafuata ratiba yake, mkimualika kwenye tukio kama mgeni rasmi hakikisha mnafuata ratiba. Vinginevyo mtamuona mtata.Alifariki mwaka 2007 ndio. Alikua mtata sana yule mzee
Vipi mzee Kobas unamfahamu ? Na yeye alikua anaishi karibu na kamnyonge primary.Mzee Mtaragara Chilangi hakuwa mtata, alikuwa mtu wa principals. Anafuata ratiba yake, mkimualika kwenye tukio kama mgeni rasmi hakikisha mnafuata ratiba. Vinginevyo mtamuona mtata.
Nanmfahamu, ingawa nina miaka mingi sana sijawahi kukaa huko zaidi ya kupita tu. wazee wengi wa miaka hiyo nawafahamu mkuu. Unamkumbuka Mazara, pesa ilimtembelea sana wakati wa biashara ya Sangara. Nilikuja kutana naye Kigoma miaka fulani yuko hoi kiuchumiVipi mzee Kobas unamfahamu ? Na yeye alikua anaishi karibu na kamnyonge primary.
Me mwenyewe sikuwa mkaaji sana. Nilikua Nasoma Kenya, so zile likizo nilikua napenda kwenda kwa wazee sana.Nanmfahamu, ingawa nina miaka mingi sana sijawahi kukaa huko zaidi ya kupita tu. wazee wengi wa miaka hiyo nawafahamu mkuu. Unamkumbuka Mazara, pesa ilimtembelea sana wakati wa biashara ya Sangara. Nilikuja kutana naye Kigoma miaka fulani yuko hoi kiuchumi
hapana Mkuu nipo Arusha now but 12 December nitakua huko rorya ndo kwao mzeena wewe upo pande hizo?
Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonziMe mwenyewe sikuwa mkaaji sana. Nilikua Nasoma Kenya, so zile likizo nilikua napenda kwenda kwa wazee sana.
Huyo mzee simfaham
mzee nae mjaluo ninihapana Mkuu nipo Arusha now but 12 December nitakua huko rorya ndo kwao mzee
😃😃😃 Alikua na ukimwi ?Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonzi
😃😃😃 Alikua na ukimwi ?Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonzi
Wacha tuishie hapo, ila aliacha majanga kweli kwa warembo wetu😃😃😃 Alikua na ukimwi ?
Mzee wa maswali. Mambo vipi?mzee nae mjaluo nini