Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Yah anao wawili mmoja anaitwa simba ndio mkubwa uyo nazani ana 35+ uko wa pili nae yuko age ya 28-30 ivi afu wanafata wakike wawili mmoja anaitwa Happy mwingine wa mwisho jina anaitwa Abiga kama sijakosea uyu naisi ana 17 au 16 na ndo kalikimbia nyumbani kwenda Zanzibar
Not cool to expose details kama hizi.
 
Nakumbuka enzi hizo kwenda Disco Toto Tembo Beach kila sikukuu za Mwisho wa mwaka, Wasanii wakija Karume Stadium tunasubiria mda wa fungulia mbwa ndipo tuingie wakati kiingilio ni 1000 tu watoto.

Watu maarufu kama Tajiri mwenye mbwembwe Nyakiteri, Dereva wa mbio za magari Mama's, Hussein Sokoni, Redio yetu pendwa Victoria FM hapo utawakuta wakina Boke Wambura, Maregesi Girishon, Emmanuel Chibasa, Issa Nundu, mzee wa Mafua Robson Wangaso na wengineo, mitaa ya Nyasho hapo ndilo chimbo la kujipatia mavazi.

Fujo za Musoma Tech na Songe hadi kupelekea Songe kuwa ya wadada, Mitaa maarufu kama Mukendo, Iringo, Mwigobelo, Majita Road bila kusahau vibaka wa Magamaga, na kila likizo tunakutana tuition Mwembeni hapo utakutana na watoto wa Isenye, Ikizu na sisi wa Bweri Makatani.
Umenikumbusha mbali sana mzee chibaland na mama tosapela
Enzi izo pale songe sekondari ndo ilikua shule ya wakorofi kuna jamaa alikua anaitwa DIBO alikua anatusumbua sana
 
Back to 1980's Tycoon Musoma walikuwa Panju na Ibrahim Kassam (Waasia) akimiliki kiwanda cha soda za VIMTO hapo Musoma maeneo ya Shule Pendwa Musoma Tech. Sina hakika kama kiwanda cha Vimto bado kipo huko Musoma, ingawa kwa sasa AZAM kachukua hilo jina na kuzipachika Juice zake VIMTO.
VIMTO ilikufa kitambo sana baada ya Amir Panju kutangulia kwa Sir God, alikuwa rafiki ya mzee mmoja wa Makoko anaitwa Ayiemba (RIP) akimiliki miscania (Kiberiti) na mwenzao Chacha Mwita Gachuma (CMG). Uhujumu uchumi wa Moringe Sokoine ukapita nao, aliyefanikiwa kurudi barabarani ni CMG pekee huku wengine wakiwa hoi bin taabani. VIMTO ilikuwa soda poa sana.
 
Acha uongo na pennisura hotel utamuachia nan?
Dogo hajui kuwa matvilla haijafika hata miaka 15 au ndo inakaribia. Mh Mathayo Manyinyi kapangisha ile nyumba ya NHC kabadilisha kuwa hotel, parking yenyewe ikawa changamoto kweli. Msikiti wa jirani wakakataa kuhama kumuachia lile eneo afanye parking. peninsula was the best by then. Kwa sasa sijui ni ipi nzuri.
 
Mzee Mtaragara Chilangi hakuwa mtata, alikuwa mtu wa principals. Anafuata ratiba yake, mkimualika kwenye tukio kama mgeni rasmi hakikisha mnafuata ratiba. Vinginevyo mtamuona mtata.
Vipi mzee Kobas unamfahamu ? Na yeye alikua anaishi karibu na kamnyonge primary.
 
Vipi mzee Kobas unamfahamu ? Na yeye alikua anaishi karibu na kamnyonge primary.
Nanmfahamu, ingawa nina miaka mingi sana sijawahi kukaa huko zaidi ya kupita tu. wazee wengi wa miaka hiyo nawafahamu mkuu. Unamkumbuka Mazara, pesa ilimtembelea sana wakati wa biashara ya Sangara. Nilikuja kutana naye Kigoma miaka fulani yuko hoi kiuchumi
 
Nanmfahamu, ingawa nina miaka mingi sana sijawahi kukaa huko zaidi ya kupita tu. wazee wengi wa miaka hiyo nawafahamu mkuu. Unamkumbuka Mazara, pesa ilimtembelea sana wakati wa biashara ya Sangara. Nilikuja kutana naye Kigoma miaka fulani yuko hoi kiuchumi
Me mwenyewe sikuwa mkaaji sana. Nilikua Nasoma Kenya, so zile likizo nilikua napenda kwenda kwa wazee sana.
Huyo mzee simfaham
 
Me mwenyewe sikuwa mkaaji sana. Nilikua Nasoma Kenya, so zile likizo nilikua napenda kwenda kwa wazee sana.
Huyo mzee simfaham
Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonzi
 
Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonzi
😃😃😃 Alikua na ukimwi ?
 
Hao madingi nimefanya nao mishe sana nikiwa kijana. Baadaye kaja jamaa mmoja anaitwa mwananfanga, aligawa simu sana kwa warembo miaka ya 2000 mwanzoni. Nyuma akaacha kilio na majonzi
😃😃😃 Alikua na ukimwi ?
 
Back
Top Bottom