Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Musoma wajuaji wengi ila wajanja wa maisha wachache, nimekaa musoma miaka kadhaa na Tarime pia, kwa miji ya Mara bora Tarime kuna aina fulani ya maisha kwa mtu mwenye kuitaji kutoka wajita wa musoma maneno mengi sana..

Kuna mmoja niliwai kumtoa jino katika gym ya pale pembeni ya uwanja wa karume.. nilikuwa mgeni kule ila kwa sababu napenda mazoezi nikaulizia nikaelekezwa mahala pa gym.. nimefika siku ya kwanza, pili ya tatu jamaa akaanza kuwa anafuatilia maisha yangu... alifikiri siwezi mfanya kitu nilimpa ngumi moja jino likadondoka mpk leo sitasahau hakuna aliyethubutu kunisogelea maana inaelekea yeye ndo alikuwa nunda pale.

Nilikaa miaka 2 hivi nikahamishwa kikazi. Ila wasichana tu wa kule mwanaume unatongozwa kabisa kulikuwa na hotel moja hivi kubwa tu ipo pembezoni mwa ziwa nimeishau jina, nimekula sana samaki pale na pombe sana. Matajiri wa pale ni akina matayo, hussein sokoni, ila wana maisha ya kishamba sana aise. Mitaa naikumbuka kamyonge, umoja, makoko nk, jamaa, zangu walikuwa huyu aliyegombea ubunge, akina Bailes na wengine nimewasahau. Ila sijawai kutamani kurudi kule.


Life is crazy!

It teaches you through memories ambazo hazifikiki kirahisi kwa ubongo wa kawaida!

#LifeIsAnIlussion
 
Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela musoma wanaikimbia akina magori zembwera washasepa hapo mji unaongoza Kwa wivu majungu na ushirikina.

Ukienda maofisini kule Manispaa wamelundikana wakwaya na wajita wamebadili ofisi za umma kuwa Mali zao binafsi.

Haya makabila ndiyo yenye vijana wengi wakorofi hapo mjini ,naijua musoma vizur Sana enzi za westlawama ,Jamaica mocas ,wanaume nenge enzi Hizo kulikuwa na majamaa vichwa Sana kwenye hayo makundi wengine sasa hivi ni marehemu wengine ni walemavu walikutana na mkono wa wananchi wakanyooshwa.

Enzi Hizo shule ya Day secondary hapo musoma ilikuwa moja Tu Musoma Day now inaitwa morembe ya serikali nadhani afu na mwemben ya private ikaanza zingne kama mara sec na musoma tec zilikuwa bodi pamoja na songe sec ikiwa mchanganyiko kabla ya kufanywa girls na kubinafsishwa serikalini baada ya fujo kubwa iliyosababishwa na disco Kati ya songe sec na musoma teck na kupelekea kifo cha mwanafunz mmoja na majeruhi wa kutosha.

Anyway wasalimie Sana Musoma mji wa wanafiki wivu na majungu matajiri wa hapo musoma ni wawili Tu miaka nenda rudi Mthayo mmbunge na Shemeji yake Zembwera ndo wanamiliki biashara kubwa hapo town .

Anakuja mtu anasema musoma inakuwa Kwa kasi shem on you motherfuk....


Misinformation is for real!!

Chief.....you are too ou of context!!

Kwamba nini????.......

Too funny [emoji23].........
 
Uyo inaoneka alileta ujuaji musoma wakamfanya kitu mbaya


Si kweli Chief!

Kaka yangu alikua / ni mkuu wa Anga za kitaifa + kimataifa za nchi za Africa na mipaka yake! (autos pace pro)

It seems like an Illusion and Reality at the Same time!
 
Alikua dereva pale manispaa then akawa dereva wa zima moto uyo uyo haha asee basi wewe ni mkongwe sana mtoto wake nimeskuli nae now kaolewa zanzibar
Hamna ni mkubwa sana hata kwangu ila kuna mazingira yalisababisha tukawa tunakutana kwenye kinywaji, alikuwa anapenda totoz na mm pia nilikuwa napenda totoz na vinywaji so advantage ya ile gari kurahisisha vitu ilisababisha tukiwa tunakutana nalipia vinywaji mara nyingi tu ila pia alikuwa mwenyeji kule na alikuwa anafahamika kushtua mabinti waje na kuniunga ilikuwa simple... nafikiri alinizidi hata 20yrs maana kulikuwa na kijana wake mkubwa kiumri hatukutofautiana sana..
 
Hamna ni mkubwa sana hata kwangu ila kuna mazingira yalisababisha tukawa tunakutana kwenye kinywaji, alikuwa anapenda totoz na mm pia nilikuwa napenda totoz na vinywaji so advantage ya ile gari kurahisisha vitu ilisababisha tukiwa tunakutana nalipia vinywaji mara nyingi tu ila pia alikuwa mwenyeji kule na alikuwa anafahamika kushtua mabinti waje na kuniunga ilikuwa simple... nafikiri alinizidi hata 20yrs maana kulikuwa na kijana wake mkubwa kiumri hatukutofautiana sana..

Yah anao wawili mmoja anaitwa simba ndio mkubwa uyo nazani ana 35+ uko wa pili nae yuko age ya 28-30 ivi afu wanafata wakike wawili mmoja anaitwa Happy mwingine wa mwisho jina anaitwa Abiga kama sijakosea uyu naisi ana 17 au 16 na ndo kalikimbia nyumbani kwenda Zanzibar
 
Yah anao wawili mmoja anaitwa simba ndio mkubwa uyo nazani ana 35+ uko wa pili nae yuko age ya 28-30 ivi afu wanafata wakike wawili mmoja anaitwa Happy mwingine wa mwisho jina anaitwa Abiga kama sijakosea uyu naisi ana 17 au 16 na ndo kalikimbia nyumbani kwenda Zanzibar
Yah huyo mkubwa ni agemate wangu
 
Mass town mwaka 2005 yalianzishwa makundi ya vijana kwa ajili ya kampeni za siasa vijana wapige kura kuanzia miaka 18 mpaka 30 muasisi akiwa mgombea ubunge ccm. Baada ya kampeni kuisha tu hilo kundi la WEST LAWAMA likageuka na kua kundi la wahuni wavuta bangi vibaka na waanzisha fujo musoma.mjini.ilipofika mwaka 2007 yaliibuka makundi ya vijana mengi sana karibia kila kata inakundi lake la kufanyiana fujo na makundi ya mitaa mingine:

1. USWAZI kata ya kamyonge mpaka mkendo, iringo
2. MBIO ZA VIJITI kata ya nyakoto na kigera
3. MDOMO WA FURU kata ya nyamatare
4. WABEPARI kata ya mwisenge

Ilifika kipindi wakawa musoma nzima wanafunzi wengi wako kwenye makundi ya uhuni. Siku za sikukuu hasahasa complex na tembo beach lazima mzike uzimwe mapema kisa fujo za haya makundi hasimu MBIO NA USWAZI . Tulishudia mapanga live kama picha za wahindi. Ilifika kipindi wakawa wanafungiana maeneo ya kutembea kama vile nyasho ikotokea umekutana nao we kimbua tu utapigwa lugoe.

Kuna vijana walikua maarufu sana enzi hizo kwa ubabe na uhuni kama vile Kasinia na wengine wengi nishawasahau.
Mass town mwaka 2005 yalianzishwa makundi ya vijana kwa ajili ya kampeni za siasa vijana wapige kura kuanzia miaka 18 mpaka 30 muasisi akiwa mgombea ubunge ccm. Baada ya kampeni kuisha tu hilo kundi la WEST LAWAMA likageuka na kua kundi la wahuni wavuta bangi vibaka na waanzisha fujo musoma.mjini.ilipofika mwaka 2007 yaliibuka makundi ya vijana mengi sana karibia kila kata inakundi lake la kufanyiana fujo na makundi ya mitaa mingine:

1. USWAZI kata ya kamyonge mpaka mkendo, iringo
2. MBIO ZA VIJITI kata ya nyakoto na kigera
3. MDOMO WA FURU kata ya nyamatare
4. WABEPARI kata ya mwisenge

Ilifika kipindi wakawa musoma nzima wanafunzi wengi wako kwenye makundi ya uhuni. Siku za sikukuu hasahasa complex na tembo beach lazima mzike uzimwe mapema kisa fujo za haya makundi hasimu MBIO NA USWAZI . Tulishudia mapanga live kama picha za wahindi. Ilifika kipindi wakawa wanafungiana maeneo ya kutembea kama vile nyasho ikotokea umekutana nao we kimbua tu utapigwa lugoe.

Kuna vijana walikua maarufu sana enzi hizo kwa ubabe na uhuni kama vile Kasinia na wengine wengi nishawasahau.
Bila kuisahau JAMAICA MOKAS
 
Na pale soko kuu kulikuwa na sheikh mmoja ana duka kubwa sana alikuwa mzee alipenda sana kuwapa pipi watoto.
Unamsea mzee makumpira? Alikuwa ana duka la viungo na bidhaa za kiarab, alikuwa apendi kuulizwa bei na kupewa ela kwa mkono wa kushoto yeye anata ukifika dukan kwake sema unataka kitu cha shilingi ngap sio unaanza kuuliza kinauzwa sh ngapi tena
 
Nimemis ugali nyamachoma pale police canteen jirani na hospitali ya mkoa, wkend kuanzia ijumaa nyimbo za bakurutu zinaanza kupigwa mapema then vijana wanakuja kuimba, hapo ni kunywa mwanzo mwisho, wale wadada wahudumu akikukanyaga bahati mbaya utajuta maana ile sio miguu ni mawe ya kusagia nafaka.
 
Kuna jamaa alikua anaitwa nyejoro mtukutu wa mtakuja huyo alininyang'anya viatu complex live bila chenga bila msaada wowote, kuna siku nimebananishwa muda wa saa mbili hivi tuko wengi hio ilikua xmass tunatoka complex kudadeki raia wako kama 15 mimi niko katikakti yao siku hiyo sitosahu nilichezea kila aina ya ngumi na vitasa wengine wakinipiga sachi, japo kuwa tulikuwa wengi barababarani ila nilikosa msaada. Ghafla akatokea gari wakazani ni mapoti ndo wakakimbia kiongozi wao alikua anaitwa jack madanso.
pole sana asee huyo nyejoro kuna cku aliteka simu pale makaburin wananchi wakala sahan moja nae lkn pona yake ilikua ni police kufika mapema alifungwa gerezani sasa cjui kama bdo yupo huko ama alitoka ni muda kidogo cjamsikia

kuna mwingine anaitwa Toma Tx ulikua unamjua jamaa alikua kashindikana asee nadhani alikua mdomo wa furu.Kuna cku aliniteka pale mwisenge primary jioni jioni hivi walikua wengi hatari pona yangu ni kipindi ana nisachi nilimpiga ngumi nzito ya mdomo alivyoanguka nilitoka kama risasi kuelekea pale kanisa la wasabato bahati nzuri nikawaona wazee flani hivi wanaonge nikasimama katikati yao ndo wakaacha kunikimbiza.

Ila now msoma iko poa unaweza kutembea mpk sanane za ucku na usitekwe na wahuni ama vikundi.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
pole sana asee huyo nyejoro kuna cku aliteka simu pale makaburin wananchi wakala sahan moja nae lkn pona yake ilikua ni police kufika mapema alifungwa gerezani sasa cjui kama bdo yupo huko ama alitoka ni muda kidogo cjamsikia

kuna mwingine anaitwa Toma Tx ulikua unamjua jamaa alikua kashindikana asee nadhani alikua mdomo wa furu.Kuna cku aliniteka pale mwisenge primary jioni jioni hivi walikua wengi hatari pona yangu ni kipindi ana nisachi nilimpiga ngumi nzito ya mdomo alivyoanguka nilitoka kama risasi kuelekea pale kanisa la wasabato bahati nzuri nikawaona wazee flani hivi wanaonge nikasimama katikati yao ndo wakaacha kunikimbiza.

Ila now msoma iko poa unaweza kutembea mpk sanane za ucku na usitekwe na wahuni ama vikundi.[emoji23][emoji23][emoji23]
kati ya musoma na mara wapi kuna wajaluo wengi
 
kati ya musoma na mara wapi kuna wajaluo wengi

Musoma n wilaya, Mara ni mkoa.
Mkoa wa Mara kuna wilaya ya Butiama,Musoma, Tarime, Rorya, Mgumu na Bunda

Musoma wanapatikana wajita na wakwaya ( awa ukweli ni kua wanapenda umbea, majivuno, roho mbaya na ushirikina .

Butiama wanapatikana wazanaki ( kwa mwalimu hapa na mbunge wao alikua Nimlodi mkono

Tarime wanapatikana Wakurya wazee wa mahasira na mapanga, wajasiri asilimia 90 miaka ya 90 mpk 2000 walikua wanaenda sana jeshini kwasababu ya ushupavu wao.

Rorya hapa wanapatikana wajaruo na wakurya kwa asilimia fulani, wajaluo asili yao ni kenya hapa ndio utaona mila za mtu akifariki linapigwa disco na pombe, pia wako vzr kwenye maswala ya ulozi hawa

Mgumu hapa ni mchanganyiko mana ni njianya kuelekea serengeti ila jamii kubwa hapa ni waikizu na wakurya baadhi na makabila madogo madogo.

Bunda hapa napo ni mchanganyiko kuna watu wanatoka kibala ambao ni wakerewe, pia kuna wasukuma toka Mwanza, wajita pia wapo
 
Musoma n wilaya, Mara ni mkoa.
Mkoa wa Mara kuna wilaya ya Butiama,Musoma, Tarime, Rorya, Mgumu na Bunda

Musoma wanapatikana wajita na wakwaya ( awa ukweli ni kua wanapenda umbea, majivuno, roho mbaya na ushirikina .

Butiama wanapatikana wazanaki ( kwa mwalimu hapa na mbunge wao alikua Nimlodi mkono

Tarime wanapatikana Wakurya wazee wa mahasira na mapanga, wajasiri asilimia 90 miaka ya 90 mpk 2000 walikua wanaenda sana jeshini kwasababu ya ushupavu wao.

Rorya hapa wanapatikana wajaruo na wakurya kwa asilimia fulani, wajaluo asili yao ni kenya hapa ndio utaona mila za mtu akifariki linapigwa disco na pombe, pia wako vzr kwenye maswala ya ulozi hawa

Mgumu hapa ni mchanganyiko mana ni njianya kuelekea serengeti ila jamii kubwa hapa ni waikizu na wakurya baadhi na makabila madogo madogo.

Bunda hapa napo ni mchanganyiko kuna watu wanatoka kibala ambao ni wakerewe, pia kuna wasukuma toka Mwanza, wajita pia wapo
shukrani mzee.nawapenda sana wajaluo itabidi nifike hapo rorya
 
Back
Top Bottom