Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Musoma wajuaji wengi ila wajanja wa maisha wachache, nimekaa musoma miaka kadhaa na Tarime pia, kwa miji ya Mara bora Tarime kuna aina fulani ya maisha kwa mtu mwenye kuitaji kutoka wajita wa musoma maneno mengi sana..

Kuna mmoja niliwai kumtoa jino katika gym ya pale pembeni ya uwanja wa karume.. nilikuwa mgeni kule ila kwa sababu napenda mazoezi nikaulizia nikaelekezwa mahala pa gym.. nimefika siku ya kwanza, pili ya tatu jamaa akaanza kuwa anafuatilia maisha yangu... alifikiri siwezi mfanya kitu nilimpa ngumi moja jino likadondoka mpk leo sitasahau hakuna aliyethubutu kunisogelea maana inaelekea yeye ndo alikuwa nunda pale.

Nilikaa miaka 2 hivi nikahamishwa kikazi. Ila wasichana tu wa kule mwanaume unatongozwa kabisa kulikuwa na hotel moja hivi kubwa tu ipo pembezoni mwa ziwa nimeishau jina, nimekula sana samaki pale na pombe sana. Matajiri wa pale ni akina matayo, hussein sokoni, ila wana maisha ya kishamba sana aise. Mitaa naikumbuka kamyonge, umoja, makoko nk, jamaa, zangu walikuwa huyu aliyegombea ubunge, akina Bailes na wengine nimewasahau. Ila sijawai kutamani kurudi kule.

Mkuu unaongelea bailesi wa mtaa wa makongoro pale kwenye kona.
Na apo pembeni ya karume palikua panaitwa Dayosisi kituo cha matumain michezo kama yote
 
Yah hapohapo Dayosis, kulikuwa kuna kituo cha michezo chini kidogo kulikuwa na shule ya sekondary inaitwa Mwembeni... Karibu na kanisa la Mennonite.

Bailes tulikuwa tunapiga naye maji alikuwa dereva wa gari moja la pale mkoani kama sijasahau. Ila sikumbuki jina la mtaa aliokuwa anaishi
 
Wewe usituite ivo wewe Life letu sio kama lenu la kimama mama.Musoma itabaki juu daima
Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela musoma wanaikimbia akina magori zembwera washasepa hapo mji unaongoza Kwa wivu majungu na ushirikina.

Ukienda maofisini kule Manispaa wamelundikana wakwaya na wajita wamebadili ofisi za umma kuwa Mali zao binafsi.

Haya makabila ndiyo yenye vijana wengi wakorofi hapo mjini ,naijua musoma vizur Sana enzi za westlawama ,Jamaica mocas ,wanaume nenge enzi Hizo kulikuwa na majamaa vichwa Sana kwenye hayo makundi wengine sasa hivi ni marehemu wengine ni walemavu walikutana na mkono wa wananchi wakanyooshwa.

Enzi Hizo shule ya Day secondary hapo musoma ilikuwa moja Tu Musoma Day now inaitwa morembe ya serikali nadhani afu na mwemben ya private ikaanza zingne kama mara sec na musoma tec zilikuwa bodi pamoja na songe sec ikiwa mchanganyiko kabla ya kufanywa girls na kubinafsishwa serikalini baada ya fujo kubwa iliyosababishwa na disco Kati ya songe sec na musoma teck na kupelekea kifo cha mwanafunz mmoja na majeruhi wa kutosha.

Anyway wasalimie Sana Musoma mji wa wanafiki wivu na majungu matajiri wa hapo musoma ni wawili Tu miaka nenda rudi Mthayo mmbunge na Shemeji yake Zembwera ndo wanamiliki biashara kubwa hapo town .

Anakuja mtu anasema musoma inakuwa Kwa kasi shem on you motherfuk....
 
Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela musoma wanaikimbia akina magori zembwera washasepa hapo mji unaongoza Kwa wivu majungu na ushirikina.

Ukienda maofisini kule Manispaa wamelundikana wakwaya na wajita wamebadili ofisi za umma kuwa Mali zao binafsi.

Haya makabila ndiyo yenye vijana wengi wakorofi hapo mjini ,naijua musoma vizur Sana enzi za westlawama ,Jamaica mocas ,wanaume nenge enzi Hizo kulikuwa na majamaa vichwa Sana kwenye hayo makundi wengine sasa hivi ni marehemu wengine ni walemavu walikutana na mkono wa wananchi wakanyooshwa.

Enzi Hizo shule ya Day secondary hapo musoma ilikuwa moja Tu Musoma Day now inaitwa morembe ya serikali nadhani afu na mwemben ya private ikaanza zingne kama mara sec na musoma tec zilikuwa bodi pamoja na songe sec ikiwa mchanganyiko kabla ya kufanywa girls na kubinafsishwa serikalini baada ya fujo kubwa iliyosababishwa na disco Kati ya songe sec na musoma teck na kupelekea kifo cha mwanafunz mmoja na majeruhi wa kutosha.

Anyway wasalimie Sana Musoma mji wa wanafiki wivu na majungu matajiri wa hapo musoma ni wawili Tu miaka nenda rudi Mthayo mmbunge na Shemeji yake Zembwera ndo wanamiliki biashara kubwa hapo town .

Anakuja mtu anasema musoma inakuwa Kwa kasi shem on you motherfuk....
aya bna ila sipo musoma cku nikirudi nitawasalimia wote
 
Nimesoma mwisenge 1998-2000 then mtakuja 2000-2002 then tukahama mkoa baada ya mzee kuhamishwa kikazi. Daaah niliumia sana sababu tulihama wakati wa likizo hivyo sikupata chance ya kuagana na classmates except wale waliokua majirani kitaa.

Miaka hiyo sikuwahi kusikia habari za hivyo vikundi vya wahuni. Ila nimeshtushwa na jina moja humu la Kasinia maana nilisoma darasa moja la pili C na mtu anaitwa Kasinia Viungo tena kama sikosei alikua monitor. Hivi ndo huyu aliyeongelewa humu au?

Peace and love kwa Kazimoto family.. Tumecheza sana hapo kwa majirani zetu.
 
Nimesoma mwisenge 1998-2000 then mtakuja 2000-2002 then tukahama mkoa baada ya mzee kuhamishwa kikazi. Daaah niliumia sana sababu tulihama wakati wa likizo hivyo sikupata chance ya kuagana na classmates except wale waliokua majirani kitaa.

Miaka hiyo sikuwahi kusikia habari za hivyo vikundi vya wahuni. Ila nimeshtushwa na jina moja humu la Kasinia maana nilisoma darasa moja la pili C na mtu anaitwa Kasinia Viungo tena kama sikosei alikua monitor. Hivi ndo huyu aliyeongelewa humu au?

Peace and love kwa Kazimoto family.. Tumecheza sana hapo kwa majirani zetu.
kasinia baada ya kutoka gerezani ni mtu poa sana anaendesha Boda cjui kama bdo anaendelea nayo
 
kasinia baada ya kutoka gerezani ni mtu poa sana anaendesha Boda cjui kama bdo anaendelea nayo
Huyo kasinia alikuwa mshamba Tu anakuja kufagia Kwa Eddy Mpenda ili aangalie movie bure ndo maana nakwambia hao vijana wa musoma ni malimbukeni huyo kasinia hapo majitaroad alikuwa boya Tu mwili wenyewe kama njiti ya kiberiti aani kajamaa kalikuwa na afya mgogoro Sana may be ata kalishakufa aliyekaweka gerezani alikaonea sana
 
Sijapata fursa ya kurudi Musoma tokea 1996 nilipohitimu fomu four nafikiri pamebadilika sana. Kipindi hicho hakukuwa na vikundi vya kutishia amani mitaani ila kulikuwa na makundi tu ya vijana wakorofi hasa kwenye shule za sekondari kama Mara secondary ambao kazi yao ilikuwa kuanzisha fujo shule yao inapocheza na nyingine. Vijana wengi kipindi hicho walikuwa wanapenda kwenda pale 'Diocese" kushiriki michezo. Tatizo kama lilikuja kuwa kubwa inaweza kuwa ni kutokana na vijana hasa wanaoshindwa kuendelea na masomo kukosa fursa za kufanya na kuishia kutengeneza hayo magenge na kuwashawishi wale ambao bado wapo shule kujiunga na kupelekea hayo makundi kuongezeka na kuwa makubwa.
 
Yah hapohapo Dayosis, kulikuwa kuna kituo cha michezo chini kidogo kulikuwa na shule ya sekondary inaitwa Mwembeni... Karibu na kanisa la Mennonite.

Bailes tulikuwa tunapiga naye maji alikuwa dereva wa gari moja la pale mkoani kama sijasahau. Ila sikumbuki jina la mtaa aliokuwa anaishi

Alikua dereva pale manispaa then akawa dereva wa zima moto uyo uyo haha asee basi wewe ni mkongwe sana mtoto wake nimeskuli nae now kaolewa zanzibar
 
Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela musoma wanaikimbia akina magori zembwera washasepa hapo mji unaongoza Kwa wivu majungu na ushirikina.

Ukienda maofisini kule Manispaa wamelundikana wakwaya na wajita wamebadili ofisi za umma kuwa Mali zao binafsi.

Haya makabila ndiyo yenye vijana wengi wakorofi hapo mjini ,naijua musoma vizur Sana enzi za westlawama ,Jamaica mocas ,wanaume nenge enzi Hizo kulikuwa na majamaa vichwa Sana kwenye hayo makundi wengine sasa hivi ni marehemu wengine ni walemavu walikutana na mkono wa wananchi wakanyooshwa.

Enzi Hizo shule ya Day secondary hapo musoma ilikuwa moja Tu Musoma Day now inaitwa morembe ya serikali nadhani afu na mwemben ya private ikaanza zingne kama mara sec na musoma tec zilikuwa bodi pamoja na songe sec ikiwa mchanganyiko kabla ya kufanywa girls na kubinafsishwa serikalini baada ya fujo kubwa iliyosababishwa na disco Kati ya songe sec na musoma teck na kupelekea kifo cha mwanafunz mmoja na majeruhi wa kutosha.

Anyway wasalimie Sana Musoma mji wa wanafiki wivu na majungu matajiri wa hapo musoma ni wawili Tu miaka nenda rudi Mthayo mmbunge na Shemeji yake Zembwera ndo wanamiliki biashara kubwa hapo town .

Anakuja mtu anasema musoma inakuwa Kwa kasi shem on you motherfuk....

Mengi umeongea ya kweli wakwaya na wajita niwabinafsi sana na matajiri wanajulikana hapo sema mwaka juzi nimeenda now naona watu wamikoan wanawekeza sana watapaamsha may be japo wakwaya kwa wivu na ushirikina ni hatari
 
Huyo kasinia alikuwa mshamba Tu anakuja kufagia Kwa Eddy Mpenda ili aangalie movie bure ndo maana nakwambia hao vijana wa musoma ni malimbukeni huyo kasinia hapo majitaroad alikuwa boya Tu mwili wenyewe kama njiti ya kiberiti aani kajamaa kalikuwa na afya mgogoro Sana may be ata kalishakufa aliyekaweka gerezani alikaonea sana
ok ni kwa mawazo yako lkn wenyewe waona ni wajanja
 
me ckuzaliwa musoma ila nlisoma pare Mara Sec kuanzia 2011 Hao midomo ya furu waliwahi kunibananisha pale kibini kwa wakala natoka kutoa pesa wakazichua wao simu wakaniachia ili cku nyingine nkienda kutoa tena pesa wazichukue
 
Huyo kasinia alikuwa mshamba Tu anakuja kufagia Kwa Eddy Mpenda ili aangalie movie bure ndo maana nakwambia hao vijana wa musoma ni malimbukeni huyo kasinia hapo majitaroad alikuwa boya Tu mwili wenyewe kama njiti ya kiberiti aani kajamaa kalikuwa na afya mgogoro Sana may be ata kalishakufa aliyekaweka gerezani alikaonea sana
😄😄😄 mkuu punguza hasira umekula kichuri?
 
Kuna jamaa alikua anaitwa nyejoro mtukutu wa mtakuja huyo alininyang'anya viatu complex live bila chenga bila msaada wowote, kuna siku nimebananishwa muda wa saa mbili hivi tuko wengi hio ilikua xmass tunatoka complex kudadeki raia wako kama 15 mimi niko katikakti yao siku hiyo sitosahu nilichezea kila aina ya ngumi na vitasa wengine wakinipiga sachi, japo kuwa tulikuwa wengi barababarani ila nilikosa msaada. Ghafla akatokea gari wakazani ni mapoti ndo wakakimbia kiongozi wao alikua anaitwa jack madanso.
 
Kuna jamaa alikua anaitwa nyejoro mtukutu wa mtakuja huyo alininyang'anya viatu complex live bila chenga bila msaada wowote, kuna siku nimebananishwa muda wa saa mbili hivi tuko wengi hio ilikua xmass tunatoka complex kudadeki raia wako kama 15 mimi niko katikakti yao siku hiyo sitosahu nilichezea kila aina ya ngumi na vitasa wengine wakinipiga sachi, japo kuwa tulikuwa wengi barababarani ila nilikosa msaada. Ghafla akatokea gari wakazani ni mapoti ndo wakakimbia kiongozi wao alikua anaitwa jack madanso.

Dah pole sana....
 
IMG_0674.jpg

IMG_0673.jpg

IMG_0669.jpg

IMG_0665.jpg

IMG_0678.jpg

IMG_0689.jpg

IMG_0687.jpg

IMG_0676.jpg

IMG_0671.jpg

No where like home
 
Back
Top Bottom