Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
kama kawa mzee vipi unawafahamu wajaluoMzee wa maswali. Mambo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kawa mzee vipi unawafahamu wajaluoMzee wa maswali. Mambo vipi?
Mbona Tarime kuna amani na pako poa tu, angalia hiyo bili iliandikwa na muhudumu kwa mteja hapo Tarime (kwa hisani ya FB).Tarime mhh!! Hapana
Tatizo la watu wa Musoma ugomvi wao hauishi. Hata ukifanikiwa kumpiga sio mwisho wa vita, lazima atalipa kisasi kwa namna yoyote haswa wakurya wa Tarime na Serengeti. Unaeza kusahau kuwa ugomvi umeisha ukapigwa ambush ya hatari.Uyo inaoneka alileta ujuaji musoma wakamfanya kitu mbaya
Marehemu BarongoKuna jamaa pale Baruti alikuwa amejenga nyumba muundo wa meli, sijui aliwaza nn
MakumpilaNa pale soko kuu kulikuwa na sheikh mmoja ana duka kubwa sana alikuwa mzee alipenda sana kuwapa pipi watoto.
BraiDah umenikumbusha musoma tech pale baruti kuna jamaa alikua anaonyesha movie kwenye kibanda umiza,jpili na jmosi zilikua zile xxx tukawa tunaita kikao ili kuweka tafsida,yani kuna mshikaji ilikua ikifika kumi na mbil jioni keshawahi kwenye kikao,daah noma sana enzi hizo
Uwakumbuke pia kina Kejile na musaKankani, na Mnyama Kwinki!Mgasa, Kinche, Bonny Weed, Ally Bega, Duchu, Maromaro (R.I.P). List ni ndefu sana kwa wanangu wa Jamaica Mockers.
Mbio za vijiti unakutana na akina Jigga, Jira, Chui, Mapacha (jamaica pia walikua na mapacha).
Huku West Lawama unakutana na wakongwe akina Majani.
Yale maisha yamefanya tukawa tough sana. Kusurvive katikati ya gangs kama zile inahitaji roho ngumu. Bahati nzuri nilikua muhuni mpenda shule, hiyo ndio ponapona yangu. Othrerwise ningekua either jela au kaburini.
Makumpila
Inawezekana wewe ndo unaleta majungu na hujakaa mji huo vya kutosha. Tunaoifahamu Musoma tangu miaka ya 1980 tunakuona unapika majungu mkuu. Changamoto ya mji kutetereka ni baada ya biashara ya minofu ya samaki kupeleka Ulaya ilipodorora na viwanda vichache vilivyokuwepo kufa na kuzikwa kabisa. Tuliojihusisha kidogo na biashara ya samaki tunaikumbuka sana Musoma na watu wake si wavivu kama unavyotaka tuamini.Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela musoma wanaikimbia akina magori zembwera washasepa hapo mji unaongoza Kwa wivu majungu na ushirikina.
Ukienda maofisini kule Manispaa wamelundikana wakwaya na wajita wamebadili ofisi za umma kuwa Mali zao binafsi.
Haya makabila ndiyo yenye vijana wengi wakorofi hapo mjini ,naijua musoma vizur Sana enzi za westlawama ,Jamaica mocas ,wanaume nenge enzi Hizo kulikuwa na majamaa vichwa Sana kwenye hayo makundi wengine sasa hivi ni marehemu wengine ni walemavu walikutana na mkono wa wananchi wakanyooshwa.
Enzi Hizo shule ya Day secondary hapo musoma ilikuwa moja Tu Musoma Day now inaitwa morembe ya serikali nadhani afu na mwemben ya private ikaanza zingne kama mara sec na musoma tec zilikuwa bodi pamoja na songe sec ikiwa mchanganyiko kabla ya kufanywa girls na kubinafsishwa serikalini baada ya fujo kubwa iliyosababishwa na disco Kati ya songe sec na musoma teck na kupelekea kifo cha mwanafunz mmoja na majeruhi wa kutosha.
Anyway wasalimie Sana Musoma mji wa wanafiki wivu na majungu matajiri wa hapo musoma ni wawili Tu miaka nenda rudi Mthayo mmbunge na Shemeji yake Zembwera ndo wanamiliki biashara kubwa hapo town .
Anakuja mtu anasema musoma inakuwa Kwa kasi shem on you motherfuk....
Hahaha hawa watoto wajuzi...hata kabla ya peninsula kulikuwa na Silver sand au disco la nguvu pale Metro Mkendo katiAcha uongo na pennisura hotel utamuachia nan?
Akipiga pank lake kichwani, mtu nadhifu, amenyoosha suruali yake kisawasawa na urefu na uhandsome ule dah Musoma ilikuwa inatisha.Huyu mzee Barongo ni marehemu,alikuwa muhaya lakini pia alikuwa ndiye afisa utamaduni wa wilaya.
Mkuu umeongea jambo la maana sana!Sehemu bora kabisa musoma kuwahi kutokea ilikuwa diocese ya musoma( kituo cha matumaini ya vijana).
Kilikuwa kituo bora cha michezo na masomo, vyote vilitolewa bure kabisa kilikuwa kisima cha maarifa, kituo hiki cha kanisa romani cathoric baada tu ya kufungwa ndipo yalipoanza kuibuka makundi ya uharifu na wahuni
Pale ilikuwepo michezo ya aina zote unayoifahamu wewe, maktaba na madarasa ya kufundishia fani mbalimbali ikiwemo uchoraji n.k
Vijana na watu wote walikuwa wanakutana pale kushiriki michezo na masomo hivyo hapakuwa na makundi ya kihuni, zilikuwepo timu za mipira na michezo mingine pamoja na wasomi.
Sijaona kikiongelewa humu mkumbuke na mazuri, msikumbushane matukio ya wahuni tu.
Hahahhaaaa wapi Magesa wegero na kulindwa?mzee umenikumbusha mbali sana kipindi tunazamia Complex tunapitia mliman ukifika pale juu kuna mmasai unampatia mia 300 unazama ndani
Ndio tulivyo. Hatuwezi kuwa kama ninyiSehemu yenye vijana washamba na magrup yao ya kishamba kishamba .aani hawa vijana wa musoma wao wanaona mabifu ndiyo ujanja machoko sana
Mara ni mkoa na musoma mjini ni wilaya ambayo ndiko yaliko makao makuu ya mkoa wa Mara. Wajaluo wengi wako sehemu kubwa ya wilaya ya Rorya, ingawa pia kuna waruri, wasimbiti, wasuba n.kkati ya musoma na mara wapi kuna wajaluo wengi
Masahihisho, Mugumu si wilaya, wilaya ni Serengeti nadhani. Pia umesahau wilaya ya Musoma vijijini na Butiama. Jumla kuna wilaya 7Musoma n wilaya, Mara ni mkoa.
Mkoa wa Mara kuna wilaya ya Butiama,Musoma, Tarime, Rorya, Mgumu na Bunda
Musoma wanapatikana wajita na wakwaya ( awa ukweli ni kua wanapenda umbea, majivuno, roho mbaya na ushirikina .
Butiama wanapatikana wazanaki ( kwa mwalimu hapa na mbunge wao alikua Nimlodi mkono
Tarime wanapatikana Wakurya wazee wa mahasira na mapanga, wajasiri asilimia 90 miaka ya 90 mpk 2000 walikua wanaenda sana jeshini kwasababu ya ushupavu wao.
Rorya hapa wanapatikana wajaruo na wakurya kwa asilimia fulani, wajaluo asili yao ni kenya hapa ndio utaona mila za mtu akifariki linapigwa disco na pombe, pia wako vzr kwenye maswala ya ulozi hawa
Mgumu hapa ni mchanganyiko mana ni njianya kuelekea serengeti ila jamii kubwa hapa ni waikizu na wakurya baadhi na makabila madogo madogo.
Bunda hapa napo ni mchanganyiko kuna watu wanatoka kibala ambao ni wakerewe, pia kuna wasukuma toka Mwanza, wajita pia wapo
Na ndg yake Mnema!Umenikumbusha mbali sana mzee chibaland na mama tosapela
Enzi izo pale songe sekondari ndo ilikua shule ya wakorofi kuna jamaa alikua anaitwa DIBO alikua anatusumbua sana
Unamjua Mzee Magotti?hapana Mkuu nipo Arusha now but 12 December nitakua huko rorya ndo kwao mzee
Ndio. Nawafahamu, maana nimeishi nao sanakama kawa mzee vipi unawafahamu wajaluo
Hakuna wilaya ya musoma vijijini! Wilaya ni moja Musoma...so kuna wilaya 6Masahihisho, Mugumu si wilaya, wilaya ni Serengeti nadhani. Pia umesahau wilaya ya Musoma vijijini na Butiama. Jumla kuna wilaya 7