Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

BARDIZBAH

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
5,259
Reaction score
10,078
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
 
Hahaaa! Mwaka jana mwezi wa nne mwezi wa ramadhani nilikuwa huko,daa ilibidi nifunge tu na mimi japo sio muislam. Kwani hata maji ya kunywa tu dukani huwezi kuuziwa, bia hapo MESS tsh. 3000 (tena ndogo) maeneo ya hapo MACHO MANE chakula ni bei juu sana.madem bila hao ma bar maid wa hapo mess na hao wauza vyakula kutoka bara, sijui ingekuwaje!
 
Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
Kweli

Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
Kweli ila hii inategemea zaidi na ulipofikia
Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
Hakuna mwanamke wa kipato cha chini asiyeogopa talaka.

Pemba maisha ni ghali sana.
Ukiwa na pesa maisha ya pemba ni rahisi sana hususani kwa mzaliwa, mzunguko wa fedha kisiwa cha pemba ni mdogo. Nenda na pesa yako au ufe kwa kutamani.

Huwezi kufa kwa njaa pemba, wenyeji wana khulka ya kukulazimisha kula hata kwa kujinyima wao
 
Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
Kwa sababu kila mtu hupata huduma kijijiji kwao, wapemba wengi bado wanaishi kwa mfumo wa ujamaa.
Unaweza kukuta kijiji kizima wanaishi ndugu na jamaa. Huo mgahawa si utafilisika

Pemba kutupiana vijini ndio i
Yes, bado ni tatizo sugu japokuwa jamii ya kileo inastaarabika kwa kasi

Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
Katembee msuka, tumbe halafu urudi na huo utafiti wako

Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
Kweli
 
Back
Top Bottom