Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema zanzibar, elimu ya msingi ilikuwa darasa la 7 ila baadae chini ya utawala wa shein ikawekwa mpaka darasa la 6.Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)
tupe nyama hapo TarimeHii nchi kubwa sana, ukifika tarime ndo utashangaa zaidi
Limetoholewa kwenye lugha ya kiengereza.Pemba shule inaitwa Skuli.
Ukiwa domo zege hata sinza unaweza kukosa mchuchu [emoji2]kuna watu wanagundu Dunia hii hadi madada poa wanawakataa
Kuna fursa Pemba??Acha kuwaza ngono,Fikiria fursa.
Natamani kufika Pemba ila kupanda boti ndo sitaki
Haemorrhoids ndo bawasiri?Duh shida wanawake wanalawitiwa sana nimepata kazi za kutibu haemmoloid mpaka nimechoka
Pemba patamu yahe. Usisahau kufika pale Gombani na Macho manne.Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu
13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)
14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen
♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Na kazi yenu kubwa ni kulima na kulinda mifugo kwa ujira wa pesa ya kununulia redio na unga wa sembe.
Watwana ndio jina jengine munaloitwa
Duh kazi sanaPemba patamu yahe. Usisahau kufika pale Gombani na Macho manne.
UKifika Macho manne utapata kila utakacho, Wete halikadharika...ingawa macho wengi yatakunyima Uhuru.
Ukichukua ngoma Wete au Macho manne inabidi ukaipigia kusini, yaani mkoa mwingine.
Wabara na Wahuni kuitwa Wanyamwezi ni sababu ya watu wawili, wa Kwanza James Maparara aliyekua mwanzilishi na Mwenyekiti wa CUF, wa pili ni Ibra Lipumba...hawa Wanyamwezi wawili kwao ndiyo brand ya Wabara
Ustaarabu wa vyoo unakuwa kasi sana.Halafu nasikia Pemba majumbani hakuna vyoo, haja zote mnamalia ufukweni au porini, ni kweli??!!
Hii ni unguja sio pembaPemba 100% ya wadada ambao hawajaolewa ni bikra (upande wa mbele), lkn kwa nyuma hawana malinda.
tupe nyama hapo Tarime
hiyo 'haemmoloid' unaitibu kwa mitishamba na makombe labda maana hata kuandika huwezi.Duh shida wanawake wanalawitiwa sana nimepata kazi za kutibu haemmoloid mpaka nimechoka