Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Niko kwenye Azam Sea link narudi zangu Unguja then Dar Leo.


Messi imeniokoa sana muda wa wiki Moja niliokaa Pemba. Sikupata shida ya kula kabisa Ramadhani hii ingawa hela imetoka sana kwenye kula na kugonga vyombo.

Messi Ina mademu wengi sana ila tatizo hata ukitongoza huwezi kumpeleka hotelini kwako maana hawatakuruhusu.
Mademu wanataka uende nyumbani kwao which is very risk.

Kwenye meli Kuna ustaarabu mbaya sana. Mnakata ticketi ya Economy au Executive seat lakini ukiingia unakuta mijitu imelala kwenye viti vyote
Ili tatizo lipo lakini ni watu wastaarabu uki omba upishwe kuketi kitako Wana achia seat.
 
Unamaanisha wanawake wa kipemba wanaweza kuliwa kabla ya ndoa?
Wanalika vizuri sana na akikupenda basi hata msichana mwenzake wa karibu awe mdogo wake au rafiki yake atatamani na yeye umle ili wakiwa wenyewe wawe wanapiga story zako kwa kuwa wote wanakufahamu na wakati mwengine watapeana majukumu wakufanyia kutu gani.

Huwa nina waoneeni huruma sana nyie mnaoupinga huu Muungano na kudai bora tungeungana na Rwanda.
Kuna watu bado hamjala matunda ya Muungano hivyo huwa mnajiongelea tu bila kujua.
 
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi

3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen


♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Ahsante je ujabahatika kukutana na Askari wa Zanzibar
 
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi

3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen


♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Hivyo vitu ambavyo umeviorodhesha karibu vingi kama siyo vyote vinapatikana Zanzibar nzima. Nafikiri wengi wao kwa asilimia kubwa hufuata misingi ya dini yao ya kiislamu.

Ila naamini wengi wao huifuata hii dini kama utamaduni na siyo kiimani.Masharti ya hii dini kwa kizazi cha leo bila imani thabiti na kujitoa inahitaji moyo sana kuyafuata. Ndiyo maana unafiki umejikita mizizi sana. Mfano wa masharti hayo ni kama vile:

1) Usinywe pombe: (Umezungukwa na baa pande zote)

2)Usicheze kamari: (Umezungukwa na kampuni za kamari pande zote.)

3)Usifanye umalaya : (Umezungukwa na madanguro yanayonekana na yasiyoonekana pande zote)

4)Usitoze riba: (Huku unahitaji faida maradufu)


................................n.k bila nguvu ya Mungu utachemsha tu na kuwa mnafiki mkubwa.

Kingine ni suala la chuki dhidi ya watu kutoka bara, hii huambukizwa tangu utotoni sijui ni nini kilitokea lakini jamaa wanawachukia watu kutoka bara kuliko maelezo.

Hii nayo ni ujinga wa kurithishana, naamini kiasili kisiwa hakina mwenyewe kiasilia kwani hata hawa wanaolishwa hizi sumu ukiwafuatilia kiundani asili za mababu zao unakuja kugundua kuwa walihamia huku visiwani muda mrefu!!!!!!!!!!!!

Wengi wao hasa wanaokaa shamba, hawajafanikiwa kutembea nje ya visiwa hivi, ni kama mtu unakaa sehemu moja muda mrefu ukiamini kuwa ni sehemu bora kuliko sehemu nyingine, ukitoka utagundua kuwa dhana yako ilikuwa potofu!!!!!!!!!

Nb 1: Naamini Mungu hana dini (Mtazamo wangu).

Nb 2: Dini zote zimeundwa na kutengenezwa na mwanadamu (Mtazamo wangu)

Nb 3: Huwezi (mtazamo wangu ) kutenganisha dini na utamaduni wa jamii husika. Mfano:


1) Utamaduni wa kimagharibi na Ukristo.

2) Utamaduni wa Kihindi na Uhindu.

3)Utamaduni wa Kiyahudi na Uyahudi.

4)Utamaduni wa Kiarabu na Uislamu.

5)Utamaduni wa kichina na Confucianism, Taoism, and Buddhism.

6)Utamaduni wa Kijapan na Shinto na Buddhism.

7)Utamaduni wa kirusi na orthodox.

Nb 4: Tunatofautina kiimani na kiitikadi lakini tukiheshimiana hutaweza kuziona hizo tofauti.

Nb 5: Binadamu wote tunategemeana.

Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu Si kwamba hawajengi vyoo,
Kuna ule utamaduni wa baadhi yao kwenda haja popote.

Mfano baharini au msituni.
Unaweza kutembea msituni ukakutana na kinyesi cha binadamu


Si ndio sasa, kama mtu anaweza kwenda haja mahali popote (msituni au ufukweni) sasa ajenge choo cha kazi gani ??, kama mahali popote panaweza kuwa choo, choo kijengwe kwa kazi gani??, utajenga and at the end of the day it remain obsolete and remember necessity is the mother of invention, then how can you invent something you don't need??!
 
Hivi mtu unakuja kuongea Ujinga kama huo, tena kwa asilimia 100% halafu huko pemba kwenyewe hujawahi kufika?labda tukuulize Una Mama,Dada,Shangazi na wengine nyumbani kwako?hujui unavyowatukana wanawake unawajumlisha na ndugu zako wa kike?
Mbona povu? Pole kama jiwe la gizani limekupata usonji.
 
Back
Top Bottom