Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Pemba patamu yahe. Usisahau kufika pale Gombani na Macho manne.
UKifika Macho manne utapata kila utakacho, Wete halikadharika...ingawa macho wengi yatakunyima Uhuru.
Ukichukua ngoma Wete au Macho manne inabidi ukaipigia kusini, yaani mkoa mwingine.

Wabara na Wahuni kuitwa Wanyamwezi ni sababu ya watu wawili, wa Kwanza James Maparara aliyekua mwanzilishi na Mwenyekiti wa CUF, wa pili ni Ibra Lipumba...hawa Wanyamwezi wawili kwao ndiyo brand ya Wabara
UKifika Macho manne utapata kila utakacho, Wete halikadharika...ingawa macho wengi yatakunyima Uhuru.
Ukichukua ngoma Wete au Macho manne inabidi ukaipigia kusini, yaani mkoa mwingine.



Fafanua kidogo hapo juu sheikh [emoji115][emoji115]
 
Hiyo ya wahuni sijui, lakini wabara kuitwa Wanyamwezi siyo sababu ya Lipumba na Mapalala.

Katika miaka ya arubaini mpaka sitini (enzi ya Muingereza) ikifika wakati wa kuchuma karafuu Pemba kulikuwa na meli inakuja kuchukua vibarua kutoka Bara (enzi hizo Tanganyika). Waliokuwa wanakwenda Pemba kipindi hicho kwa asilimia kubwa walikuwa Wanyamwezi/Wasukuma na Wadigo kutoka Tanga. Aidha vijana wengi na wafanyabiashara kutoka Unguja walikuwa wanahamia Pemba kwa muda. Kwa kweli fedha ilikuwa nje nje katika kipindi cha karafuu. Hata wahindi walikuwepo kwa wingi sana na maduka yao yakiuza kila unachokitaka na hasa mapambo ya wanawake kutoka India.

Uchumaji wa karafuu unahitaji vibarua wengi ili karafuu zichumwe kwa muda mfupi bila kuharibika (zinachumwa katika stage maalumu ya ukuwaji) otherwise zinaharibika na kuwa 'matende' na zinakuwa hazina thamani kibiashara. Kwa hivyo nguvukazi ilikuwa inakuja wanapiga mzigo na baadae wanarudi nyumbani. Lakini kama kawaida kuna baadhi huwa wanabakia kule kule na kuendelea na maisha yao. Hawa waliobaki wengi walikuwa ni Wanyamwezi na ndiyo maana wabara wote tena wakaitwa hivyo.

Enzi hizo karafuu ilikuwa na bei kweli kweli kwa hivyo msimu wa kuchuma karafuu ilikuwa kama sherehe fulani hivi visiwani. Walikuwepo 'wauza urembo (mapambo ya kina mama)' walikuwa wanauza mpaka vijijini. Mfano mfanyabiashara akikutana na mtu akanunua kitu lakini akapungukiwa na fedha basi atamkopesha na yule aliyekopa atamlipa tu hata kama watakutana baada ya mwaka mmoja (walikuwa waaminifu sana).
Kwani watumwa walipelekwa Pemba? Mbona Unguja hawawaiti wahuni?
Halafu wameanza kuwaita wahuni siyo kizamani vile ni just recently
 
Kwani watumwa walipelekwa Pemba? Mbona Unguja hawawaiti wahuni?
Halafu wameanza kuwaita wahuni siyo kizamani vile ni just recently
Mimi sizungumzii habari ya watumwa, nazungumzia vibarua walikuwa wanapelekwa kwa meli enzi ya Muingereza.

Kwa kweli hiyo ya kuita wahuni ndiyo kwanza nimeona humu ijapokuwa mimi huwa nakwenda Pemba mara kwa mara.
 
Muongo Sana wewe,tangu zamani watu wanaoenda Sana visiwani ni wanyamwezi,hata vibarua mashambani ni wanyamwezi,Sasa wao kila atokae Bara humuita mnyamwezi,kabla ya mapalala na lipumba
Tu
Muongo Sana wewe,tangu zamani watu wanaoenda Sana visiwani ni wanyamwezi,hata vibarua mashambani ni wanyamwezi,Sasa wao kila atokae Bara humuita mnyamwezi,kabla ya mapalala na lipumba
Tatizo ni uvivu wa kusoma halafu mnarukia kujibu. Mimi nimeongelea Mbara kuhusishwa na Wanyamwezi Wahuni.
Kwani kule hakuna wabara wengine zaidi ya Wanyamwezi?
 
Mimi sizungumzii habari ya watumwa, nazungumzia vibarua walikuwa wanapelekwa kwa meli enzi ya Muingereza.

Kwa kweli hiyo ya kuita wahuni ndiyo kwanza nimeona humu ijapokuwa mimi huwa nakwenda Pemba mara kwa mara.
Hilo la Uhuni haluna historia ndefu, hilo limeibuka miaka ya karibuni sababu ya tofauti za viongozi wa kisiass...Lipumba Vs Seif
 
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi

3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen


♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Nisalimie wete hapo
 
Tu

Tatizo ni uvivu wa kusoma halafu mnarukia kujibu. Mimi nimeongelea Mbara kuhusishwa na Wanyamwezi Wahuni.
Kwani kule hakuna wabara wengine zaidi ya Wanyamwezi?
Hao Wabara wengine ni siku hizi,mafungamano makubwa ya Zanzibar na Tanganyika ni wanyamwezi kwa huku Bara, mwarabu aliyetawala unyanyembe(tabora mjini) alitokea Zanzibar,pakawa na mafungamano makubwa tangu hapo,Kuna watu wapi tabora Ila Wana mashamba makubwa Zanzibar,mmoja wapo sheikh kulwa,wachaga Kama wapo wameanza kwenda hivi punde
 
Ukifika mkunazini uliza afisi ya mshauri wa masuala ya usawa na kijinsia, uwaulize hali ya ulawiti ikoje kwa kipindi cha mwaka 1 tuu... Data zipo ushahidi upo mtoto mzuri


Unanitaka mimi nitoke huku Kigoma (kakonko mpakani na Burundi) niende Mkunazini kusaka hizo data??-- wewe ndiye mtoa madai na hivyo unatakiwa utuwekee hizo data hapa ili tuone huo ukweli wa maneno yako!!, au sio kigoli kipenzi??
 
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi

3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida[emoji2]
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen


♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Ni pagumu ila unakata mwezi wa tatu sasa! Usiwashangae waliozaliwa huko, mtu kwao!
 
Uko bhana wanapiga ibada kinoma lakin wanapenda uchawi kinoma, sijajua wanaawali kitu gani, ulozi na uislam mbona haupatani. hawa wapemba inabid waundiwe kamati shenz hawa.
 
Uislam ni Mila/utamaduni unaojitegemea,unaposema wanafuata Kama Mila unadhihirisha uelewa wako mdogo wa Mila na dini,chuki kwa Wabara inakuja kwa kuwa muungano ni WA kulazimisha,wanaamini hivyo,wanaamini muungano umewarudisha nyuma na umeharibu utamaduni wao, unaposema mungu Hana dini unatia shadda kwenye umbumbumbu wako kuhusu mungu
Uislam ni Mila/utamaduni unaojitegemea: Unahisi huu

utamaduni ulitoka wapi???????

Uislam ni Mila/utamaduni unaojitegemea,unaposema wanafuata Kama Mila unadhihirisha uelewa wako mdogo wa Mila na dini,chuki kwa Wabara inakuja kwa kuwa muungano ni WA kulazimisha,wanaamini hivyo,wanaamini muungano umewarudisha nyuma na umeharibu utamaduni wao, unaposema mungu Hana dini unatia shadda kwenye umbumbumbu wako kuhusu mungu
1: Wewe kwa elimu yako unaweza kunielezea huu utamaduni ulipotoka????????

2: Halafu huko ulipotokea naomba unionyeshe sehemu ambayo huu utamaduni hauingiliani kwa namna moja ama nyingine na utamaduni wa Kiarabu.

3: Unaelewa maana ya neno utamaduni???

4: Unavifahamu vitu vinavyounda utamaduni????

6: Unahisi hii mila unaweza kuitenganisha na mila ya Kiarabu???????

5: Dini ya Mungu inaitwaje????

6 : Unaelewa nini maana ya mtazamo??

7 : Unahisi ni lazima mtazamo wako na wangu ufanane?????

Nb: Ukiongozwa na papara na mhemko huwezi kujibu maswali ya hapo juu.

Samahani kwa usumbufu.
 
1: Wewe kwa elimu yako unaweza kunielezea huu utamaduni ulipotoka????????

2: Halafu huko ulipotokea naomba unionyeshe sehemu ambayo huu utamaduni hauingiliani kwa namna moja ama nyingine na utamaduni wa Kiarabu.

3: Unaelewa maana ya neno utamaduni???

4: Unavifahamu vitu vinavyounda utamaduni????

6: Unahisi hii mila unaweza kuitenganisha na mila ya Kiarabu???????

5: Dini ya Mungu inaitwaje????

6 : Unaelewa nini maana ya mtazamo??

7 : Unahisi ni lazima mtazamo wako na wangu ufanane?????

Nb: Ukiongozwa na papara na mhemko huwezi kujibu maswali ya hapo juu.

Samahani kwa usumbufu.


"It is another suspect in custody before Court of law"
 
Back
Top Bottom