Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Tabibu umetibu nini, hili neno halipo popote pale!Duh shida wanawake wanalawitiwa sana nimepata kazi za kutibu haemmoloid mpaka nimechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabibu umetibu nini, hili neno halipo popote pale!Duh shida wanawake wanalawitiwa sana nimepata kazi za kutibu haemmoloid mpaka nimechoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungemalizia tobo hupewi kabla ya ndoa labda uruke ukuta
NiceHiyo ya wahuni sijui, lakini wabara kuitwa Wanyamwezi siyo sababu ya Lipumba na Mapalala.
Katika miaka ya arubaini mpaka sitini (enzi ya Muingereza) ikifika wakati wa kuchuma karafuu Pemba kulikuwa na meli inakuja kuchukua vibarua kutoka Bara (enzi hizo Tanganyika). Waliokuwa wanakwenda Pemba kipindi hicho kwa asilimia kubwa walikuwa Wanyamwezi/Wasukuma na Wadigo kutoka Tanga. Aidha vijana wengi na wafanyabiashara kutoka Unguja walikuwa wanahamia Pemba kwa muda. Kwa kweli fedha ilikuwa nje nje katika kipindi cha karafuu. Hata wahindi walikuwepo kwa wingi sana na maduka yao yakiuza kila unachokitaka na hasa mapambo ya wanawake kutoka India.
Uchumaji wa karafuu unahitaji vibarua wengi ili karafuu zichumwe kwa muda mfupi bila kuharibika (zinachumwa katika stage maalumu ya ukuwaji) otherwise zinaharibika na kuwa 'matende' na zinakuwa hazina thamani kibiashara. Kwa hivyo nguvukazi ilikuwa inakuja wanapiga mzigo na baadae wanarudi nyumbani. Lakini kama kawaida kuna baadhi huwa wanabakia kule kule na kuendelea na maisha yao. Hawa waliobaki wengi walikuwa ni Wanyamwezi na ndiyo maana wabara wote tena wakaitwa hivyo.
Enzi hizo karafuu ilikuwa na bei kweli kweli kwa hivyo msimu wa kuchuma karafuu ilikuwa kama sherehe fulani hivi visiwani. Walikuwepo 'wauza urembo (mapambo ya kina mama)' walikuwa wanauza mpaka vijijini. Mfano mfanyabiashara akikutana na mtu akanunua kitu lakini akapungukiwa na fedha basi atamkopesha na yule aliyekopa atamlipa tu hata kama watakutana baada ya mwaka mmoja (walikuwa waaminifu sana).
Not cause but triggering factorAmong the causes
Kojani pale umefika? Choo watajenga wapi?Ustaarabu wa vyoo unakuwa kasi sana.
Hata wakojani wanajenga vyoo siku hizi
Pemba 100% ya wadada ambao hawajaolewa ni bikra (upande wa mbele), lkn kwa nyuma hawana malinda.
Hao hao wa vibarazani ndiyo wanaowatoa malindaacha kukariri stori za vibarazani
Pemba ya Msumbiji hiyo ?Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu
13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)
14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen
♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Ndio maana maambukizi ya vvu Ni chini ya asilimia 2Pemba 100% ya wadada ambao hawajaolewa ni bikra (upande wa mbele), lkn kwa nyuma hawana malinda.
Ndio maana huku Kuna ngwengwe Sana huo utaratibu uletwe huku hon kuingia lodge na mwanamke ambae si wako[emoji1787][emoji1787]Mkuu umepanda Sealink one au two,kama nakuona hapo nungwi unavyotoa macho,mess hapo kuna dada moja kibonge hivi alinipa hifadhi
Sa mbona mtoa mada anasema labda uwale baamedi?
Mkuu Si kwamba hawajengi vyoo,
Kuna ule utamaduni wa baadhi yao kwenda haja popote.
Mfano baharini au msituni.
Unaweza kutembea msituni ukakutana na kinyesi cha binadamu
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida[emoji2]
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu
13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)
14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen
♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Kingine ni suala la chuki dhidi ya watu kutoka bara, hii huambukizwa tangu utotoni sijui ni nini kilitokea lakini jamaa wanawachukia watu kutoka bara kuliko maelezo.
Hii nayo ni ujinga wa kurithishana, naamini kiasili kisiwa hakina mwenyewe kiasilia kwani hata hawa wanaolishwa hizi sumu ukiwafuatilia kiundani asili za mababu zao unakuja kugundua kuwa walihamia huku visiwani muda mrefu!!!!!!!!!!!!