Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wabara nyie yenu si makachakachaIla wazenji wataalam wa mapishi
Hiyo ya wahuni sijui, lakini wabara kuitwa Wanyamwezi siyo sababu ya Lipumba na Mapalala.Wabara na Wahuni kuitwa Wanyamwezi ni sababu ya watu wawili,
wabara nyie yenu si makachakacha
Wanaweza pika ugali wa mtama??
Muongo Sana wewe,tangu zamani watu wanaoenda Sana visiwani ni wanyamwezi,hata vibarua mashambani ni wanyamwezi,Sasa wao kila atokae Bara humuita mnyamwezi,kabla ya mapalala na lipumbaPemba patamu yahe. Usisahau kufika pale Gombani na Macho manne.
UKifika Macho manne utapata kila utakacho, Wete halikadharika...ingawa macho wengi yatakunyima Uhuru.
Ukichukua ngoma Wete au Macho manne inabidi ukaipigia kusini, yaani mkoa mwingine.
Wabara na Wahuni kuitwa Wanyamwezi ni sababu ya watu wawili, wa Kwanza James Maparara aliyekua mwanzilishi na Mwenyekiti wa CUF, wa pili ni Ibra Lipumba...hawa Wanyamwezi wawili kwao ndiyo brand ya Wabara
ugali hatuli bwanaaWanaweza pika ugali wa mtama??
kwani shindano liko wapi apo?,punguza hisiaKuwa mstaarabu nimewasifia sikua na maana ya kutafuta malumbano wala mashindano
Wanaweza pika ugali wa mtama??
kwani shindano liko wapi apo?,punguza hisia
wajinga wako wengi dunia hii, na wewe ukiwa ni mmojawapopyemba na unguruja 90% ya wanawake hawana marinda... Wanagawa tigo kiroho safi ila sio k
pyemba na unguruja 90% ya wanawake hawana marinda... Wanagawa tigo kiroho safi ila sio k
Wapemba tutakula muhogo usiokuwa na kitoweo ila si ugali kwa bamiaugali hatuli bwanaa
Haemorrhoids inasababishwa na kulawitiwa?Duh shida wanawake wanalawitiwa sana nimepata kazi za kutibu haemmoloid mpaka nimechoka
Uislam ni Mila/utamaduni unaojitegemea,unaposema wanafuata Kama Mila unadhihirisha uelewa wako mdogo wa Mila na dini,chuki kwa Wabara inakuja kwa kuwa muungano ni WA kulazimisha,wanaamini hivyo,wanaamini muungano umewarudisha nyuma na umeharibu utamaduni wao, unaposema mungu Hana dini unatia shadda kwenye umbumbumbu wako kuhusu munguHivyo vitu ambavyo umeviorodhesha karibu vingi kama siyo vyote vinapatikana Zanzibar nzima. Nafikiri wengi wao kwa asilimia kubwa hufuata misingi ya dini yao ya kiislamu.
Ila naamini wengi wao huifuata hii dini kama utamaduni na siyo kiimani.Masharti ya hii dini kwa kizazi cha leo bila imani thabiti na kujitoa inahitaji moyo sana kuyafuata. Ndiyo maana unafiki umejikita mizizi sana. Mfano wa masharti hayo ni kama vile:
1) Usinywe pombe: (Umezungukwa na baa pande zote)
2)Usicheze kamari: (Umezungukwa na kampuni za kamari pande zote.)
3)Usifanye umalaya : (Umezungukwa na madanguro yanayonekana na yasiyoonekana pande zote)
4)Usitoze riba: (Huku unahitaji faida maradufu)
................................n.k bila nguvu ya Mungu utachemsha tu na kuwa mnafiki mkubwa.
Kingine ni suala la chuki dhidi ya watu kutoka bara, hii huambukizwa tangu utotoni sijui ni nini kilitokea lakini jamaa wanawachukia watu kutoka bara kuliko maelezo.
Hii nayo ni ujinga wa kurithishana, naamini kiasili kisiwa hakina mwenyewe kiasilia kwani hata hawa wanaolishwa hizi sumu ukiwafuatilia kiundani asili za mababu zao unakuja kugundua kuwa walihamia huku visiwani muda mrefu!!!!!!!!!!!!
Wengi wao hasa wanaokaa shamba, hawajafanikiwa kutembea nje ya visiwa hivi, ni kama mtu unakaa sehemu moja muda mrefu ukiamini kuwa ni sehemu bora kuliko sehemu nyingine, ukitoka utagundua kuwa dhana yako ilikuwa potofu!!!!!!!!!
Nb 1: Naamini Mungu hana dini (Mtazamo wangu).
Nb 2: Dini zote zimeundwa na kutengenezwa na mwanadamu (Mtazamo wangu)
Nb 3: Huwezi (mtazamo wangu ) kutenganisha dini na utamaduni wa jamii husika. Mfano:
1) Utamaduni wa kimagharibi na Ukristo.
2) Utamaduni wa Kihindi na Uhindu.
3)Utamaduni wa Kiyahudi na Uyahudi.
4)Utamaduni wa Kiarabu na Uislamu.
5)Utamaduni wa kichina na Confucianism, Taoism, and Buddhism.
6)Utamaduni wa Kijapan na Shinto na Buddhism.
7)Utamaduni wa kirusi na orthodox.
Nb 4: Tunatofautina kiimani na kiitikadi lakini tukiheshimiana hutaweza kuziona hizo tofauti.
Nb 5: Binadamu wote tunategemeana.
Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!!!!!