Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Tu

Tatizo ni uvivu wa kusoma halafu mnarukia kujibu. Mimi nimeongelea Mbara kuhusishwa na Wanyamwezi Wahuni.
Kwani kule hakuna wabara wengine zaidi ya Wanyamwezi?

Wanyamwezi ndio popular, wamekuwa wakienda kwa miaka mingi sana. Ni sawa na hapa Dar kila anetoka Zanzibar anaitwa Mpemba wakati sio wote ni wapemba.
 
Wanyamwezi ndio popular, wamekuwa wakienda kwa miaka mingi sana. Ni sawa na hapa Dar kila anetoka Zanzibar anaitwa Mpemba wakati sio wote ni wapemba.
Ina maana nyie kila anayetoka Zanzibar kwenu ni Mpemba? Mbona wanagawanyika vizuri tu.
Pia si kweli kuwa Wanyamwezi wamekua wakienda, bali walishaenda miaka mingi
 
Mimi kabla sijafika zenji nliambiwa eti wamelegea kiasi konda anakwambia ami yangu ebu simama nkae chenchi ipo mfuko wa nyuma we chukua
Lakini nilivokuja kwenda so far sikuona utofaut hasa wa jamii ya unguja na dsm

wa TZ tunapenda kuishi kwa kukariri sana,
 
Ina maana nyie kila anayetoka Zanzibar kwenu ni Mpemba? Mbona wanagawanyika vizuri tu.
Pia si kweli kuwa Wanyamwezi wamekua wakienda, bali walishaenda miaka mingi

kwani tunapowzungumza wapemba wa Ilala na Magomeni kwani wale woote ni wapemba? wengine ni waunguja ila tumeku tuki generelize tu. Na kuhusu wanaymwezi ndio hivyo hivyo, Kwa zaidi ya miaka 100 wanaymwezi wamekua wakiingiliana sana na Zanzibar kijamii. wengi wao ndio wamekua vibarua maeneo mabli mbali toka enzi za okoloni.
 
kwani tunapowzungumza wapemba wa Ilala na Magomeni kwani wale woote ni wapemba? wengine ni waunguja ila tumeku tuki generelize tu. Na kuhusu wanaymwezi ndio hivyo hivyo, Kwa zaidi ya miaka 100 wanaymwezi wamekua wakiingiliana sana na Zanzibar kijamii. wengi wao ndio wamekua vibarua maeneo mabli mbali toka enzi za okoloni.
Hadi Wakrya na Wamalawi wote wapo huko Zanzibar, hata rais wa kwanza wa Zanzibar alitokea Malawi
 
1: Wewe kwa elimu yako unaweza kunielezea huu utamaduni ulipotoka????????

2: Halafu huko ulipotokea naomba unionyeshe sehemu ambayo huu utamaduni hauingiliani kwa namna moja ama nyingine na utamaduni wa Kiarabu.

3: Unaelewa maana ya neno utamaduni???

4: Unavifahamu vitu vinavyounda utamaduni????

6: Unahisi hii mila unaweza kuitenganisha na mila ya Kiarabu???????

5: Dini ya Mungu inaitwaje????

6 : Unaelewa nini maana ya mtazamo??

7 : Unahisi ni lazima mtazamo wako na wangu ufanane?????

Nb: Ukiongozwa na papara na mhemko huwezi kujibu maswali ya hapo juu.

Samahani kwa usumbufu.
Utamaduni unaundwa na chakula,mavazi,Ibada,ndoa....mtume alipoanza kuhubiri uislam waarabu waliona ni kitu kipya tofauti na utamaduni wao, uislam unajitosheleza kuwa Mila/utamaduni kwa kuwa una muongozo kwenye vipengele vyote vya maisha,unauliza dini ya Mungu,mungu yupi!?..maksai wangu naowatumia kulima ni mungu wa wahindi,Isa mwana wa Maryam ni mungu wa wakiristo,babu zangu wa kale wakiabudu mizimu na mibuyu mikubwa,palikua na waabudu moto,jua ,nyota
 
Utamaduni unaundwa na chakula,mavazi,Ibada,ndoa....mtume alipoanza kuhubiri uislam waarabu waliona ni kitu kipya tofauti na utamaduni wao, uislam unajitosheleza kuwa Mila/utamaduni kwa kuwa una muongozo kwenye vipengele vyote vya maisha,unauliza dini ya Mungu,mungu yupi!?..maksai wangu naowatumia kulima ni mungu wa wahindi,Isa mwana wa Maryam ni mungu wa wakiristo,babu zangu wa kale wakiabudu mizimu na mibuyu mikubwa,palikua na waabudu moto,jua ,nyota
Isa mwana wa Maryamu sio Mungu wa Wakristo.
Yesu wa Biblia na Isa bin Maryam ni watu wawili tofauti.
 
Ebhana niaje ,, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni Kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sanaa.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi

3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa.
5. Pemba maisha ni ghali sana.
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika.
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue,, yaan huku hawana habari za kutumiana wahuni,, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida[emoji2]
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege ,, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi ,, yaani majitu fulani mahuni ,, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli.
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani.
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli,, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea.
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen


♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA

Sasa tutembelee tena wakati umesema machimbo yetu yale hakuna alaf pisi zote ni flanbar huko hapafai bhana ngoja tukomae na jiji letu la dar tukitoka kimboka tunaingia uwanja wa fisi alaf tuna kula mdogo mdogo mpaka riverside alaf tuna kuja kudondokea dagaa dagaa kula ulabu na sigara
 
Isa mwana wa Maryamu sio Mungu wa Wakristo.
Yesu wa Biblia na Isa bin Maryam ni watu wawili tofauti.
Isa mwana wa Maryam ni mtoto wa Binti wa kiyahudi, Maryam alimpata huyo mtoto bili kuingiliwa na mwanaume na alikua bikira,mtoto huyo alikuja na ujumbe wa mola wake kwa Wana wa Israel,alisakamwa ili asulubiww na auawe,Kama yesu siyo huyo sawa,Ila yesu ni mungu wa wakiristo
 
Isa mwana wa Maryam ni mtoto wa Binti wa kiyahudi, Maryam alimpata huyo mtoto bili kuingiliwa na mwanaume na alikua bikira,mtoto huyo alikuja na ujumbe wa mola wake kwa Wana wa Israel,alisakamwa ili asulubiww na auawe,Kama yesu siyo huyo sawa,Ila yesu ni mungu wa wakiristo
Yesu sio huyo Nabii Isa bin Mariamu (Na amani iwe juu yake)
Mungu wa Wakristo anaitwa YHWH, Mungu asiyeonekana ambaye amemtuma Yesu Kristo duniani kutimiza jukumu kama Masihi aliyetabiriwa na Nabii Danieli.
Nabii Daniel alitabiri Masihi wa Mungu atakufa miaka karibia 500 kabla ya Yesu kuzaliwa akionyesha hata majira ya Yesu kufa kuwa mwaka wa 33 A.D ambapo Yesu alitimiza hayo Maandiko tarehe ya 15 Nisan mwezi wa kwanza wa Kiyahudi mwaka 33 A D aliuwawa kwa amri ya Pontio Pilato kama ilivoandikwa
Danieli 9:24-26
[24]Muda wa majuma sabini umeamriwa juu ya watu wako, na juu ya mji wako mtakatifu, ili kukomesha makosa, na kuishiliza dhambi, na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, na kuleta haki ya milele, na kutia muhuri maono na unabii, na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
Seventy weeks are determined upon thy people and upon thy holy city, to finish the transgression, and to make an end of sins, and to make reconciliation for iniquity, and to bring in everlasting righteousness, and to seal up the vision and prophecy, and to anoint the most Holy.
[25]Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.
Know therefore and understand, that from the going forth of the commandment to restore and to build Jerusalem unto the Messiah the Prince shall be seven weeks, and threescore and two weeks: the street shall be built again, and the wall, even in troublous times.
[26]Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
And after threescore and two weeks shall Messiah be cut off, but not for himself: and the people of the prince that shall come shall destroy the city and the sanctuary; and the end thereof shall be with a flood, and unto the end of the war desolations are determined.
 
Yesu sio huyo Nabii Isa bin Mariamu (Na amani iwe juu yake)
Mungu wa Wakristo anaitwa YHWH, Mungu asiyeonekana ambaye amemtuma Yesu Kristo duniani kutimiza jukumu kama Masihi aliyetabiriwa na Nabii Danieli.
Nabii Daniel alitabiri Masihi wa Mungu atakufa miaka karibia 500 kabla ya Yesu kuzaliwa akionyesha hata majira ya Yesu kufa kuwa mwaka wa 33 A.D ambapo Yesu alitimiza hayo Maandiko tarehe ya 15 Nisan mwezi wa kwanza wa Kiyahudi mwaka 33 A D aliuwawa kwa amri ya Pontio Pilato kama ilivoandikwa
Danieli 9:24-26
[24]Muda wa majuma sabini umeamriwa juu ya watu wako, na juu ya mji wako mtakatifu, ili kukomesha makosa, na kuishiliza dhambi, na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, na kuleta haki ya milele, na kutia muhuri maono na unabii, na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
Seventy weeks are determined upon thy people and upon thy holy city, to finish the transgression, and to make an end of sins, and to make reconciliation for iniquity, and to bring in everlasting righteousness, and to seal up the vision and prophecy, and to anoint the most Holy.
[25]Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.
Know therefore and understand, that from the going forth of the commandment to restore and to build Jerusalem unto the Messiah the Prince shall be seven weeks, and threescore and two weeks: the street shall be built again, and the wall, even in troublous times.
[26]Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
And after threescore and two weeks shall Messiah be cut off, but not for himself: and the people of the prince that shall come shall destroy the city and the sanctuary; and the end thereof shall be with a flood, and unto the end of the war desolations are determined.
Huo ni msimamo wa wakiristo zamani,siku hizi yesu ni Mungu ndiyo maana hukuti mkiristo anayeomba Mungu Bali yesu,andiko la uungu mkuu wa yesu lipo,yesu alipozaliwa jina lake ni Emanuel,yaani mungu pamoja nasi,na Kuna andiko linasema kwamba kila goti lotapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba yesu ni Mungu mkuu
 
Yesu sio huyo Nabii Isa bin Mariamu (Na amani iwe juu yake)
Mungu wa Wakristo anaitwa YHWH, Mungu asiyeonekana ambaye amemtuma Yesu Kristo duniani kutimiza jukumu kama Masihi aliyetabiriwa na Nabii Danieli.
Nabii Daniel alitabiri Masihi wa Mungu atakufa miaka karibia 500 kabla ya Yesu kuzaliwa akionyesha hata majira ya Yesu kufa kuwa mwaka wa 33 A.D ambapo Yesu alitimiza hayo Maandiko tarehe ya 15 Nisan mwezi wa kwanza wa Kiyahudi mwaka 33 A D aliuwawa kwa amri ya Pontio Pilato kama ilivoandikwa
Danieli 9:24-26
[24]Muda wa majuma sabini umeamriwa juu ya watu wako, na juu ya mji wako mtakatifu, ili kukomesha makosa, na kuishiliza dhambi, na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, na kuleta haki ya milele, na kutia muhuri maono na unabii, na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
Seventy weeks are determined upon thy people and upon thy holy city, to finish the transgression, and to make an end of sins, and to make reconciliation for iniquity, and to bring in everlasting righteousness, and to seal up the vision and prophecy, and to anoint the most Holy.
[25]Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.
Know therefore and understand, that from the going forth of the commandment to restore and to build Jerusalem unto the Messiah the Prince shall be seven weeks, and threescore and two weeks: the street shall be built again, and the wall, even in troublous times.
[26]Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
And after threescore and two weeks shall Messiah be cut off, but not for himself: and the people of the prince that shall come shall destroy the city and the sanctuary; and the end thereof shall be with a flood, and unto the end of the war desolations are determined.
Yahweh, hosanna,yehova ni Mungu wa wayahudi
 
Back
Top Bottom