Watu wa sheria mtusaidie hapa

Watu wa sheria mtusaidie hapa

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
594
Reaction score
291
Habari.!

Nina kitu kimoja nataka nijue kutoka kwa wenzetu wa sheria.

Kuna kiwanja kipo maeneo ya Tegeta ambacho ni cha baba yetu ambae alishafariki miaka 20 iliyopita, aliacha watoto watatu, wa kiume mmoja ambae ni mimi na wa kike wawili.

Kwa bahati mbaya katika watoto wa kike, mmoja alifariki pia akaacha mtoto mmoja wa kike ambae yupo kidato cha sita. Kila mtoto ana mama yake.

Sasa kiwanja tunakiuza ili kila mmoja apate mgawo wake, sasa changamoto inakuja kwamba huyu mtoto wa dada yetu aliyefariki anapinga kisiuzwe tusubiri mpaka amalize masomo miaka mitano mbele huko.

Sasa je kisheria huyu mjukuu wa baba yetu ana nguvu ya kuzuia sisi tusiuze kiwanja? Maana kiwanja twauza 30m kila mtu atapata 10m. Kisheria imekaaje hii?
 
Uyo mjukuu hana mamlaka na icho kiwanja labda kama ni msimamizi wa mirathi za mama ake kisheria (sio kienyeji) ndio anaweza pinga kwa nafasi iyo,bila ivyo hata mia mbovu hastahili
 
Uyo mjukuu hana mamlaka na icho kiwanja labda kama ni msimamizi wa mirathi za mama ake ndio anaweza pinga kwa nafasi iyo,bila ivyo hata mia mbovu hastahili
Yeye sio msimamizi wa mirathi ila tunachokifanya sisi ni kwamba tunataka tumgawie fungu la pesa kwa niaba ya mama yake aliyefariki ambae ni dada yetu.
 
Habari.!

Nina kitu kimoja nataka nijue kutoka kwa wenzetu wa sheria.

Kuna kiwanja kipo maeneo ya Tegeta ambacho ni cha baba yetu ambae alishafariki miaka 20 iliyopita, aliacha watoto watatu, wa kiume mmoja ambae ni mimi na wa kike wawili.

Kwa bahati mbaya katika watoto wa kike, mmoja alifariki pia akaacha mtoto mmoja wa kike ambae yupo kidato cha sita. Kila mtoto ana mama yake.

Sasa kiwanja tunakiuza ili kila mmoja apate mgawo wake, sasa changamoto inakuja kwamba huyu mtoto wa dada yetu aliyefariki anapinga kisiuzwe tusubiri mpaka amalize masomo miaka mitano mbele huko.

Sasa je kisheria huyu mjukuu wa baba yetu ana nguvu ya kuzuia sisi tusiuze kiwanja? Maana kiwanja twauza 30m kila mtu atapata 10m. Kisheria imekaaje hii?
Sijasomea sheria ila mjukuu kwenye mali ya kifamilia hana sauti yoyote na hapaswi kuzungumza lolote hapo ni huruma yenu tu
 
Sijasomea sheria ila mjukuu kwenye mali ya kifamilia hana sauti yoyote na hapaswi kuzungumza lolote hapo ni huruma yenu tu
Sahihi angepata sauti ikiwa angekuwa amechukua usimamizi wa mirathi za mama ake alie fariki hapo ange pinga kwa nafasi iyo kwa niaba ya mali za mama ake
 
Uzeni mpeni ten yake (fungu la mama yake)

Hana nguvu kisheria na wala hamtamuhusisha popote kwenye mauziano.

Nje ya mada, msimamizi wa mirathi yupo? Analijua hili la kuuza plot Tegeta?
 
Namuelewa binti kwa niaba yake, nahisi sio kwamba hataki kiwanja kiuzwe sasa hivi, ila nahisi ana hofu na mgao mtakaompa. Ataweza vipi kutunza au kutumia kwa manufaa kulingana na umri wake, ndio maana ameomba baada ya miaka mitano, atakuwa angalau amekomaa kiakili na kufanya maamuzi sahihi.
Hii sinario ingekuwa kwenye familia yenu na wew ndiye kaka umebaki na dada yako na huyo mtoto wa dada mngeweza kusikiliza hoja ya kitoto kiasi hicho ?
 
Habari.!

Nina kitu kimoja nataka nijue kutoka kwa wenzetu wa sheria.

Kuna kiwanja kipo maeneo ya Tegeta ambacho ni cha baba yetu ambae alishafariki miaka 20 iliyopita, aliacha watoto watatu, wa kiume mmoja ambae ni mimi na wa kike wawili.

Kwa bahati mbaya katika watoto wa kike, mmoja alifariki pia akaacha mtoto mmoja wa kike ambae yupo kidato cha sita. Kila mtoto ana mama yake.

Sasa kiwanja tunakiuza ili kila mmoja apate mgawo wake, sasa changamoto inakuja kwamba huyu mtoto wa dada yetu aliyefariki anapinga kisiuzwe tusubiri mpaka amalize masomo miaka mitano mbele huko.

Sasa je kisheria huyu mjukuu wa baba yetu ana nguvu ya kuzuia sisi tusiuze kiwanja? Maana kiwanja twauza 30m kila mtu atapata 10m. Kisheria imekaaje hii?
Kutokana na nia nzuri mlio nayo mmshauri afungue fixed account ili hela yake mmuwekee huko. Lakini pia hujaeleza ikiwa huyo mtoto dadako alimuorodhesha popote kama mrithi wa mali zake na kama ndivyo anaweza kuweka zuio kupitia wosia wa mamake na si wa baba yenu.
 
Namuelewa binti kwa niaba yake, nahisi sio kwamba hataki kiwanja kiuzwe sasa hivi, ila nahisi ana hofu na mgao mtakaompa. Ataweza vipi kutunza au kutumia kwa manufaa kulingana na umri wake, ndio maana ameomba baada ya miaka mitano, atakuwa angalau amekomaa kiakili na kufanya maamuzi sahihi.
Miaka mitano ni mingi aseeeeee!!!

Vipi ikitokea wote wawili mkafa?

Akabaki dogo tu?

Mwisho wa siku siku inakua vita ya wajukuu kisa kiwanja cha babu.(halafu kumbuka watakua ni wengi, ila kiwanja kimoja, imaginewamebaki wajukuu tu halafu pakagundulika pana madini)

Epusha matatizo ya baadae mzee

Kiwanja kiuzwe leo leo.
 
Namuelewa binti kwa niaba yake, nahisi sio kwamba hataki kiwanja kiuzwe sasa hivi, ila nahisi ana hofu na mgao mtakaompa. Ataweza vipi kutunza au kutumia kwa manufaa kulingana na umri wake, ndio maana ameomba baada ya miaka mitano, atakuwa angalau amekomaa kiakili na kufanya maamuzi sahihi.
Nahisi hiki ndo alichomaanisha, maana kama atapata hizo 10M anajua kabisa hana pa kuzipeleka, au labda wao walimuuliza sababu nyengine nje ya hiyo?
 
Namuelewa binti kwa niaba yake, nahisi sio kwamba hataki kiwanja kiuzwe sasa hivi, ila nahisi ana hofu na mgao mtakaompa. Ataweza vipi kutunza au kutumia kwa manufaa kulingana na umri wake, ndio maana ameomba baada ya miaka mitano, atakuwa angalau amekomaa kiakili na kufanya maamuzi sahihi.
Afungue fixed account aweke hiyo pesa kwa miaka 3
 
Habari.!

Nina kitu kimoja nataka nijue kutoka kwa wenzetu wa sheria.

Kuna kiwanja kipo maeneo ya Tegeta ambacho ni cha baba yetu ambae alishafariki miaka 20 iliyopita, aliacha watoto watatu, wa kiume mmoja ambae ni mimi na wa kike wawili.

Kwa bahati mbaya katika watoto wa kike, mmoja alifariki pia akaacha mtoto mmoja wa kike ambae yupo kidato cha sita. Kila mtoto ana mama yake.

Sasa kiwanja tunakiuza ili kila mmoja apate mgawo wake, sasa changamoto inakuja kwamba huyu mtoto wa dada yetu aliyefariki anapinga kisiuzwe tusubiri mpaka amalize masomo miaka mitano mbele huko.

Sasa je kisheria huyu mjukuu wa baba yetu ana nguvu ya kuzuia sisi tusiuze kiwanja? Maana kiwanja twauza 30m kila mtu atapata 10m. Kisheria imekaaje hii?
Maelezo yako pamoja na comments za wadau wote nilizosoma hapo chini, ukiachana na mambo sijui ya kisheria, zipo sawa na ndizo familia mbali mbali hufuata kugawana mirathi.

Huyo mtoto wa marehemu dada yako hana haki ya urithi wa moja kwa moja hapo.

Mlivyopanga na nduguzo kwamba muuze kisha mgao wa mirathi mumkumbuke na marehrmu ndugu yenu mmefanya jambo jema linalostahili pongezi, hamna tamaa za kijinga.

Kitu ambacho sijaelelewa, huyo mtoto wa marehemu, kazaliwa peke yake kwenye tumbo la marehemu?

Kama kazaliwa na wenzake, pia mgao mtakao mgawia marehemu ndugu yenu, inatakiwa muwagawanye na wenzake sawa kwa sawa.

Zoezi la kuuza liendelee na yote mliyopanga na dada zako yatekelezeni.

Huyo mtoto wa marehemu hana haki yoyote kuwapangia ama kuingilia suala hilo.
 
Back
Top Bottom