Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha wacha tu mkuu tumpe haki yake maana haya mambo ya mirathi yanasumbua sana ikitokea mmoja kakengeukaHa ha ha ha ha mkuu wewe mpe hata 2m tu au 3m hiyo 10m yote ya nini? Kwanini hizo 8m usinunue boda hata 2 au 3 au lah ufungue ofisini yeyote ikuingizie hata 10,000 kwa siku?
Huyo binti akikua usidhani kwamba atakumbuka mazuri yenu mkimpa hiyo 10m, save this date nakwambia haya. Dunia imebadilika sana saaana.
Eneo lenyewe analijua basi lilipo mkuu. Yani hajui chochoteAu dogo anataka mfe ili yeye apige mpunga peke yake?
Hapana ndugu zake wana moyo mzuri si umeona amesema wanataka kuuza halafu wagawe kwa watoto wote akiwemo mama yake ambaye ni marehemu, so atapata cha mamaUhakika mkuu shea yake atapewa, sema anataka kujikoroga asije akakosa kabsa
Jamaa wana roho nzuri sana, mimi Mjomba wangu hakunipa hata shilingi baada kuuza shamba la marehemu bibi,japokua marehemu Mama yangu nae alikua mrithi, na tena yeye kauza kibabe bila hata ya kufungua mirathi kisa kabaki mrithi peke yake baada Mama kufariki!!Hapana ndugu zake wana moyo mzuri si umeona amesema wanataka kuuza halafu wagawe kwa watoto wote akiwemo mama yake ambaye ni marehemu, so atapata cha mama
Pole sana mkuu binadamu ndio walivyoJamaa wana roho nzuri sana, mimi Mjomba wangu hakunipa hata shilingi baada kuuza shamba la marehemu bibi,japokua marehemu Mama yangu nae alikua mrithi, na tena yeye kauza kibabe bila hata ya kufungua mirathi kisa kabaki mrithi peke yake baada Mama kufariki!!
Mjomba wako ni mwiziJamaa wana roho nzuri sana, mimi Mjomba wangu hakunipa hata shilingi baada kuuza shamba la marehemu bibi,japokua marehemu Mama yangu nae alikua mrithi, na tena yeye kauza kibabe bila hata ya kufungua mirathi kisa kabaki mrithi peke yake baada Mama kufariki!!
Huyuu mfikishien kwa mama ke alipo Wala hana nguvu yoyotee nahisi anataka kumfikia MAMAKE alipo mapemaHabari.!
Nina kitu kimoja nataka nijue kutoka kwa wenzetu wa sheria.
Kuna kiwanja kipo maeneo ya Tegeta ambacho ni cha baba yetu ambae alishafariki miaka 20 iliyopita, aliacha watoto watatu, wa kiume mmoja ambae ni mimi na wa kike wawili.
Kwa bahati mbaya katika watoto wa kike, mmoja alifariki pia akaacha mtoto mmoja wa kike ambae yupo kidato cha sita. Kila mtoto ana mama yake.
Sasa kiwanja tunakiuza ili kila mmoja apate mgawo wake, sasa changamoto inakuja kwamba huyu mtoto wa dada yetu aliyefariki anapinga kisiuzwe tusubiri mpaka amalize masomo miaka mitano mbele huko.
Sasa je kisheria huyu mjukuu wa baba yetu ana nguvu ya kuzuia sisi tusiuze kiwanja? Maana kiwanja twauza 30m kila mtu atapata 10m. Kisheria imekaaje hii?
Ni kweli kabisa mjomba mwizi na uhalifu huanzia ngazi ya familia ndiyo maana nimeamua kua mbali nae!!Mjomba wako ni mwizi
Asante sana mkuu,ndiyo dunia yetu waja wazito sana!!Pole sana mkuu binadamu ndio walivyo
Upo sahihi mkuu, mimi binafsi ndo nampambania ili apate mgao sawa pamoja na sisi. Pesa yake ikae kwenye fixed account kwa miaka atakayopenda yeye na sio pesa ikae mikononi kwa ndugu.Huyuu nahisi kachoka kuishi hana jipya anachokitafuta atakipata
Kifupi majukuuu n pimbi kwenye mali za Babu yake
Huyuu mpeni dosi akakae mloganzila wiki
Akirudi ANAKUTANA na mgaoo simple
Ilaaa KUNA kitu hapa nakihisiii
KUNA tabia ya nyie Ndugu kusema huyu mtoto tutamwekea pesa zake akikuaa atapewaa hakiyakee
Hii hali imetesa sana KUNA kesi tumetoka kuwaliza NDUGU msoma majuzi....
NDUGU anangangania mtoto hawezi kaa na mali wao ndio washikilie mali za mtoto wakaulizwa mkifa JE hawakujibu
Huyuu mtoto naamini mkimweka wazi kabla ya kuuzwa kiwanja mgao ukoje na pesa yake inaenda
Bank hawezi lalamikaaaaaaaa
Onto
Msithubutu kumdhulumu
Kama mamayake angekuwa hai mngegawa wote sawa na hivyohivyoo haki ya mamake apewe sawa
Else mtamfwata mamake alipo...
Nikokwa wakala