Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Nimpuuzi tu na mjinga aliekua anadhania kwamba israhell wataweza kuifuta hamas pale ghazammeachiwa mnaanza kelele na muda si mrefu mtachokoza tena itafika dunia itawatema tu , na wayaud watawanyona makalio
Hapana israhell ndio imeshinda hakuna hamas na wale mateka wote wamekombolewa tayariKwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
Raia wa Israel ukiondoa orthodox Jews, watoto na wazee wote ni askari na wana mafunzo ya kijeshi halisi ili kujiandaa kuwacolonize wapalestinaNa wale raia 200 waliotekwa nao walitekwa na jeshi la Israel?
Kwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
Hamas ni akili kubwa sana waalitumia 7 Oktoba.Kwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
Kwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
Hamas ni akili kubwa sana waalitumia 7 Oktoba.Kwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
Na tuwakumbushe tu mazayuni kwamba kuna kipigo kinakuja miaka kumi mbele yaani wajiandae na kufutwaHamas ni akili kubwa sana waalitumia 7 Oktoba.
Walishajuwa haya mapoyoyo yatakuja kwa nguvu, wao wameshajiandaa na Ghaza metro yao.
Wakija na mabomu ya ndege nba drone, Hamas hawapo, wakija vifatru na majesi yao Hamas hawapo, halafu mara tu wanadonyolewa na watu wasioonekana. Hiyo tu imeawatia wazimu askari wa uvamizi 9,000 kwa ushahidi kabisa. Na waliofinywa 5,000 kwa hesabu za ukweli, siyo za longolongo.
Hawajashindwwa tu mazayuni? Lengo lao liliwaingiza Ghaza kwa nguvu lipi walilotimiza? Kubomoa majumba? kubomowa mahos[itali? kuuwa watoto na wagonjwa?
nie watumwa wa wazungu mnanishangaza sana, hivi ikiwa hamuoni na hamsikii basi hata kutumia akili zenu kidogo mnashindwa?
Kwa watu kama wewe si asa naanza kuelewa kwanini nchi yenye utajiri wa rasilimali kama Tanzania watu wake wanakuwa masikini.
Mimi naamini tarehe 7 Oktoba ni maanzo wa mwisho wa mazayuni, wamarekani waovu na vibaraka wao wa mashariki ya kati.Na tuwakumbushe tu mazayuni kwamba kuna kipigo kinakuja miaka kumi mbele yaani wajiandae na kufutwa
Maana kwasasa mazayuni yashajulikana ukiyabananisha wapi yanakua hayafurukuti unajipigia tuuuu
Hakuna jeshi bovu na la kawaida kama la mazayuni
Lengo mojawapo ilikuwa kubomoa majumbaHuku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?
Netanyahu condemns ICJ genocide case; Gazans return to wasteland in north
Kwa hiyo hiyo Africa kusini iliunga mkono vitendo vya Hamas vya October 7? Mbona havilaani anaangalia upande wa Israel kiukweli Africa kusini imeonyesha unafiki na chuki dhidi ya IsraelHujaona video ya maelfu ya watoto na raia wa Palestina wanaokufa .
Afrika kusini inasema hata kama kweli kuna watu walikufa Israel lakini haihalalishi mauwaji ya makusudi na uharibifu mkubwa uliofanywa Gaza.
Video uliyoiona wewe nadhani ni ile ya Hollywood ambayo hata waziri mkuu wa Spain aliipuuza.
Wee faiza hv kweli unaamini hivyo vigaidi uchwara vinaweza kuua askari 9000 wa IDF embu acha story za wauza alkasusu hapo masjidHamas ni akili kubwa sana waalitumia 7 Oktoba.
Walishajuwa haya mapoyoyo yatakuja kwa nguvu, wao wameshajiandaa na Ghaza metro yao.
Wakija na mabomu ya ndege nba drone, Hamas hawapo, wakija vifatru na majesi yao Hamas hawapo, halafu mara tu wanadonyolewa na watu wasioonekana. Hiyo tu imeawatia wazimu askari wa uvamizi 9,000 kwa ushahidi kabisa. Na waliofinywa 5,000 kwa hesabu za ukweli, siyo za longolongo.
Hawajashindwwa tu mazayuni? Lengo lao liliwaingiza Ghaza kwa nguvu lipi walilotimiza? Kubomoa majumba? kubomowa mahos[itali? kuuwa watoto na wagonjwa?
nie watumwa wa wazungu mnanishangaza sana, hivi ikiwa hamuoni na hamsikii basi hata kutumia akili zenu kidogo mnashindwa?
Kwa watu kama wewe si asa naanza kuelewa kwanini nchi yenye utajiri wa rasilimali kama Tanzania watu wake wanakuwa masikini.
Wejamaa nakufananisha na watangazaji wa mpira redioni kipindikile wakati tv hazijasambaa kila mahali.Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?
Netanyahu condemns ICJ genocide case; Gazans return to wasteland in north
Na ndio ukweli mchungu ambao hata wenyewe wanaujua ila kuusema tu ndio hawaweziMimi naamini tarehe 7 Oktoba ni maanzo wa mwisho wa mazayuni, wamarekani waovu na vibaraka wao wa mashariki ya kati.
KabisaYapo ambayo yalibomolewa lakini bado yanakalika.Na ni bora hayo kuliko kuishi kwenye hema.
Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?
Netanyahu condemns ICJ genocide case; Gazans return to wasteland in north