Sema nn sometime kujichanganya kunasaidia kukubadr japo sio kivile, bwana wee baada ya kwenda chuo moka mm , mwenyew nilijishangaa kumbe nina kipaj cha kuongea bwanaa maana sio kwa nyomii lile la wadau kila kona , kias kwamba kuna kipind ikafika nkawa sitembei mchna kukwepa kuonana na wadau, maan ikawa kila utakapopita wadau wanakuchangamkia,, na kam ujuavyo watu wa tabia hiz kuchange mood ni rahis mnoo kwaiyo mtu akinikuta nipo na mood harisi ya introv atajua labda naumwa ama nina stress kumbe ndio uharisia wangu,ikafika mahala mpka home wakawa wanadai nimeanza kulewa au navuta bangi maana sieleweki, leo niko hiv, kesho vilee,leo mpoleee, kesho naongea zaid ya waongeajii kuna mda namiliki jukwaa zima kwa storuu,lakn chaajabu chaji ikiisha lazma ukajifungie tu ndan urudi kweny factors reset ya uharisia,,hii kitu ya kujichanganya inasaidiaa saanaa kuleta cycle ya watu ambao unaweza kuja kuwatumia kwa faida.....wenye utu wa aina hii msijichukie wala kuwaza sana chamuhimh ni kujitambua tuu wew n nan, bas,,mm leo nyuma ya keyboard huwa mtata saana wa kuandika,,maelezo tu natililikaa,,hata uko FB,bbc swahil, na JF uko kwakina milard ayo kuna koment zang mpka sasa zinkimbiza kinomaa, so kwa mtu wa kawaida akisoma alafu akavuta picha bas anafikil sijui atakuwa mtu fulan hiv wa aina za watu waongeaji na wanyooshaj wa maelezo na point kama akina jakaya ama tundu lisu, kumbee[emoji41][emoji41][emoji41]..wadau wengi sana nimejuana nao kupitia facts zangu mitandaon lakn chaajabu mtu akiniona ni tofaut na alivyonizania kuwa atakutana na jamaa flan hiv mapepe wa kuongea, kumbe waap me ni maneno ma3 imetoka iyoo