Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Hapo yaani umenigusa maisha yangu kabisa.mi nina marafiki watatu tu ambao mmoja ni tokea shule ya msingi mwingine sec na mmoa wa ukubwani kwenye kutoka huyo mmoja tu ndo mtu wa viwanja kwa hiyo mi ukinikuta nipo bar au viwanja vya starehe utanikuta mimi na huyo jamaa angu mmoja tu labla na washkaji wengine ambayo ni sio washkaji zangu.kwangu mimi inakuaga ngumu sana kumzoea mtu hata mwanamke
Buno njoo tuzoeane na mimi mwanamke...
 
Buno njoo tuzoeane na mimi mwanamke...
Mi utanichoka tu maana mara nyingi nainjoy zaidi kukaa peke yangu.naweza kuwa kwenye kundi la watu hata watano na kuendelea na bado ukaniona nipo tu mwenyewe mwenyewe hata kama tupo meza moja.maneno mi huwa yanaishaga.tunaweza piga story mbili tatu baada ya muda ukashangaa nipo kimya
 
Mi kukaa mwenyew sku nzima na sm yangu ikiwa na bando huwa najihis amani sana,nachoka kukaa na watu

Nikizeeka nitaishi polini na vijana wawili tutafanya shughuli za kilimo na kula bata huko porini
 
Hulka moja wapo ya watu wakimya (introverts) ni ugumu wa kujichanganya na kuzoeana na watu wapya. Hii inapelekea wengi wanajikuta hawana marafiki ukitoa watu wachache wale waliofahamiana wakati wa chuo/sekondari, biashara/kazini. Siku zinavyosonga na wanavyozidi kukukua kimaisha "cycle" ya marafiki alionao inazidi kupungua. Anabakiwa na zaidi familia tu na rafiki mmoja au wawili.

Anajikuta imefika weekend mtu anatamani kujiachia kidogo na kubadili mawazo ila akiangalia hana watu wa kujumuika nao. Akiingia bar/mgahawa anakuta majamaa wamekaa kwenye meza kwa vikundi, inabidi aidha akae meza yake mwenyewe au akae counter...lakini anakosa ile ladha ya urafiki na uhusiano walionayo wengine kwenye maisha ambapo hubadilishana mawazo na kupeana changamoto chanya za kimaisha.

Kwa upande mwingine wanakuwa ni watu wanaojitegemea (independent) kifikra na kwa mambo mengi hufanya maamuzi na kuendesha maisha bila kutegemea ushauri au mawazo ya wengine. Pia kutokana na kutokuwa na watu wengi huwa hawana zile drama/changamoto za marafiki.

Faida za marafiki ni nyingi kuliko hasara, hebu introverts toeni mbinu za kupata marafiki wapya ukubwani.
Kumbe ni watu ambao tunafahamika kabisa, ila ahsante Mungu coz at another side naepukana na meng
 
Kumbe ni watu ambao tunafahamika kabisa, ila ahsante Mungu coz at another side naepukana na meng
Shughuli inakuja jamii inakuchukuliajee...
1.kiburi
2.jeuri
3.tabia tuu
Au vipi tenaa......elimu+maarifa ni nzuri
Mi wengi wanasemaga nina kiburi na madharau maana naweza kuwa tunakutana na wewe mara kibao tu hata zaidi ya miezi kazaa na nisijui hata jina lako wala nisiulize na hata number zako nisi zisave
😹😹hatari sana alafu hustuki wala nini kawaida kwako ndo maana watu wa hivi wakipitia hali Fulani ikawaumiza huwa ni wabaya tena shetani anakaa pembeni......NI WANYAMAA SIO MCHEZO
 
Hulka moja wapo ya watu wakimya (introverts) ni ugumu wa kujichanganya na kuzoeana na watu wapya. Hii inapelekea wengi wanajikuta hawana marafiki ukitoa watu wachache wale waliofahamiana wakati wa chuo/sekondari, biashara/kazini. Siku zinavyosonga na wanavyozidi kukukua kimaisha "cycle" ya marafiki alionao inazidi kupungua. Anabakiwa na zaidi familia tu na rafiki mmoja au wawili.

Anajikuta imefika weekend mtu anatamani kujiachia kidogo na kubadili mawazo ila akiangalia hana watu wa kujumuika nao. Akiingia bar/mgahawa anakuta majamaa wamekaa kwenye meza kwa vikundi, inabidi aidha akae meza yake mwenyewe au akae counter...lakini anakosa ile ladha ya urafiki na uhusiano walionayo wengine kwenye maisha ambapo hubadilishana mawazo na kupeana changamoto chanya za kimaisha.

Kwa upande mwingine wanakuwa ni watu wanaojitegemea (independent) kifikra na kwa mambo mengi hufanya maamuzi na kuendesha maisha bila kutegemea ushauri au mawazo ya wengine. Pia kutokana na kutokuwa na watu wengi huwa hawana zile drama/changamoto za marafiki.

Faida za marafiki ni nyingi kuliko hasara, hebu introverts toeni mbinu za kupata marafiki wapya ukubwani.
Hahahah! mfano mimi ni mpole halafu sio muongeaji huwa najaribu sana kujilazimisha niwe muongeaji lakini wapi imeshindikana. Nimeamua tu nikubari yaishe ingawa muda mwingine hii hali huwa inanitesa, nyumba niliyopanga nimezoena na watu wawili tu tena na wenyewe ni watu ambao tupo wote kozi moja.
 
Shughuli inakuja jamii inakuchukuliajee...
1.kiburi
2.jeuri
3.tabia tuu
Au vipi tenaa......elimu+maarifa ni nzuri
Mkuu nachoshukuru kwa tabia yang hii (kwa jinc nilivyo) kwakuwa simuathiri mtu kwang sion ttzo kabisa
 
kama wewe ni introvert hauwezi kusumbuliwa na mawazo ya kuwa mpweke binafsi napenda sana kufanya mambo yangu mwenyewe lakini sina aibu wala uoga wa kuishi na watu tena kuna muda mimi ndio huwa naitwa nichangamshe genge la story , nikitoka hapo mazoea na urafiki wetu unabaki hapo hapo wachache sana kwenye hilo kundi wanaweza kufahamiana na mimi zaidi, sio kwamba nawabagua bali wengi hushindwa kuendana na namna ninavyoishi sina maisha ya kuishi kubembeleza kuzoeana au kuishi kinafiki, kuna wajamaa niliishi nao miaka 4 sijawai kiongozana nao zaidi ya salamu na mimi kusepa hawa jamaa walikuwa wanajishitukia wakiwa na mimi wanavaa hovyo nikiwa nao wanaanza kukuita boss mara punguza kidogo kupendeza , mbona unashindia nguo za kanisani , nikasema moyoni nyinyi mbona mimi sioni aibu kwamba nyinyi mnaishi lafu lakini nyinyi mnapenda kufuatilia mambo yangu na kujishitukia nikawafungia vioo kabisa.
Kaka wewe auna utofaut na mimi kabisa yani tunaweza tukapiga story vzr sana tena muda mwingi ila nikisimama hapo bac atuzoeani tena ni salamu bac kila mtu anaendelea na maisha yake
 
Binafsi mambo ya u-introvert nilikuwanayo miaka mingi iliyopita kujifungia ndani kutwa nzima plus hakuna kuongea hata na majirani nikaona ufala tu huu dili nyingi za pesa zinanipita baada ya hapo nika-change fasta Sana.
Wewe ukua u-introvent ukiwa u-introvent uwez badilika kirahisi hivo
 
Mimi kiukweli natamani sana kua na marafiki lakini nashindwa jamani kumantain the friendship hata sijui kwa nini!? nna marafiki wawili tu tena wapo mbali na tunawasiliana kila siku, yaani huaga najitahidi kutengeneza marafiki ila vinashindikana kabisa nimeamua kuachana na hayo mambo,though kuna mda natamani kutoka ila najikuta sina company mme 2angu kajitahid sana kuniconect na watu ila vimeshindikana niko napambana na hali yangu.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Hulka moja wapo ya watu wakimya (introverts) ni ugumu wa kujichanganya na kuzoeana na watu wapya. Hii inapelekea wengi wanajikuta hawana marafiki ukitoa watu wachache wale waliofahamiana wakati wa chuo/sekondari, biashara/kazini. Siku zinavyosonga na wanavyozidi kukukua kimaisha "cycle" ya marafiki alionao inazidi kupungua. Anabakiwa na zaidi familia tu na rafiki mmoja au wawili.

Anajikuta imefika weekend mtu anatamani kujiachia kidogo na kubadili mawazo ila akiangalia hana watu wa kujumuika nao. Akiingia bar/mgahawa anakuta majamaa wamekaa kwenye meza kwa vikundi, inabidi aidha akae meza yake mwenyewe au akae counter...lakini anakosa ile ladha ya urafiki na uhusiano walionayo wengine kwenye maisha ambapo hubadilishana mawazo na kupeana changamoto chanya za kimaisha.

Kwa upande mwingine wanakuwa ni watu wanaojitegemea (independent) kifikra na kwa mambo mengi hufanya maamuzi na kuendesha maisha bila kutegemea ushauri au mawazo ya wengine. Pia kutokana na kutokuwa na watu wengi huwa hawana zile drama/changamoto za marafiki.

Faida za marafiki ni nyingi kuliko hasara, hebu introverts toeni mbinu za kupata marafiki wapya ukubwani.
Marafiki kwa Introverts ni mzigo,umeshasema wako independent,wanajitegemea mara nyingi kwa kila kitu na wanafurahia kuwa vile,kwahiyo usifikiri wewe kuwa na marafiki wengi ndio unafurahia maisha,unaweza kukuta mwenzio ndio anaye furahia maisha kuliko wewe...
 
Mimi kiukweli natamani sana kua na marafiki lakini nashindwa jamani kumantain the friendship hata sijui kwa nini!? nna marafiki wawili tu tena wapo mbali na tunawasiliana kila siku, yaani huaga najitahidi kutengeneza marafiki ila vinashindikana kabisa nimeamua kuachana na hayo mambo,though kuna mda natamani kutoka ila najikuta sina company mme 2angu kajitahid sana kuniconect na watu ila vimeshindikana niko napambana na hali yangu.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wewe ni jinsia gani mkuu
 
  • Thanks
Reactions: naa
Back
Top Bottom