Haha chuki unatoa wapi? Ndo mlivyofundishwa kwenye dini yenu?Mungu hayupo umefurahi Sasa!
Naona watu mnaogopa kucomment mmeniachia mwenyewe!
ππππππ hahahahahhahaNjoo basi jaman mtie neno kidogo
Haya bhana, Mimi sisemi neno lkn ujiangaulie Sana, Mungu anakuona tu na hizo kufuru zako.Coincidence tu hakuna lolote. Na story zenyewe za kutunga. Huyo mungu mlishawahi kumuona? Ni yupi kati ya miungu 4200?
Yesu ndie Kristo, wafuasi wa Yesu ndio Wakristo.Hivi UKRISTO na YESU wanahusiana vipi?
Hongera kwa busara zako mkuu...big up sana.Ukiona huna neno la busara katika habari hii.. Ukikaakimya nadhani inapendeza..
Sipingani na uwepo wa Mungu, ingawa kwangu ana tafasiri yangu ya kipekee. Ila kuhusu Urusi, kipi kilichowapata ambacho kimeletwa na Mungu? Nijuavyo ni mbinu tu za kijasusi ndizo zilizoiangusha, au ata Mungu huwatumia majasusi wa kimafia?Ata urusi ikiw taifa kubwa walibweta kwa kufanya yoa kinyume na mungu yaliyowapaa yanajulikana
Ina maana kabla ya yesu wakristo hawakuwepo?nijibu nikuulize kakitu kadogoYesu ndie Kristo, wafuasi wa Yesu ndio Wakristo.
Mbona kama mnalazimisha watu wajue kuwa mungu yupo?
Kama yupo acheni kupiga kelele watu watajua wenyewe.
Mnawatisha watu kwa mawazo ya ajabu.
Hakuna kitu kinaitwa Mungu kiliumba dunia. Mungu wako wewe ni ubongo.
Usipokua na ubongo hata hilo jina mungu hutalikumbuka.
Shtuka, mungu ni mchezo wa kuwapumbaza watu wasifikirie vikubwa wabaki ndani ya box ili watawaliwe vizuri.
Mimi leo nasema hakuna kitu kinaitwa mungu nataka yanitokee hayo mabaya.
Jiongezeni acheni uvivu wa kufikiria
Nimeshakufa.Bado upo hai?
Nahuja badala ya kukoment unacheka! au ndio koment yako kuchekaππππππ hahahahahhaha
Alinichekesha yule aliyekuwa ana sisitiza watu wa comment hahahahhaahhahaNahuja badala ya kukoment unacheka! au ndio koment yako kucheka
Hizi mada za namna hii ni ngumu kukoment kwa sababu wasio amini wanataka waonyeshwe huyo mungu kitu ambacho ni kigumu, ndo maana watu wanaingia mitiniAlinichekesha yule aliyekuwa ana sisitiza watu wa comment hahahahhaahhaha
Hakika mkuuHizi mada za namna hii ni ngumu kukoment kwa sababu wasio amini wanataka waonyeshwe huyo mungu kitu ambacho ni kigumu, ndo maana watu wanaingia mitini
Wenzio walisema hivyo hivyoCoincidence tu hakuna lolote. Na story zenyewe za kutunga. Huyo mungu mlishawahi kumuona? Ni yupi kati ya miungu 4200?