Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

hao ni watu waliokua wanafkilia upumbav ju ya uwepo wa mungu tatizo kubwa walikua wanajiuliza maswali ambayo hakukua na wakuwajib na hy ndo ikawa sababu ya kusadiki kile walichofikilia...na vlevle maswali yote waliokua wakijiulza majibu waliyatoa wao wenyewe ..ndo mana likawa tatizo
 
Hivi hapa unanihoji au tunafanya mjadala kwa kadiri ya kila mtu anavyoelewa? Maana naona kila ninachokuuliza hujibu unakuja na swali. Kama ni hivyo niseme tu inatosha. Najua utakuja na kebehi kwamba nimekimbia mjadala, na iwe hivyo lakini siwezi kufanya mjadala wa upande mmoja tu. Kila la kheri katika imani yako.
Pole sana kwa kujielewa..mimi ndio nilikupa challenge ,wewe ukarudisha kwangu bila hata kuongeza kitu nikakuuliza kitabu chako kimeshindwa hadi urudishe swali kwangu..naona umeamua susa na malalamiko kibao. Safari njema
 
Hapana!!!!!!!!!

Kwa hiyo hao jamaa wako wanne siyo? Mungu Yahweh, Mungu Yesu, Mungu Roho na Mungu Allah? Ila hao watatu wa mwanzo pia ni mmoja? Na nadhani Mungu Allah aliamua kujitegemea akaona ushkaji haulipi?
 
Uko wapi ushahidi?
it is offence in israel to preach christianity.

Anti missionary law.
>anyone who preach with the purpose of causing another person to change his religion is liable to three years imprisonment or a fine of NIS 50,000(£9000).
See hiyo ndo sheria iliyopitishwa mwaka 2007.
Only satanism rival judaism's visious hatred for jesus christ.the Talmud even claim that jesus is being punished in hell by being boiled in hot semen.
Interestingly enough,islam is much closer to christianity than judaism.for istance judaism condemns the virgin mary as a prostitute and viciously condemn jesus as an evil sorcerer and a bastard.the Talmud even claim jesus was a sexual pervert who had intercource relation with his donkey.
While muslim claim jesus as a messenger of God.
Yet you still support jews?.
Wake the hellup.
 
I know that iam shocking many of you here,who are hearing this for the first timd.am sure some of you are thinking that this cant be true.i dont blame you for thinking so.
In contrast although islam certainly doesnt share all the christian's view of jesus,it views christ as a true prophet of God,virgin born.
Because many of you have never been told of these facts by the jewish dominated media or by the televangelist ,so i will document these things for you right now.
http://duke.org/awakening/chapter17_01.html.
 
it is offence in israel to preach christianity.

Anti missionary law.
>anyone who preach with the purpose of causing another person to change his religion is liable to three years imprisonment or a fine of NIS 50,000(£9000).
See hiyo ndo sheria iliyopitishwa mwaka 2007.
Only satanism rival judaism's visious hatred for jesus christ.the Talmud even claim that jesus is being punished in hell by being boiled in hot semen.
Interestingly enough,islam is much closer to christianity than judaism.for istance judaism condemns the virgin mary as a prostitute and viciously condemn jesus as an evil sorcerer and a bastard.the Talmud even claim jesus was a sexual pervert who had intercource relation with his donkey.
While muslim claim jesus as a messenger of God.
Yet you still support jews?.
Wake the hellup.


And all the people answered and said, "His blood be on us and on our children". Matth 27:25

He came to His own, and His own did not receive Him. John 1:11

Sasa unachotaka kutwambia Ni kitu gani? Au ktk hayo unafikiri kuna jipya?

Andiko halikuacha kitu! Na ninapenda ufahamu Kua ktk Israel na duniani kote, kuna wanaompinga Yesu na kukumkubali! Huo ndio ukweli!

Hizo za punda Ni kufuru za hao wapinga kristo! Lkn usifikiri Km kuna jipya ktk hayo unayosema!

Na pia unatakiwa kufahamu Kua Israel litabaki Kua taifa teule ambalo Mungu alipanga kujidhihirisha kupitia kwalo! Pamoja na kuua manabii na mitume na kuwakataa na kumkataa Yesu, litabaki taifa teule na hakuna jingine!
 
Nimemuambia Elungata anipe ushahidi wa madai yake maana wanapenda sana kudanganyana

Kuna kundi kubwa sana la watu wanakwenda kuhiji huko kila mwaka na kule kuna makanisa mengi sana,wanataka kuwafanya wasiojua au wajing.a kama wao waamini uongo huu!
hakuna makanisa mengi israel kwasababu hakuna wakristo wengi huko,na hata asilimia kubwa ya wakristo ni wapalestina na wahamiaji wachache wa kiyahudi.
 
Last edited by a moderator:
And all the people answered and said, "His blood be on us and on our children". Matth 27:25

He came to His own, and His own did not receive Him. John 1:11

Sasa unachotaka kutwambia Ni kitu gani? Au ktk hayo unafikiri kuna jipya?

Andiko halikuacha kitu! Na ninapenda ufahamu Kua ktk Israel na duniani kote, kuna wanaompinga Yesu na kukumkubali! Huo ndio ukweli!

Hizo za punda Ni kufuru za hao wapinga kristo! Lkn usifikiri Km kuna jipya ktk hayo unayosema!

Na pia unatakiwa kufahamu Kua Israel litabaki Kua taifa teule ambalo Mungu alipanga kujidhihirisha kupitia kwalo! Pamoja na kuua manabii na mitume na kuwakataa na kumkataa Yesu, litabaki taifa teule na hakuna jingine!
kwa ushahidi upi kwamba litabaki kuwa taifa teule?
 
Elungata Ebu soma tena unabii Wa kukataliwa Yesu ktk kitabu cha Isaya 53:3

Kwahiyo Yesu kukataliwa na waisrael na ukristo kukataliwa hicho Ni kitu cha kawaida na maandiko yako wazi kabisa!

Kwahiyo usifikiri Km kuna jipya! Na Mimi Km mkristo nayatambua haya!
 
Last edited by a moderator:
Elungata Ebu soma tena unabii Wa kukataliwa Yesu ktk kitabu cha Isaya 53:3

Kwahiyo Yesu kukataliwa na waisrael na ukristo kukataliwa hicho Ni kitu cha kawaida na maandiko yako wazi kabisa!

Kwahiyo usifikiri Km kuna jipya! Na Mimi Km mkristo nayatambua haya!
haiwezekani ukachagua aya za kuendelea kutumia katika agano la kale na zingine ukaziacha.

Isaya ni agano la kale ambalo wengine wanadai lilikua haliwezi kutumika tena baada ya yesu kufa msalabani.
Soma 1 thesalonike 2:14-16.
14-maana ninyi ndugu mlikuwa wafuasi wa MAKANISA YA MUNGU yaliyo katika UYAHUDI na katika kristo yesu,kwakuwa mlipata mateso yaleyale kwa watu wa taifa lenu wenyewe,waliyoyapata nao kwa hao WAYAHUDI.
15-ambao WALIMWUA BWANA YESU,na hao manabii na KUTUUDHI sisi wala HAWAMPENDEZI MUNGU wala HAWAPATANI NA WATU WOWOTE.
16-huku wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa,ili watimize dhambi zao siku zote.LAKINI HASIRA IMEWAFIKIA HATA MWISHO.

Sasa swali,kama hasira ya mungu imewafikia wanaendelea vipi kuwa taifa teule?
 
Last edited by a moderator:
Ok ktk Hilo la waisrael kumpinga Yesu na ukristo tumeshaliweka sawa?

Km liko sawa tuhamie Hilo swali lako!
liko sawa maadamu unakubali kuwa wayahudi hadi leo wanaukataa ukristo,atleast unakubali tofauti na kina nicholas wanaokataa katakata.takwimu ziko wazi wakristo israel hawafiki hata asilimia 5 ya wakazi wote wa israel,na nimetoa relible link za kuonyesha kuwa mahubiri kule israel ni marufuku.mkirsto anakaribisgwa kutembelea tu na si kufanya mihadhara ya kidini,ndo maana hata american evangelist wa marekani kama Graham hawawezi kufanya mikutano ya crusade nchini israel.
 
haiwezekani ukachagua aya za kuendelea kutumia katika agano la kale na zingine ukaziacha.

Isaya ni agano la kale ambalo wengine wanadai lilikua haliwezi kutumika tena baada ya yesu kufa msalabani.
Soma 1 thesalonike 2:14-16.
14-maana ninyi ndugu mlikuwa wafuasi wa MAKANISA YA MUNGU yaliyo katika UYAHUDI na katika kristo yesu,kwakuwa mlipata mateso yaleyale kwa watu wa taifa lenu wenyewe,waliyoyapata nao kwa hao WAYAHUDI.
15-ambao WALIMWUA BWANA YESU,na hao manabii na KUTUUDHI sisi wala HAWAMPENDEZI MUNGU wala HAWAPATANI NA WATU WOWOTE.
16-huku wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa,ili watimize dhambi zao siku zote.LAKINI HASIRA IMEWAFIKIA HATA MWISHO.

Sasa swali,kama hasira ya mungu imewafikia wanaendelea vipi kuwa taifa teule?

Agano la Mungu na Ibrahim Na uzao wake Ni la milele! Sijui Unafahamu hichi kitu?

Alafu nafikiri ktk Hiyo Hilo swali lako Unaweza ukapata majibu ktk hayo mafungu ulioandika mwenyew!
 
liko sawa maadamu unakubali kuwa wayahudi hadi leo wanaukataa ukristo,atleast unakubali tofauti na kina nicholas wanaokataa katakata.takwimu ziko wazi wakristo israel hawafiki hata asilimia 5 ya wakazi wote wa israel,na nimetoa relible link za kuonyesha kuwa mahubiri kule israel ni marufuku.mkirsto anakaribisgwa kutembelea tu na si kufanya mihadhara ya kidini,ndo maana hata american evangelist wa marekani kama Graham hawawezi kufanya mikutano ya crusade nchini israel.

Labda niweke sawa Zaidi Ni kwamba Si Israel tu kuna wanaopinga ukristo na Yesu Ni duniani kote! Wapo wanao mkubali na Wapo wanao mpinga!

Na hii Hali ilikuawepo tangu Yesu alippkuwepo na ata alipoondoka na hadi Leo duniani kote!

Lkn maandiko hayakuacha kitu! Kila kitu kiko wazi!
 
Elungata kitabu chote cha Biblia kinatumika mpk Leo! Ukisema Isaya haitumiki Utakua unakosea!
 
Last edited by a moderator:
Kumuhubiri Mungu kwa kutishia watu, eti kilichoipata Meli ya Titanic! Utadhani kuwa Meli ndio iliyofanywa hiyo kufuru au mtengeneza wa Meli hiyo alikuwa ndani ya Meli hiyo wakati inazama.
 
naona post yako umebase kuwa dunia iko kwa miaka 6000 tu,jambo ambalo si kweli.

Ukipiga mahesabu ya umri wa akina adam,metusela,ibrahim,noah na manabii wengi,then uje upige mahesabu ya kipindi cha waflume kina saul,daud,solomon,ahaz,ahazia,rehobam etc,miaka inazidi na kupitiliza hiyo hesabu ya 6000.

Huo ni mtizamo wako; kuna mwaka una miezi 13 na mwingine 12 unaweza kuweka factor mwenyewe lakini bado siku saba hazijatimia kwa hesabu ya mbinguni. Ulimwengu unaweza kuwa ulikuwako kwa maefu au hata mamilioni ya miaka kabla ya Adam kuumbwa siongelei habari ya kuwapo ulimwengu bali Adam na tunajua vitu vyote vimekuwako kabla yake isipokuwa Hawa labda tungejua umri wa Hawa tungeweza kupiga hesabu vizuri zaidi
 
Kwa hiyo hao jamaa wako wanne siyo?
Akina nani?
Mungu Yahweh, Mungu Yesu, Mungu Roho na Mungu Allah?
Kama una haja ya kujua miungu iliyoko duniani ni kwamba iko zaidi ya 20
Ila hao watatu wa mwanzo pia ni mmoja?
Mwanzoni uliuliza kama wako wanne
Sasa unauliza kama ni mmoja

Maswali mawili yanayokinzana kutoka kwa mtu mmoja

Kijana kama unahitaji kujua nitakujulisha
Kama uko hapa kwaajili ya kejeli siwezi kupiteza muda wangu kwaajili ya kejeli
Na nadhani Mungu Allah aliamua kujitegemea akaona ushkaji haulipi?
Umeitoa wapi hii?

Kujitenga kivipi?

Mungu maana yake nini?
 
Back
Top Bottom